Unaona eeh!! lakini kiongozi usinipimie kihivyo, sie wengine hatupigi makelele kabla ya kumaliza kazi.
Kamanda wangu Asprin sijui yuko wapi, anajua sisi ni "slow but sure". Halafu raha ya mwanamke umpate kwenye ushindani, sio kushika mkono tu tayari. Ila wasiwasi wangu ni kwamba hawa vijana kwa mwendo huu wanaweza kuua bendi mapemaaaa!!sijui ndo wanafanya Practical training!!:teeth:
Nakamilisha halafu nitakutafuta
Pole sweet heart wangu, missin' you sana. Lakini haya yote uliyataka mwenyewe, uliona bora uzime simu ili kunipandisha presha bahati mbaya kwako Derimto na wenzake wakakuchanganyia ukwaju wa tanga kwenye asali basi ukapoteza network kabisa.
Anyway, kwakuwa network ndo imeanza ku-search kuwa mtulivu kidogo, sasahivi nitakuvutia waya nikujulishe leo ni siku gani na nini kinachoendelea.
aminia sana wapendwa,safari njema,pondeni raha maisha yenyewe mafupi haya.
Derimto alienda kulala mapema akatuacha wavumilivu!
Mlinzi wangu Kimey jana kanifanyia kazi nzuri sana nitampa promo!
Pls PRETA usikubali kuvaa SHANGA hizo kuna nyingine nzuri zaidi zipo!!!
Nakuja nazo leo nipo na GUTA langu njiani 2tamit huko mida ya jion!!
Ni ukweli haswaaa ila si unajua nilizingatia ushauri wa mama Preta kulingana na ratibu iliyokuwa inafuata ilibidi niwatoke kidogo na kwenda kumsikiliza Babe! Wakina mwita wasije kunichakachulia
Petra mbona kimya! haya jamani salimieni Malaria Sugu lol! enjoy the trip!
Ni ukweli haswaaa ila si unajua nilizingatia ushauri wa mama Preta kulingana na ratibu iliyokuwa inafuata ilibidi niwatoke kidogo na kwenda kumsikiliza Babe! Wakina mwita wasije kunichakachulia
JF ni zaidi ya key board bana!
Kijana kumbuka kuwa na heshima na adabu kwa mke wa mtu.
Huyo shosti nimetoka kuchinja nyani juzi kati tu pale yaeda chini halafu wewe unaanza kutafuta network!
Preta usije kunisaliti na hivi vitrip vya siku moja Tarangire, mwenyewe unajua Serengeti ilivyojaa maajabu.
ni zaidi ya keyboard.......umeona eehhh
ni zaidi ya keyboard.......umeona eehhh
heheeeeeeee...
usiniambie n'tu kapumulia eksozi pipe, nawatamania kweli ndugu zangu
basi tu
naruhusiwa kuja nje ya ratiba?
mbona hufiki....zile za Derimto zishakatika
siwezi kukusaliti kabisa.....Tarangire ni bustani tu, Serengeti ndio mbuga halisi tena ya nyumbani, hata tukikosa mboga tuna uhakika wa kimolo..........kwa ajili ya hiyo kukusaliti ni ngumu
Wiselady zidisha maombi.Huko Tarangire kuna mbwamwitu wakali sana.Vipi The Finest naye yupo?