HESLB: Batch One Out Now

HESLB: Batch One Out Now

Appeal Application
You Cannot Apply For Loan Appeal Because

Admission Details Not Found
Nimeingia option ya kuappeal kwenye acount ya dogo inaandika hivi while chuo alipata admission na ameshakuwa registered chuoni, shida inaweza kuwa mtandao au sytem ya chuo msaada plz
 
Nadhani unamaanisha kunyimwa mkopo na kutokupangiwa mkopo
IMG-20231108-WA0011.jpg

Yap ndio naamaanisha,kuna utofauti gani hapo?
 
Appeal Application
You Cannot Apply For Loan Appeal Because

Admission Details Not Found
Nimeingia option ya kuappeal kwenye acount ya dogo inaandika hivi while chuo alipata admission na ameshakuwa registered chuoni, shida inaweza kuwa mtandao au sytem ya chuo msaada plz
Kama upo karibu na office zao nakushaur uende watakusaidia
 
Wakuu nikiweka verification number ya birth certificate niliyotumia kuombea mkopo inakataa inasema niingize valid verification number from RITA.

Verification number ndo hizi hizi nilizotumia kuombea mkopo lakini hazitaki sasa tatizo nini kwa mwenye uelewa na hili ama aliyefanikiwa ku submit appeal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Appeal Application
You Cannot Apply For Loan Appeal Because

Admission Details Not Found
Nimeingia option ya kuappeal kwenye acount ya dogo inaandika hivi while chuo alipata admission na ameshakuwa registered chuoni, shida inaweza kuwa mtandao au sytem ya chuo msaada plz
Anatakiwa aongee na chuo chake je admission yake ilitumwa TCU
 
Hapana,sijamaliza bado.
Hivi kweli kuna haja ya ku download fomu ama ni kuandaa tu barua ya serikali ya mtaa ya utambulisho na muhuri then una upload kama document wanayohitaji.

Maana pale kwenye appeal uki download ina fail.

Kama utafanikiwa ku download fomu naomba nijuze umetumia browser ipi maana mie nimejaribu browser mbalimbali zimekataa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi inawezekana kufanya registration baada ya siku zilizotajwa na chuo husika kuisha?
 
Wakuu nisaidien kwa hili

najaribu kuappeal hp kuomba niongezew mkopo, Ila tatzo ni kila nikiupload picha yng ambayo niliiscan kwa app ya camscanner hpo awali then nikaiconvert online kuwa jpg kila nikiupload inakataa .
.je shida iko wapi
 
Back
Top Bottom