Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,770
- 11,227
Wanasema ukishakamilisha usajili afisa mikopo kutoka HESLB ni jukumu lake ku submit haraka majina ya wanachuo waliojisajili kwa ajili ya kuingiziwa fedha kwenye akaunti.Wajuzi wanasema ni kila baada ya siku 60 yaani miezi miwili , ndo maana unapewa laki 6 yani elfu 10 kwa kila siku kwa siku 60
Kuna ongezeko la Tsh 1500/= kwa mwaka wa masomo 2023/2024 maana zamani ilikua ni Tsh 8500/= kwa siku
Mimi nilikua tu nahitaji kufahamu je boom hutolewa baada ya muda gani baada ya kujisajili chuoni?
Ni ndani ya wiki hadi wiki mbili mzigo unakuwa tayari.

mda gani wowote akat mpaka tarehe 3