KERO Hela ya internship tunayopewa sio sahihi

KERO Hela ya internship tunayopewa sio sahihi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Sisi wanafunzi tulisoma Bsc in Clinical nutrition & Diabetics tunaomba serikali pamoja na baraza la Madaktri (MCT) wakae na kupitia muundo wetu wa Mishahara haiwezekani nisome miaka 4 alafu internship nilipwe 600,000/= kiwango hiki cha malipo kinatokana na nini?

Ikiwa wenzetu wanao soma Bsc in Pharmacy miaka 4 wanapoenda internsship walipwe tofauti na sisi,,, na muundo mpya upo tangu 2023 kwanini hautumiki kwa sisi kada mpya za afya ??
 

Attachments

Sisi wanafunzi tulisoma Bsc in Clinical nutrition & Diabetics tunaomba serikali pamoja na baraza la Madaktri (MCT) wakae na kupitia muundo wetu wa Mishahara haiwezekani nisome miaka 4 alafu internship nilipwe 600,000/= kiwango hiki cha malipo kinatokana na nini?

Ikiwa wenzetu wanao soma Bsc in Pharmacy miaka 4 wanapoenda internsship walipwe tofauti na sisi,,, na muundo mpya upo tangu 2023 kwanini hautumiki kwa sisi kada mpya za afya ??
Ulitumwa ukasome miaka minne?
Achana na intern kafanye shughuli nyingine kijana ili upate unachohitaji
 
Back
Top Bottom