Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,770
- 11,227
Ifanyie resize angalau iwe 200kb kushuka chini inakubali fresh.Wakuu nisaidien kwa hili
najaribu kuappeal hp kuomba niongezew mkopo, Ila tatzo ni kila nikiupload picha yng ambayo niliiscan kwa app ya camscanner hpo awali then nikaiconvert online kuwa jpg kila nikiupload inakataa .
.je shida iko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app