Heche ajiuzulu mapema, ameshindwa kazi

Heche ajiuzulu mapema, ameshindwa kazi

Chama hivi sasa kimekosa nidhamu hasa kuibuka kundi G55.

Jukumu la makamu ni kuweka sawa nidhamu ndani ya chadema.

Heche kashindwa kazi hio, ajiuzulu kabla ya mambo kuharibika
Wanamsubiri lema aitishe press conference maana ndio msemaji wao kwa sasa
 
Mbona unawashwa sana na Chadema wewe dada Maria 2 au mumeo hakukolezi fresh? Achana na mambo ya Chadema jikite kwenye hilo chama lenu la kishetan
hakuna kudekadeka kwann msizungumziwe?
#no reforms no election
 
Chama hivi sasa kimekosa nidhamu hasa kuibuka kundi G55.

Jukumu la makamu ni kuweka sawa nidhamu ndani ya chadema.

Heche kashindwa kazi hio, ajiuzulu kabla ya mambo kuharibika
Kama kashindwa, wewe umeweza Nini? Mwambie suluhu ajiuzulu kwanza
 
Ongeza sauti, bado hujasikika vizuri
Chama hivi sasa kimekosa nidhamu hasa kuibuka kundi G55.

Jukumu la makamu ni kuweka sawa nidhamu ndani ya chadema.

Heche kashindwa kazi hio, ajiuzulu kabla ya mambo kuharibika
 
Kuna mtu alisema atakiua chama hicho.
Je, alifanikiwa?.

Hata Nyerere alisema CCM watakiua wao wenyewe wa ndani na si mtu wa nje na hata huyo aliyesema ataiua CDM hakuweza ila CDM wataiua wao wenyewe ,sarakasi zishaanza ngoja tuione NGONDOIGWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom