Here we go again: US to suspend immigrant visa processing from 75 countries (including Tanzania) over public assistance concerns

Here we go again: US to suspend immigrant visa processing from 75 countries (including Tanzania) over public assistance concerns

Well, siwalaumu kwa wao kufanya hivyo maana kusema ukweli watu wengi sana duaniani walikuwa wana take advantage na sheria za uhamiaji za Marekani.

Mtu anabeba mimba huko Handeni, Tanga, halafu akikaribia kuzaa anaenda Marekani kutembea halafu anazalia huko ili mwanae apate uraia wa Marekani.

Birthright citizenship ni moja ya sheria zilizopitwa sana na wakati na watu kibao kutoka nchi zingine wamenufaika nayo.

Kwenye hilo simlaumu Trump.

Hata mimi ambaye ni mhamiaji nilikuwa nawashagaa sana Wamarekani kwa kuwa na sheria kama hiyo mpaka hivi sasa.
 
Mkuu Trump kapiga pini viza zote kutolewa kwa Watanzania, alianza na non-immigrant hiyo Jan 1 kama zuio namba 2, akiacha makundi machache kama wanamichezo lakini watembezi wa utalii, familia, wanafunzi wote hawawezi pata visa baada ya Jan 1.

Kabla ya hapo aliweka kikwazo cha kuweka kudeposit bond kwa maombi ya kuanzia mwezi Oktoba...

Sasa hiili zuio jipya la tatu naona ndio msumari wa mwisho unless uwe na uraia wa Marekani ndio utatia timu USA...
Hakuna mkuu, kwa non -immigrant visa bado watu wanaingia, kuna sehemu wamezidisha vigezo tu, angalia statement ya ubalozi kwenye tovuti yao, nimeiweka hapo juu post # 19.
 
Kutoka website ya Ubalozi wa Marekani Tanzania.



NOTICE

Starting October 23, 2025, Tanzanian nationals who are found otherwise eligible for a B1/B2 visa must post a bond of up to $15,000. At the time of the interview, the consular officer will inform the applicant whether they are eligible for a visa and will provide instructions on how to pay this bond. Applicants must not use any third-party website for posting the bond, nor pay a bond before instructed to do so by a consular officer. B1/B2 visas for Tanzanian nationals cannot be issued until the bond has been paid. This requirement applies regardless of place of application.

Applicants for U.S. nonimmigrant visas should schedule their visa interview appointments at the U.S. Embassy or Consulate in their country of residence or nationality.  Visa application fees are non-refundable and non-transferable. For more information, visit travel.state.gov .

Applicants for H-1B (and their H-4 dependents), F, M, or J nonimmigrant visas are instructed to adjust the privacy settings on all of their social media accounts to ‘public’ to facilitate vetting necessary to establish their identity and admissibility to the United States under U.S. law.

Pursuant to Presidential Proclamation 10998 on Restricting and Limiting the Entry of Foreign Nationals to Protect the Security of the United States, which takes effect at 12:01 a.m. Eastern Standard Time on January 1, 2026, the United States is suspending or limiting entry and visa issuance to nationals of 39 countries as well as individuals applying using travel documents issued or endorsed by the Palestinian Authority. Applicants who are subject to Presidential Proclamation 10998 may still submit visa applications and attend scheduled interviews, but they may be ineligible for visa issuance or admission to the United States. For additional details, visit travel.state.gov .

Effective immediately, the Department of State has paused all visa issuances to diversity immigrant visa applicants. For additional details, visit travel.state.gov here .
Barring unforeseen circumstances, tutafika 2028 (mwisho wa utawala wa Trump) tukiwa tumechoka sana!
 
He’s the master of chao! Huwezi jua kesho anaamka na agenda gani.
Mnatakiwa kuifanya Marekani ijione ni nchi nyingine tu isiyo muhimu kihivyo.

Wakiwanyima visa na nyie mnawajibu hivyo hivyo.

Wakiwakatalia kwenda kuona New York City, Grand Canyon, Las Vegas, Hollywood etc, na nyie mnawakatalia kuja kuona Kilimanjaro, Serengeti, Ngoronhoro, Dar es salaam, Zanzibar etc.

Dunia nzima ikifanya hivyo mtaona wananyooka wenyewe.

Ona watu wa Mali na Burkina Faso washaanza.

 
the United States is suspending or limiting entry and visa issuance to nationals of 39 countries
Ahaa, keywords hizi hapa. Nishakuelewa. Na nimeona Tanzania iko kwenye partial suspension tu.

Ndo maana nikashangaa kwasababu sio mtu mmoja tu, kuna mwingine kaenda Brown, mwingine Dartmouth.

Kwa watu wanaoenda ivies kama hao itakuwa wanapewa visa tu, ile prestige sio mchezo.
 
Mnatakiwa kuifanya Marekani ijione ni nchi nyingine tu isiyo muhimu kihivyo.

Wakiwanyima visa na nyie mnawajibu hivyo hivyo.

Wakiwakatalia kwenda kuona New York City, Grand Canyon, Las Vegas, Hollywood etc, na nyie mnawakatalia kuja kuona Kilimanjaro, Serengeti, Ngoronhoro, Dar es salaam, Zanzibar etc.

Dunia nzima ikifanya hivyo mtaona wananyooka wenyewe.

Ona watu wa Mali na Burkina Faso washaanza.

True, lakini wale wenye impact kubwa ndio wanatuangusha. Swala la tariffs, kwa mfano, kama mataifa yote yenye uchumi mkubwa yangemtunishia misuli, angekuwa ameshanyooka!
 
Well, siwalaumu kwa wao kufanya hivyo maana kusema ukweli watu wengi sana duaniani walikuwa wana take advantage na sheria za uhamiaji za Marekani.

Mtu anabeba mimba huko Handeni, Tanga, halafu akikaribia kuzaa anaenda Marekani kutembea halafu anazalia huko ili mwanae apate uraia wa Marekani.

Birthright citizenship ni moja ya sheria zilizopitwa sana na wakati na watu kibao kutoka nchi zingine wamenufaika nayo.

Kwenye hilo simlaumu Trump.

Hata mimi ambaye ni mhamiaji nilikuwa nawashagaa sana Wamarekani kwa kuwa na sheria kama hiyo mpaka hivi sasa.
Umepata kwa michongo hiyo hiyo, leo unawashangaa wanaotafuta, wewe ni zaidi ya mchawi, US kumamake kuna wabongo wana roho mbaya kuliko police wa bongo
 
Hahaha kila siku ngeu. Mlivyokuwa mnatuma watu kutafuta akina mange mnadhani hamtaongezewa ngeu. Mlipokuwa mnasema Who are you mnadhani akitawaramba? Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema, Tanzania sanctions zinakuja. Hii mbona ngeu za rasharasha tu. Subiri sasa mtaona kifuatacho! Hapo pia pesa yenu lazima kiwarambe kama zimbabwe.
 
Back
Top Bottom