Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

Kama wewe ndiyo Tegemezi la Utelezi huko ccm wamepotea sana, kwani huna Akili weledi ni mtu wa hovyo sana na waliokutuma kusumbua watu mitandaoni nina imani wanajuuta kukupa tenda kwani huwasaidii zaidi ya kuwatia Aibu kubwa
 
Kama wewe ndiyo Tegemezi la Utelezi huko ccm wamepotea sana, kwani huna Akili weledi ni mtu wa hovyo sana na waliokutuma kusumbua watu mitandaoni nina imani wanajuuta kukupa tenda kwani huwasaidii zaidi ya kuwatia Aibu kubwa
Calm down funza,
tuliza mihemko mbona hata point zenyewe huna ndugu kamanda wa chadema masalia?πŸ’
 
Come on man...I am observing the environment. You are the dumb here. Alafu sifa ya dumbest people hawajuagi if they are the dumbest....watu washawastukia hata mfanye spinning ya namna yeyote washaelewa...
 
Anapuuzwaje huku watu 14 mmemfungulia nyuzi 14 ndani ya saa 15 tangu amwage nondo!!???
 
Come on man...I am observing the environment. You are the dumb here. Alafu sifa ya dumbest people hawajuagi if they are the dumbest....watu washawastukia hata mfanye spinning ya namna yeyote washaelewa...
Yes,
sure watu wameushtukia huo upotoshaji wa huo msukule uliojificha, wengi wamemdump wamebaki chadema masalia wachache tu including you ambao completely wamepoteza uelekeo wa kisiasa.

Kama mdau makini na wa heshima wa JF,
nitaendelea kujitolea kwa moyo wote kuwanusuru wadau wote wa JF, kua conned na shinanigans nonsense za huyo msukule as we are going to the very peaceful elections on oc.29,2025πŸ’
 
Anapuuzwaje huku watu 14 mmemfungulia nyuzi 14 ndani ya saa 15 tangu amwage nondo!!???
Gentleman,
huenda hao ni miongoni mwa mamilioni ya waTanzania wazalendo ambao wamejitolea bila kujibakiza katika kuwanusuru wadau wa JF hususani Chadema masalia ambao kimsingi ndio wanaoweza kubebwa ufala wa kifikra kirahisi zaidi kwakua wamepoteza uelekeo na hawana cha kufanya kisiasa nchini πŸ’
 
you are very stupid man...me sio chadema i am just a concerned citizen, I am Bold... level up mzee, hata kama ningekuwa nimejiunga jf leo ningesoma huu uzi wako ningejua wewe ndio Tatizo...
 
Sema Hekaheka na sii Hekaya kama hekaya wasiwasi wanini?Najua mfano leo Ntu akawaleteeni slowslow mtamgawana naasionekane hata unywele mmoja.
 
you are very stupid man...me sio chadema i am just a concerned citizen, I am Bold... level up mzee, hata kama ningekuwa nimejiunga jf leo ningesoma huu uzi wako ningejua wewe ndio Tatizo...
Asikuumize kichwa wengine tulishamzoea tunaenda naye hivyo hivyo.
 
Hoja alikuwanazo kabla hajawa katibu mwenezi wa CCM
 
Kaka najua na siku zote nakwambiaga.

Kimoyo moyo spana za POLEPOLE zinawaingia mpaka kwenye mifupaaa..
 
Je,
ni kwasababu hawana cha kufanya kisiasa? Au ni kwasababu hawana agenda na wamezoea umbea na upotoshaji? Au ni kwa vile hawana hoja wala contents zitakazo attract public attention na public sympathy walizozoea, ndio kwasababu wameamua kujiasemble nyuma ya msukule Polepole ambae tangu aanze drama, hadithi na porojo zake nonsense za pata potea, amepuuzwa pakubwa na waTanzania wote?.

Na Ukifuatilia kwa karibu mijadala kuhusu hadithi za kutunga za Hamphrey humu jukwaani, utagundua kwamba Chadema masalia ndio pekee wako conned zaidi na shinanigans za Hamphrey Polepole. Mamilioni ya waTanzania wamempuuza kabisa na wala hawababaiki nae bali wanasonga mbele kwa umoja kulijenga Taifa lao kuelekea uchaguzi mkuu wa kihistoria Oct 29,2025.

Kwa maoni yako,
why chadema masalia pekee ndio wamekubali kubebwa ufala wa kifikra as whole?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
 
Udhalimu wenu Una mwisho
 
Unadhani kwa nini wanaomfatilia na kumzingatia sana polepole ni wana CCM Gentleman. Unadhan wamestukia nini mpaka kuanza kumzingatia jamaa kwa umakini namna hiyo
 

Your browser is not able to display this video.
 
Unalipwa kiasi gani upo tayari uchunguzi huru wa kifo cha mzee Jpm ufanyike na wahusika wanyongwe hadharani? Na wengineo ikiwemo Lissu na waliokufa kwa utatanishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…