inaandika index no yangu not foundHata yangu haifunguki mkuu
inaandika index no yangu not foundHata yangu haifunguki mkuu
Mi inaandika "an error occured try again later"inaandika index no yangu not found
duh halafu system yao inayumba sanaMi inaandika "an error occured try again later"
resize photoHivi kwenye kuappload image nn kinahitajika maana picha niliyoappload wakat wa kuomba mkopo sasa hivi inagoma.
resolution ipi maana nimeweka kwa 120×150.resize photo
Punguza ukubwa wa MB angalau iwe chini ya 1MB.resolution ipi maana nimeweka kwa 120×150.
Imekubali mkuuPunguza ukubwa wa MB angalau iwe chini ya 1MB.
Mkuu boom imeanza kutoka?robbinhood mkuu nisave apa kwenye kusign boom maana hizo otp au code zinakuja after 5 mins ambapo ndiyo muda zinaexpire sasa imefika mara ya pili ikagoma kabisa na mfumo unaandika error occured try again later![]()
We uko chuo gani mbn huku waloshasain boom kitamboMkuu boom imeanza kutoka?
Uko mwaka wa ngapi?
Nimeona boom inatoka kwa awamu sijui waliojisajili mapema ndiyo wanaowahi kuingiziwa boom.We uko chuo gani mbn huku waloshasain boom kitambo
Samahani, hivi account ya DiDis ni ipi, na unaingiaje?Nimeona boom inatoka kwa awamu sijui waliojisajili mapema ndiyo wanaowahi kuingiziwa boom.
Sasa sijui kwa waliojisajili awamu ya mwisho wataingiziwa boom lini.
Ipo kwenye SIPA ndipo utakapoona kama umeingiziwa boom ama lah.Samahani, hivi account ya DiDis ni ipi, na unaingiaje?
Hii taarifa hiiRufaa sasa kufungwa Ijumaa Novemba 17, 2023
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kuongeza muda wa siku nne zaidi hadi Novemba 17, 2023 ili kuwawezesha wanafunzi ambao hawajapangiwa au wanaohitaji kuongezewa viwango vya mikopo kwa mwaka wa masomo 2023/2024 kuwasilisha maombi ya rufaa zao.
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru amesema uamuzi wa kuongeza muda umetokana na tathtmini iliyofanywa ili kuwawezesha wanafunzi wahitaji watumie muda wa nyongeza kuwasilisha maombi ya rufaa zao kwa usahihi.
“Tulifungua dirisha siku ya Jumatano (Novemba 8, 2023), na baada ya tathmini tumeongeza muda wa siku nne zaidi hadi Ijumaa, Novemba 17 mwaka huu ili kutoa muda wa kutosha kwa waombaji kuwasilisha rufaa zao”, amesema Badru na kusisitiza maombi yote ya rufaa yanawasilishwa kwa njia ya mtandao (OLAMS).
Mkurugenzi Badru amewashauri waombaji wa mikopo wanaokata rufaa kusoma maelekezo kwa umakini na kuyazingatia ikiwemo kuambatisha nyaraka zinazothibitisha uhitaji wao ambazo awali hawakuwa wamezipakia kwenye mfumo na kuongeza kuwa waombaji wanapaswa kutembelea akaunti zao walizotumia kuomba mikopo (SIPA) ili kupata taarifa za mikopo yao.
Serikali kupitia HESLB imepanga kutoa mikopo kwa wanafunzi 220,000 kwa mwaka
Kwenye social media kama mtandao wa X kwenye page yao hawajapost chochote ila kwenye official page yao ya heslb ukiingia google au chrome ndio ipoHii taarifa hii
System imefungwaKitufe cha kuappeal kwangu hakionekani na kile kilichopo kwenye sehem ya application hakirespond,nn shida?
Hawa jamaa wahuni kweli,wanasema wameongeza muda alafu system yao haielewekiSystem imefungwa
