Here we go again: US to suspend immigrant visa processing from 75 countries (including Tanzania) over public assistance concerns

Here we go again: US to suspend immigrant visa processing from 75 countries (including Tanzania) over public assistance concerns

Hii suspension ya leo has nothing to do with Samuya na serikali yake. Wabongo msikariri. This is a suspension due to concerns over public assistance yani mataifa ambayo asilimia fulani ya watu wake wanategemea public assistance (welfare). Samuya hajatuma wabongo wakategemee welfare wakienda huko. Nilishangaa pia kuiona TZ kwenye hiyo list maana sijawahi kutana na mbongo on welfare, but I guess there are some, according to this report below:

WhatsApp Image 2026-01-05 at 12.26.10 AM.jpeg
 
Well, siwalaumu kwa wao kufanya hivyo maana kusema ukweli watu wengi sana duaniani walikuwa wana take advantage na sheria za uhamiaji za Marekani.

Mtu anabeba mimba huko Handeni, Tanga, halafu akikaribia kuzaa anaenda Marekani kutembea halafu anazalia huko ili mwanae apate uraia wa Marekani.

Birthright citizenship ni moja ya sheria zilizopitwa sana na wakati na watu kibao kutoka nchi zingine wamenufaika nayo.

Kwenye hilo simlaumu Trump.

Hata mimi ambaye ni mhamiaji nilikuwa nawashagaa sana Wamarekani kwa kuwa na sheria kama hiyo mpaka hivi sasa.
Hukuwa na sababu ya kuwashangaa. Marekani ni nchi ya wageni na imejengwa (na inaendelea kujengwa) na wageni. Wote hao wenye roho mbaya ni descendants wa immigrants. Watu pekee ambao wakipinga wimbi la uhamiaji nitawaelewa ni Red Indians.

Trump ni mtu asiyeheshimu Rule of Law. Yapo mambo chungunzima anayofanya ambayo ni illegal, lakini hajali. Tofauti kati yake na fazafaka wa Kizimkazi kwenye eneo hili ni ndogo sana, kama ipo!
 
Hukuwa na sababu ya kuwashangaa. Marekani ni nchi ya wageni na imejengwa (na inaendelea kujengwa) na wageni. Wote hao wenye roho mbaya ni descendants wa immigrants. Watu pekee ambao wakipinga wimbi la uhamiaji nitawaelewa ni Red Indians.

Trump ni mtu asiyeheshimu Rule of Law. Yapo mambo chungunzima anayofanya ambayo ni illegal, lakini hajali. Tofauti kati yake na fazafaka wa Kizimkazi kwenye eneo hili ni ndogo sana, kama ipo!
Kuwa nchi ya wageni si sababu ya kuwa na sheria mbovu mbovu na za kipumbavu.

Yaani kigezo cha kuwa raia ni kuzaliwa ndani tu ya ardhi ya nchi!

Sheria ya kipumbavu hiyo.

Australia na New Zealand nazo ni nchi za wageni lakini hazina tena hizo sheria zilizopitwa na wakati. Walishazifuta.

Hivyo, mtu hawezi tu kubeba mimba huko Afrika halafu akikaribia kuzaa anaenda Auckland au Sydney ili akazalie huko kwa dhumuni la mtoto wake kuwa raia!

Btw, ni nchi gani za Kiafrika zenye birthright citizenship? Tanzania imo?

Maana hata sisi tuna wageni kibao tu toka Msumbiji, Malawi, Zambia, Rwanda, Burundi, nk., hivyo, kimsingi hata sisi ni nchi ya wageni!
 
Hii suspension ya leo has nothing to do with Samuya na serikali yake. Wabongo msikariri. This is a suspension due to concerns over public assistance yani mataifa ambayo asilimia fulani ya watu wake wanategemea public assistance (welfare). Samuya hajatuma wabongo wakategemee welfare wakienda huko. Nilishangaa pia kuiona TZ kwenye hiyo list maana sijawahi kutana na mbongo on welfare, but I guess there are some, according to this report below:

View attachment 3529933
Trump unamjua vizuri? That mazafaka is a Machiavellian. With him, like any other Machiavellian, the end justifies the means. Yeye muda wote huanza na the end, kisha anatafuta pretext itakayokwenda sambamba na njia atakayoitumia.

Kama unafuatilia vizuri moves zake, utakuwa umeshaona kwamba sababu ambazo hutoa kwa hatua yake fulani almost always huwa ni visingizio vilivyo wazi. Kwa mfano, sasa hivi yuko tayari kutumia nguvu kuichukua Greenland kwa kisingizio cha umuhimu wake kwa national security. Ni nani mwenye akili timamu anaweza kuamini that bullshit?
 
Kuwa nchi ya wageni si sababu ya kuwa na sheria mbovu mbovu na za kipumbavu.

Yaani kigezo cha kuwa raia ni kuzaliwa ndani tu ya ardhi ya nchi!

Sheria ya kipumbavu hiyo.

Australia na New Zealand nazo ni nchi za wageni lakini hazina tena hizo sheria zilizopitwa na wakati. Walishazifuta.

Hivyo, hawezi tu kubeba mimba huko Afrika halafu akikaribia kuzaa anaenda Auckland au Sydney ili akazalie huko kwa dhumuni la mtoto wake kuwa raia!

Btw, ni nchi gani za Kiafrika zenye birthright citizenship? Tanzania imo?

Maana hata sisi tuna wageni kibao tu toka Msumbiji, Malawi, Zambia, Rwanda, Burundi, nk.
Wahenga walisema maskini akipata matako hulia mbwata,you secured some papers maybe through a sketchy marriage, now you’re gatekeeping like you own the place, the audacity is wild
 
Wahenga walisema maskini akipata matako hulia mbwata,you secured some papers maybe through a sketchy marriage, now you’re gatekeeping like you own the place, the audacity is wild
Hujui chochote. Unabashiri tu.

Halafu hata hujaelewa nilichokiandika. Sijamzuia mtu kwenda anakotaka kwenda.
Nimeongelea kitu kimoja tu halafu unakuja hapa na kuanza kuimba huku ukikata viuno kuwa na gatekeep.

Dweeb.
 
Kuwa nchi ya wageni si sababu ya kuwa na sheria mbovu mbovu na za kipumbavu.

Yaani kigezo cha kuwa raia ni kuzaliwa ndani tu ya ardhi ya nchi!

Sheria ya kipumbavu hiyo.

Australia na New Zealand nazo ni nchi za wageni lakini hazina tena hizo sheria zilizopitwa na wakati. Walishazifuta.

Hivyo, hawezi tu kubeba mimba huko Afrika halafu akikaribia kuzaa anaenda Auckland au Sydney ili akazalie huko kwa dhumuni la mtoto wake kuwa raia!

Btw, ni nchi gani za Kiafrika zenye birthright citizenship? Tanzania imo?

Maana hata sisi tuna wageni kibao tu toka Msumbiji, Malawi, Zambia, Rwanda, Burundi, nk.
Hata kama hiyo sheria ina matatizo, Trump hana authority ya kuipindua unilaterally.

It takes 2/3 ya U.S. Congress na 75% ya states kuafiki constitutional amendment. As long as watu kwa umoja wao bado hawajakereka na sheria fulani, hiyo sheria haihitaji marekebisho!

Trump anajua kwamba hoja yake haikubaliki na walio wengi. Ndiyo maana anatumia mabavu kubadilisha mambo.
 
Hata kama hiyo sheria ina matatizo, Trump hana authority ya kuipindua unilaterally.

It takes 2/3 ya U.S. Congress na 75% ya states kuafiki constitutional amendment. As long as watu kwa umoja wao bado hawajakereka na sheria fulani, hiyo sheria haihitaji marekebisho!

Trump anajua kwamba hoja yake haikubaliki na walio wengi. Ndiyo maana anatumia mabavu kubadilisha mambo.
That’s beside my point.

Birthright citizenship sikubaliani nayo popote pale ilipo duniani.

Kesho Tanzania ikiandika sheria inayotoa birthright citizenship, nitaipinga with same energy.
 
Hii suspension ya leo has nothing to do with Samuya na serikali yake. Wabongo msikariri. This is a suspension due to concerns over public assistance yani mataifa ambayo asilimia fulani ya watu wake wanategemea public assistance (welfare). Samuya hajatuma wabongo wakategemee welfare wakienda huko. Nilishangaa pia kuiona TZ kwenye hiyo list maana sijawahi kutana na mbongo on welfare, but I guess there are some, according to this report below:

View attachment 3529933
Donald Trump si mtu wa kumuamini. Wabongo wa kutegemea welfare hata mimi sijawaona, wengi wenye makaratasi wanapiga kazi zaidi ya moja na wakitaka kuomba hizo programs za serikali wanashindwa ku qualify kwa sababu wamezidisha kipato.

Watu watakaotegemea welfare labda wagonjwa ambao wana sababu legitimate za kufanya hivyo.

Mimi nina miaka karibu 30 hii US, nimechukua na uraia kabisa, na sijawahi kuchukua pesa ya msaada wa serikali hata senti moja.

Yani hata kwenye tax returns tu miaka yote mimi ndiye naidai serikali.

Na hiyo assistance siwezi hata kupata kwa sababu kipato changu kimezidi mara nyingi sana kipato kinacho qualify.

Na wabongo kama mimi wapo kibao.

Sasa hao wanaotumia sana msaada wa serikali ni kina nani?
 
Hii suspension ya leo has nothing to do with Samuya na serikali yake. Wabongo msikariri. This is a suspension due to concerns over public assistance yani mataifa ambayo asilimia fulani ya watu wake wanategemea public assistance (welfare). Samuya hajatuma wabongo wakategemee welfare wakienda huko. Nilishangaa pia kuiona TZ kwenye hiyo list maana sijawahi kutana na mbongo on welfare, but I guess there are some, according to this report below:

View attachment 3529933

Na bado zile mbili zipo zimesimama, hii ya tatu.
 
Kuwa nchi ya wageni si sababu ya kuwa na sheria mbovu mbovu na za kipumbavu.

Yaani kigezo cha kuwa raia ni kuzaliwa ndani tu ya ardhi ya nchi!

Sheria ya kipumbavu hiyo.

Australia na New Zealand nazo ni nchi za wageni lakini hazina tena hizo sheria zilizopitwa na wakati. Walishazifuta.

Hivyo, hawezi tu kubeba mimba huko Afrika halafu akikaribia kuzaa anaenda Auckland au Sydney ili akazalie huko kwa dhumuni la mtoto wake kuwa raia!

Btw, ni nchi gani za Kiafrika zenye birthright citizenship? Tanzania imo?

Maana hata sisi tuna wageni kibao tu toka Msumbiji, Malawi, Zambia, Rwanda, Burundi, nk.
Hata kama hiyo sheria ina matatizo, Trump hana authority ya kuipindua unilaterally.

It takes 2/3 ya U.S. Congress na 75% ya states kuafiki constitutional amendment. As long as watu kwa umoja wao bado hawajakereka na sheria fulani, hiyo sheria haihitaji marekebisho!

Trump Anajua kwamba hoja yake haikubaliki na walio wengi. Ndiyo maana anatumia mabavu kubadilisha mambo.
That’s beside my point.

Birthright citizenship sikubaliani nayo popote pale ilipo duniani.

Kesho Tanzania ikiandika sheria inayotoa birthright citizenship, nitaipinga with same energy.
Mkuu, hakuna universal law. Sheria nzuri kwetu inaweza kuwa mbaya kwa wengine (au kinyume chake). Vilevile, sheria nzuri leo inaweza kuwa mbaya kesho (au kinyume chake).

Historia, mila na desturi ndizo zinazotufanya tuwe na sheria za aina fulani. As we evolve tunafika mahali tunahitaji kurekebisha sheria zetu.

14th Amendment (ambayo ndiyo iliwezesha yote haya) ilikuwa ratified in 1868. Yumkini sababu zilizowafanya wakapitisha hiyo constitutional amendment bado wanaziona ziko valid. Wakiona zimepoteza validity au umuhimu, watafanya marekebisho mengine. Mpaka sasa US Constitution imeshakuwa amended 27 times. Kwahiyo, hakuna sababu ya kuamini kwamba 14th Amendment imebaki kama ilivyo kwasababu ya uzembe wa watunga sheria!
 
Naomba ufafanuzi kidogo kwa anayefahamu.

Wanasema utoaji wa visa umesimamishwa lakini kuna baadhi ya watu naona bado wanakwenda huko. Hii imekaaje? Mcmillan de Maghayo Kiranga

Juzi hapa kuna kijana nimeona anakwenda Princeton.
Waliokuwa tayari wamepewa visa kabla ya Jan.01, 2026 hiyo 'suspension' haiwazuii..

Yeyote anayekwenda kuomba visa baada ya tarehe hiyo, ni lazima alipe 'bond' ya kati ya dola 5,000 hadi 15,000; kabla visa haijatizamwa; na kuweka hiyo rehani haihakikishi visa unapata.
 
Back
Top Bottom