HESABU kitu cha ajabu

HESABU kitu cha ajabu

Nakumbuka kipindi nime admit pale mjini kati, akaja mama mmoja kajikwatua 👄 ya pink

Na kuniuliza hujambo,

Mimi, sijambo shikamoo

Aliyejikwatua:: mnasubiri kusajiliwa ndiyo nikamjibu

Eehe course gani,

Mmi, utawala

Yeye, course ngumu kila semester nili sup yaan bora ukasome insurance

Mimi okay mama mkwatuaji

Cc Seran
Umenichekesha Ulipo sema Kila semester uka sup😁,
Chuo ni Kusoma upepo wa mkufunzi bas ukitaka Kusoma Kama upo advance utaishia kuwa disappointed
 
Hisabati ni somo ambalo mtu hawezi kushindwa akilijua. Ukitaka kujua hilo, angalia jinsi walimu wanavyoweka alama kwenye hisabati.

Calculus; Ukijua tu ni kanuni gani swali linakuhitaji utumie na ukiandika, unapata alama. POWER RULE, Product rule, ukiandika tu, mwalimu anakupa alama, njia pia ukionyesha inakupa alama. Sasa kuna somo rahisi na zuri kama hesabu?

Katika maswali matano ya hisabati yenye alama 20, ukifanya matatu vizuri. Hupati supp chuo kikuuu. Ukijua hisabati, unajua tu.

Ni sawa na Economics; kuna swali la maelezo, unaweza kwenda OP, lakini swali la hesabu unapata hata 10 kati ya 25. Kwa maoni yangu, hisabati ni somo zuri ukilijua, haliwezi kukuangusha moja kwa moja ni ngumu.

Mtu anaulizwa "mention the rights and the responsibilities of a citizen" ni swali gumu sana hilo. Tofauti na ukiambiwa kwenye Calculus; "Any number power zero is equal to one, demonstrate". Hapo unaelezea basic rule ya integral rule unachukua maksi hizo. 😊
Hahahah rights n responsibilities mbona freshy tu😎
 
Matatizo ya kusoma kikoloni haya, siku hizi kila kitu cha Stanford na MIT kiko Youtube na zaidi preprint papers zipo www.arxivx.org , unajifunza huku una pause unavyotaka.

Tatizo ukiwa unasoma huku una majukumu ya familia hesabu huwezi kuzielewa.

Ukisoma huku unafukuzia wanawali huwezi kuzielewa.

Ukisoma huku unafakamia pombe huwezi kuelewa.

Ukisomeshwa na ma profesa wanaotaka kukukomesha huwezi kuelewa hesabu wala somo lolote.

Ukisoma huku una njaa hujui mlo utatoka wapi, huwezi kuelewa.

Ukisoma kwa kupanda daladala vikumbo vya watu tu vinaondoa ulivjojifunza.

Hesabu zinataka utulivu, kazi yako iwe shule tu, ikibidi uwe kama mfungwa fulani wa hesabu unajiondoa akili kama Grigori Perelman.


Yani wenzako wanaangalia mpira huko, wanafukuzia mademu, wewe una solve ma Riemann Zeta function.

Unakuwa mtawa wa dini ya hesabu.

Wengi hawawezi nidhamu hiyo.
Nimekumbuka maisha ya wakati tuko darasani Lecturer aliyekuwa anatufundisha course ya abstract algebra na yule wa course ya topology, walinifanya niishi kama mtawa, nilikuwa ninajifungia ndani ninakokotoa hadi kichwa kinawaka moto.

Nikisogeza shingo nipumue kidogo najikuta niko kwenye Fourier series au triple integral nako unaona mapicha hadi kuoga unahisi kama unapoteza muda.
 
Nimekumbuka maisha ya wakati tuko darasani Lecturer aliyekuwa anatufundisha course ya abstract algebra na yule wa course ya topology, walinifanya niishi kama mtawa, nilikuwa ninajifungia ndani ninakokotoa hadi kichwa kinawaka moto.

Nikisogeza shingo nipumue kidogo najikuta niko kwenye Fourier series au triple integral nako unaona mapicha hadi kuoga unahisi kama unapoteza muda.
Yale mahesabu yamesumbua sana enzi wati wanasoma hata vitabu ni vya ngama, ila siku hizi mengine ukienda Youtube ukiona yalivyoelezewa kwa urahisi unaweza kucheka tulivyoteseka nayo.
 
Enzi zetu ni A,B,C,D na F. Ulijitahidi sana hongera. 😊
Wewe kipindi cha ndalichako wlaikuwa wanahangaika, wakaweka E, nilipomaliza tu six E ikatolewa wakaweka merit na demerit sijui! Ilikuwa ni vituko vya BRN 😆
 
Umeona eeh, wanaongelea sijui calculus we unaijua kwani?

Sijui inawasaidia nini kwa sasa🫢
Najulia wapi sasa nimezoea kulipia bidhaa uku nikiwa tayari najua ni kiasi gani natakiwa kurejeshewa
 
Back
Top Bottom