RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,599
- 2,868
Doh hatari ba nusu apa ni ku appeal tuMm computer science St.Joseph Ada ni Mil 2 na 95 mkuu, kipengele haswa
Aisee wew dada wa mliman lazm upitie maokoto ya madogo duuh![]()



nishamalizana na maokoto ya HESLB.Kbs Ila kuappeal nayo c unatumia gharama lkn? Au hakuna malipo yyteDoh hatari ba nusu apa ni ku appeal tu
mkuu nami nimechaguliwa hiyoNdio ila kama sisi wengine mtu unasoma computer science ada tu 2,000,000 kasoro apo mtu unasihije na pesa hiyo jamani 🥲
nilipata st joseph computer science nikaconfirm IAA dar es salaam campusMm computer science St.Joseph Ada ni Mil 2 na 95 mkuu, kipengele haswa
Msaada jmnKwa continuous halafu tumeappply mara ya kwanza inakuwaje?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ku-appeal haisaidii kitu....tuulize Sisi wa 2021/2022, duh Acha Tu.Wapambane ku-appeal tu. Maana, hawa jamaa wa nafanya mambo kuwa magumu sana
Ndo imeenda hivoAlafu naona km stationary na makorombwezo baadhi hawatoi, wengi wanaambulia Tuition fee na Meals and Accommodation bc , hii imekaaje?
Oh kumbe,nilipata st joseph computer science nikaconfirm IAA dar es salaam campus
I think kuna muendelezo wa updates kwa Waliopata batch one, from today onwards mpk alhamc lbdUkiona akaunt yako unalog in aibadiliki kukuletea kipengele Cha sipa na wewe ni mwaka wa kwanza wait for batch 2 tarehe 27 ya kwanza aikuwa bahati yako usife moyo
Mda sana kipind kile hela zillkua znamwagwa Kam njugu full Batanishamalizana na maokoto ya HESLB.
Sister wangu miaka hyo alipewa 100℅ ya mkopo na tuna vigezo sawa kadogo jinsia, sasa nasubiria nione wataniallocatia kiac gn na mm ili nithibitshe km kweli ni watenda haki ama lahMda sana kipind kile hela zillkua znamwagwa Kam njugu full Bata
Sera mdogo wanguSister wangu miaka hyo alipewa 100℅ ya mkopo na tuna vigezo sawa kadogo jinsia, sasa nasubiria nione wataniallocatia kiac gn na mm ili nithibitshe km kweli ni watenda haki ama lah
IFMmkuu nami nimechaguliwa hiyo
upo chuo gani?
oooh sawa mkuu
kwa awamu 4 bossHiyo hela ya MA ni unapewa yote kwa wakati mmoja au? View attachment 2787490
Kwamba miezi minnekwa awamu 4 boss
Wewe je?