Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,064
- 91,670
Unaona sasa! Hebu watupishe huko na mahesabu yao 🚮Najulia wapi sasa nimezoea kulipia bidhaa uku nikiwa tayari najua ni kiasi gani natakiwa kurejeshewa
Unaona sasa! Hebu watupishe huko na mahesabu yao 🚮Najulia wapi sasa nimezoea kulipia bidhaa uku nikiwa tayari najua ni kiasi gani natakiwa kurejeshewa
Mimi hata sielewi ndio kwanza naiona hiyo calculus hapaCalculus daaah! Ule mzigo ulininyanyasa Bana, mpaka kuja kuujua nilijiona bonge la mjinga, kama sio uvivu
Aah wapi dk 5 nyingi naelezea kila kitu!Shida huwa ni maelezo! Hapo utajieleza ukurasa mzima na mifano kibao. 😊
Likaitwaje😆Elimu ya bongo jau; kuna kipindi wakaweka Physics na Chemistry kuwa somo moja, inasikitisha sana bongo hii.
Mwenyew nilimshangaa anavyo sup na ku carry kila mwaka 😂Umenichekesha Ulipo sema Kila semester uka sup😁,
Chuo ni Kusoma upepo wa mkufunzi bas ukitaka Kusoma Kama upo advance utaishia kuwa disappointed
Hapana madamKwahiyo ukasoma insurance?
Ile hesabu ilinifanya, niwe naenda kujificha na kulia Kwanza, alafu kibaya ukifanya vibaya, wananiambia Mzee wako ana hasara sanaMimi hata sielewi ndio kwanza naiona hiyo calculus hapa
Au sioHapana madam
Likaitwaje😆
Ndiyo my 🤩😌Au sio
Duh pole sana! Sasa mdogo wangu kachagua kwenda kusoma engineering ila anapenda hayo masomo na kayabutua! Sijui itakuwaje🫢Ile hesabu ilinifanya, niwe naenda kujificha na kulia Kwanza, alafu kibaya ukifanya vibaya, wananiambia Mzee wako ana hasara sana
Aah wapi dk 5 nyingi naelezea kila kitu!
Ni mateso! Sisi vilaza tungezungusha mno! Kama hapo tu yalikuwa separate na nikaambulia d physics🙆🏽♀️Sikumbuki, waliweka ikawa umafanya pepa moja, kuna madogo walifanya hiyo pepa. 😊
Hechi kunani ndio mambo yetu hayo! Hakuna kusoma lala☺️🤸🏽♂️Nyie ndio vipanga wenyewe wa masomo hayo. 😊
Ni mateso! Sisi vilaza tungezungusha mno! Kama hapo tu yalikuwa separate na nikaambulia d physics🙆🏽♀️
Nina Imani atafanya vizuri, usisahau kumfuatilia maendeleo yake mara moja moja, maana hawa wadogo zetu, huwaga wanajisahau Sana.Duh pole sana! Sasa mdogo wangu kachagua kwenda kusoma engineering ila anapenda hayo masomo na kayabutua! Sijui itakuwaje🫢
Ticha alisema itawasaidia kutengeneza mabeseni huko mbele yale ma curveUmeona eeh, wanaongelea sijui calculus we unaijua kwani?
Sijui inawasaidia nini kwa sasa🫢
Broooo ulikosa somo rahisi sana bwana.Pure ya nini mie nikafie shule, nilisoma o level huko hakuna nilichokuwa naelewa!🙌🏾
Kui derive ile formula, limit, h>0 [h approaching to zero]pale kuna utamu wake pale.Calculus; Ukijua tu ni kanuni gani swali linakuhitaji utumie na ukiandika, unapata alama. POWER RULE, Product rule, ukiandika tu, mwalimu anakupa alama, njia pia ukionyesha inakupa alama. Sasa kuna somo rahisi na zuri kama hesabu?
Hii ilinikuta yule waziri sintamsahau Unifield science waliita.Elimu ya bongo jau; kuna kipindi wakaweka Physics na Chemistry kuwa somo moja, inasikitisha sana bongo hii.