Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,126
- 6,764
Weka listi ya watu ulioagana nao.Yaap! Yeye asubiri tu Oktoba 28 tuna jambo letu wala hataamini kwani maendeleo hayana vyama na Tanzania ni yetu sote 🤣🤣🤣
Weka listi ya watu ulioagana nao.Yaap! Yeye asubiri tu Oktoba 28 tuna jambo letu wala hataamini kwani maendeleo hayana vyama na Tanzania ni yetu sote 🤣🤣🤣
Atashindwa kwa sababu wananchi wamemkataaUngeanza kuweka kwanza vigezo vya kwanini atashindwa ndio uulize hilo swali
Ashinde asishinde.. atatangazwa kashinda
Ndani ya CCM unajua wanaomkataa wako wangapi mpaka fomu ya Urais ikachapishwa moja?Wanachama hai wa ccm ni milioni 14. Wapiga kura milioni 26. Hebu pigs hesabu
Unaonekana umeshakata tamaa, we are buffalo soldiers. No hate no fear.Ashinde asishinde.. atatangazwa kashinda
Kwa takwimu zipi?
Lisu hana kura za kufanya tume ipindishe matokeoTume ikifanya huo upuuzi italeta madhara makubwa ktk jamii na upo uwezekano uchaguzi ukarudiwa na damu za watu kumwagika...
Magufuli hawezi kushindwa na chama cha Mbowe. Never, so acheni visingizio.Ashinde asishinde.. atatangazwa kashinda
Tumewabana kuliko maelezoKigezo cha Mahela, Mihayo na Kaijage
Mimi ni mwanachama hai na kura simpigii so punguza hiyo idadiWanachama hai wa ccm ni milioni 14. Wapiga kura milioni 26. Hebu pigs hesabu
Anaingia na mtaji wake wa 2015 na kisha UTENDAJI BORA kwa miaka mitano anayomalizia. Wenye chuki banafsi ni WACHACHE SANA kiasi ambacho hakimshtui mtu!Mgombea urais wa CCM, Magufuli anadai kwenye kampeni kuwa atashinda uchaguzi. Je, anatumia kigezo gani?
Kwenye mikutano yake ya kampeni anawaambia wananchi kuwa wamletee diwani na wabunge wa CCM eti yeye atashinda tu, Je, anatumia kigezo gani?
Anadiriki kuwaambia kuwa wasipochagua wabunge wa CCM hatawaletea maendeleo. Je, maendeleo yana vyama?
Akiwa huko Musoma alidiriki kusema kuwa hajamaliza muda wake wa uraisi hivyo atawaongezea mshahara watumishi kabla hajatoka madarakani, je anaongeza mwezi Oktoba? Ana uhakika gani kama atashinda Oktoba hii?
Kama hajamaliza muda wake, kwanini anapiga kampeni?
Huu UONGO kama wa Lissu!NEC ilishagawa mpaka % za kila mgombea kilichobaki ni kutaganzwa pekee