ushahd
Senior Member
- Jul 30, 2019
- 176
- 104
ada ya chuo ni sh ngapiAda Je?????
kama sio kubwa sana bac utajibana kwenye hiyo ya meal utaweza mkuu
ada ya chuo ni sh ngapiAda Je?????
Wapambane ku-appeal tu. Maana, hawa jamaa wa nafanya mambo kuwa magumu sanaDuuuh tuition fee ni 230,000/= tu??
Ada ni 1,000,000 mkuuada ya chuo ni sh ngapi
kama sio kubwa sana bac utajibana kwenye hiyo ya meal utaweza mkuu
Shukuru mkuu,boom si mmepewa 2470000Duuuh tuition fee ni 230,000/= tu??
maisha haya daaah,Hongera sana kwakeVigezo muhimu wengine wamepewa 100%
View attachment 2787361
Duh hongera yake aiseeVigezo muhimu wengine wamepewa 100%
View attachment 2787361
Muhimbili 760kNaona mama katimiza ahadi.
Boom, 600k now
Mwanzoni ilikuwa 660k bila shaka...naona wameongeza 100kMuhimbili 760k
Yah wameongezaMwanzoni ilikuwa 660k bila shaka...naona wameongeza 100k
Hi TU na MA zina maana gani msaada??Vigezo muhimu wengine wamepewa 100%
View attachment 2787361
TU - Tuition fees (Ada)Hi TU na MA zina maana gani msaada??
Apo sawa Sasa mbona kwangu bado hawajaleta hiyo page au ndo nisubir second batchTU - Tuition fees (Ada)
MA - Meals and Accommodation (Malazi na chakula)
Umefata steps za kuangalia?Apo sawa Sasa mbona kwangu bado hawajaleta hiyo page au ndo nisubir second batch
Yah nimelogin kwenye account yangu naona iko vilevile wait for allocation process au Kuna namna nyingine ya kuangaliaUmefata steps za kuangalia?
Ivo ivo iko sawa wait for batch 2 kiongoziYah nimelogin kwenye account yangu naona iko vilevile wait for allocation process au Kuna namna nyingine ya kuangalia
Aingie ktk SIPAIvo ivo iko sawa wait for batch 2 kiongozi
Tuendelee kusubir kijanaApo sawa Sasa mbona kwangu bado hawajaleta hiyo page au ndo nisubir second batch