Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,933
- 7,000
Ulifanya ACSEE ukapita vizuri. Maths ukapata A😎
Kwa sababu wewe na hesabu mlikuwa kama mapacha waliozaliwa siku moja, ukaamua kuingia university uchukue Statistics, Pure Mathematics na kila course yenye namba ndani yake. 😂
Ukasema:
“Mimi si fala bana. Dunia inahitaji kujua uwezo wangu.” 😂
Semester ya kwanza ikaenda vizuri tu.
Semester ya pili ndiyo Mungu akaanza kukufundisha humility. 🥲
Kijana wa wenyewe akaanza kunywa dawa za ulcers. 🥵
Usingizi ukawa unaupata kwa msaada wa sleeping pills. 😭
Ukikaa anawaza derivatives.
Ukioga anawaza probability.
Ukilala anaota matrices. 😂😭
SECOND YEAR:
Hapo sasa ndipo degree inaanza kukutengeneza upya. 😂
Lecturer anaingia class, anaanza kuongea kama ana-communicate na viumbe wa sayari nyingine. 👽
Unaangalia board…
Unaangalia lecturer…
Unaangalia notes…
Unaangalia rafiki yako…
Kila mtu ana uso wa:
"Bro… tunaelewa kweli?” 😭😂
Unaamua kuuliza swali.
Lecturer anakasirika:
“I have already explained this!” 😤
Na moyoni unasema:
“Professor, hata wewe sijui kama umeelewa unachotufundisha.” 😂
Nilipofanya ACSEE nilikuwa na A ya Maths, nikaingia university nikachukua kila kitu kilichokuwa na hesabu ndani yake kwa sababu nilijiona mimi ndiye BABA WA MATHEMATICS. 😂😂
Mwaka wa kwanza haujaisha…
Miwani tayari.
Machoni unaona equation hata ukiangalia kuku.
Na ukifika Level 3 Calculus…
Hapo sasa siyo tena education. Ni spiritual warfare. 😭😂
Calculus Level 3 inaweza kukufanya uanze kufikiria:
“Labda nilizaliwa kwa ajili ya kilimo.” 😂😂
Probability nayo usiichezee.
Inaweza kukufanya upungue kilo bila hata kwenda gym. 😭😂
Nadhani wanafunzi wa Engineering nyinyi mliona mengi kwenye lecture halls. 😂😭
Ukisikia mtu anasema:
“Ninateseka na SMA 401…”
Usimcheke, mwangalie kwa huruma. 😭
Kwa sababu huyo amebaki kidogo tu
Mabingwa wa hesabu hali ilikuaje huko?
Kwa sababu wewe na hesabu mlikuwa kama mapacha waliozaliwa siku moja, ukaamua kuingia university uchukue Statistics, Pure Mathematics na kila course yenye namba ndani yake. 😂
Ukasema:
“Mimi si fala bana. Dunia inahitaji kujua uwezo wangu.” 😂
Semester ya kwanza ikaenda vizuri tu.
Semester ya pili ndiyo Mungu akaanza kukufundisha humility. 🥲
Kijana wa wenyewe akaanza kunywa dawa za ulcers. 🥵
Usingizi ukawa unaupata kwa msaada wa sleeping pills. 😭
Ukikaa anawaza derivatives.
Ukioga anawaza probability.
Ukilala anaota matrices. 😂😭
SECOND YEAR:
Hapo sasa ndipo degree inaanza kukutengeneza upya. 😂
Lecturer anaingia class, anaanza kuongea kama ana-communicate na viumbe wa sayari nyingine. 👽
Unaangalia board…
Unaangalia lecturer…
Unaangalia notes…
Unaangalia rafiki yako…
Kila mtu ana uso wa:
"Bro… tunaelewa kweli?” 😭😂
Unaamua kuuliza swali.
Lecturer anakasirika:
“I have already explained this!” 😤
Na moyoni unasema:
“Professor, hata wewe sijui kama umeelewa unachotufundisha.” 😂
Nilipofanya ACSEE nilikuwa na A ya Maths, nikaingia university nikachukua kila kitu kilichokuwa na hesabu ndani yake kwa sababu nilijiona mimi ndiye BABA WA MATHEMATICS. 😂😂
Mwaka wa kwanza haujaisha…
Miwani tayari.
Machoni unaona equation hata ukiangalia kuku.
Na ukifika Level 3 Calculus…
Hapo sasa siyo tena education. Ni spiritual warfare. 😭😂
Calculus Level 3 inaweza kukufanya uanze kufikiria:
“Labda nilizaliwa kwa ajili ya kilimo.” 😂😂
Probability nayo usiichezee.
Inaweza kukufanya upungue kilo bila hata kwenda gym. 😭😂
Nadhani wanafunzi wa Engineering nyinyi mliona mengi kwenye lecture halls. 😂😭
Ukisikia mtu anasema:
“Ninateseka na SMA 401…”
Usimcheke, mwangalie kwa huruma. 😭
Kwa sababu huyo amebaki kidogo tu
Mabingwa wa hesabu hali ilikuaje huko?