Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 711
- 1,508
Ndungu yangu naona na yeye amejipata
mi pia nimeikuta hiyo message saivi hapaWanangu wametoa ile message wameeka hii
"Your application is being processed. Wait for final results"
Hawa jamaa wanakupuliza alaf wanakungata
🥲🥲🥲🥲🥲
Unyama
Apo sasami pia nimeikuta hiyo message saivi hapa
Kaka mi naona Kama hi message wanatupunguzia tu maumivu ila tuendelee kuaminiApo sasa
Duh kapata parefu kwenye Ada aisee
Mpk hpo mkopo ushapata tupunguze presha wakuumi pia nimeikuta hiyo message saivi hapa
mi Sina presha nawaskilizia wao tuMpk hpo mkopo ushapata tupunguze presha wakuu
Mchana huu ulinza kuonyesha "wait for final result" ka logout ku login akakutana na hiyo allocationUnyama
Imechange saa
Amepata ada 100% yote yupo UDOMMpk hpo mkopo ushapata tupunguze presha wakuu
Duh hongera yake kabsaaaMchana huu ulinza kuonyesha "wait for final result" ka logout ku login akakutana na hiyo allocation
Amepata ada 100% yote yupo UDOM
Hapana huwenda ukawekea hata leo maana nasikia kuna watu account zao zimbadilika leoKwaio hapo nisubiri batch ya mwishoView attachment 2795560
Shukrani kiongozi nimepata nguvu kidogoHapana huwenda ukawekea hata leo maana nasikia kuna watu account zao zimbadilika leo
pamoja sana mkuuShukrani kiongozi nimepata nguvu kidogo
Unapewa kwa awamu nne kwa maana 600,000 hivi kwa kila awamu.Wakuu na wazoefu, hv hili boom huwa wanaligawiaje kwa mwanafunzi husika ningependa kujua
Hzo awamu ni kila mwez au ni vp ynUnapewa kwa awamu nne kwa maana 600,000 hivi kwa kila awamu.
Wajuzi wanasema ni kila baada ya siku 60 yaani miezi miwili , ndo maana unapewa laki 6 yani elfu 10 kwa kila siku kwa siku 60Hzo awamu ni kila mwez au ni vp yn
True, mimi ya binti hapa mpk kufikia leo sa6 mchn tulijua Btch2 hayumo mana msg ilikuwa ni ileile "..verIfied complete..wait for allocation process"Hapana huwenda ukawekea hata leo maana nasikia kuna watu account zao zimbadilika leo