HESLB: Batch One Out Now

HESLB: Batch One Out Now

Ndungu yangu naona na yeye amejipata

imagy-image.jpg
 
Hzo awamu ni kila mwez au ni vp yn
Wajuzi wanasema ni kila baada ya siku 60 yaani miezi miwili , ndo maana unapewa laki 6 yani elfu 10 kwa kila siku kwa siku 60

Kuna ongezeko la Tsh 1500/= kwa mwaka wa masomo 2023/2024 maana zamani ilikua ni Tsh 8500/= kwa siku

Mimi nilikua tu nahitaji kufahamu je boom hutolewa baada ya muda gani baada ya kujisajili chuoni?
 
Back
Top Bottom