Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,773
updates wakuu za rufaa?
Bado mambo bila bila mkuu. Huenda watatoa kabla ya Ijumaa.updates wakuu za rufaa?
Nyumba za wageni maeneo ya vyuo zitajaa sana this weekend.Vijana Batch one tayari,Login kwenye account yako ya SIPA
![]()
HESLB unveils first batch of Sh159.7 billion loan recipients
The Higher Education Students Loans Board (HESLB) has announced the first batch of eligible recipients for the forthcoming academic year 2023/24.www.thecitizen.co.tz
Tng waseme wangetoa j5 yan hd leoupdates wakuu za rufaa?

"Online Appeal Window will be open from Nov. 8th, 2023. You are advised to read and follow instructions when the window is opened"VP majibu ya appeal Tyr
source??Kwa wote walio appeal majibu yatatoka kesho.
Source kutoka kwangu mkuusource??
Wamesema kwa walio appeal majibu kuanzia leo na kabla ya Desemba 2 yatakuwa tayari.
Kwa maana ndani ya siku mbili kutoka leo watu watajua kama wamepata ama lah.


siasaGuys hii bodi ya mikopo sasa kunatatizo naliona
Hmna bodi ya kusaidia wananchi paleGuys hii bodi ya mikopo sasa kunatatizo naliona
Wanaupiga mwingiHmna bodi ya kusaidia wananchi pale
dgo mmoja kawekewa leo ,ali appealHili ni Tatizo la bodi hawatoi Tarehe rasmi ya kutoa waliopata rufaa ndio maana watanzania tunapoteza muda wetu na Mb kufutalia maswala ambayo wao walitakiwa watufahamishe ili kumpuguza usumbufu uliopo Sasa.
Mbona hatuzioni hizo allocations???dgo mmoja kawekewa leo ,ali appeal