Hodi, hodi...... mmmm jamani mbona kimya???? wenyewe mpooo, mmhh! au niondoke mbona sikaribishwi? au hamtaki wageni? Mmm basi naondoka isiwe taabu jamani maana nasikia sauti za watu ndani but sikaribiswi.
Hodi, hodi...... mmmm jamani mbona kimya???? wenyewe mpooo, mmhh! au niondoke mbona sikaribishwi? au hamtaki wageni? Mmm basi naondoka isiwe taabu jamani maana nasikia sauti za watu ndani but sikaribiswi.
karibu mwayego!hodi, hodi...... Mmmm jamani mbona kimya???? Wenyewe mpooo, mmhh! Au niondoke mbona sikaribishwi? Au hamtaki wageni? Mmm basi naondoka isiwe taabu jamani maana nasikia sauti za watu ndani but sikaribiswi.
Kabla sijakukaribisha bi Janet pen, waweza kutuambia we ni jinsia ipi? She/he?Hodi, hodi...... mmmm jamani mbona kimya???? wenyewe mpooo, mmhh! au niondoke mbona sikaribishwi? au hamtaki wageni? Mmm basi naondoka isiwe taabu jamani maana nasikia sauti za watu ndani but sikaribiswi.
Hodi, hodi...... mmmm jamani mbona kimya???? wenyewe mpooo, mmhh! au niondoke mbona sikaribishwi? au hamtaki wageni? Mmm basi naondoka isiwe taabu jamani maana nasikia sauti za watu ndani but sikaribiswi.
Kabla sijakukaribisha bi Janet pen, waweza kutuambia we ni jinsia ipi? She/he?
Kama ni he na unapenda dental formula yako ibakie ilivyo, na baiolojia yako isihamishiwe usoni basi kaa mbali na wake zangu Yummy, BADILI TABIA na cacico chini ya uangalizi wa Kongosho. Tena usiwasogelee princess enny, ummu kulthum na Madame B. Ila kama wewe ni she.... come this way baby kwa ukaguzi yakinifu.