Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,545
Huku msikia kada mwenzako wa NEC janaHuu UONGO kama wa Lissu!
Huku msikia kada mwenzako wa NEC janaHuu UONGO kama wa Lissu!
Mgombea urais wa CCM, Magufuli anadai kwenye kampeni kuwa atashinda uchaguzi. Je, anatumia kigezo gani?
Kwenye mikutano yake ya kampeni anawaambia wananchi kuwa wamletee diwani na wabunge wa CCM eti yeye atashinda tu, Je, anatumia kigezo gani?
Anadiriki kuwaambia kuwa wasipochagua wabunge wa CCM hatawaletea maendeleo. Je, maendeleo yana vyama?
Akiwa huko Musoma alidiriki kusema kuwa hajamaliza muda wake wa uraisi hivyo atawaongezea mshahara watumishi kabla hajatoka madarakani, je anaongeza mwezi Oktoba? Ana uhakika gani kama atashinda Oktoba hii?
Kama hajamaliza muda wake, kwanini anapiga kampeni?
Mgombea urais wa CCM, Magufuli anadai kwenye kampeni kuwa atashinda uchaguzi. Je, anatumia kigezo gani?
Kwenye mikutano yake ya kampeni anawaambia wananchi kuwa wamletee diwani na wabunge wa CCM eti yeye atashinda tu, Je, anatumia kigezo gani?
Anadiriki kuwaambia kuwa wasipochagua wabunge wa CCM hatawaletea maendeleo. Je, maendeleo yana vyama?
Akiwa huko Musoma alidiriki kusema kuwa hajamaliza muda wake wa uraisi hivyo atawaongezea mshahara watumishi kabla hajatoka madarakani, je anaongeza mwezi Oktoba? Ana uhakika gani kama atashinda Oktoba hii?
Kama hajamaliza muda wake, kwanini anapiga kampeni?
Tume wenyewe wanasema wananchi wanataka barabara na sio blah blah... watamtangaza nani.
Upinzani ni kama yatima anayeishi nyumba moja na watoto wa tajiri anayemlea.
Wanafunzi wa secondary na shule za msingi anaowahutubia kwenye mikutano yake hawapigi kuraUngeanza kuweka kwanza vigezo vya kwanini atashindwa ndio uulize hilo swali
Kigezo cha Mahela, Mihayo na Kaijage
Wako wapi hao wanafunzi?Wanafunzi wa secondary na shule za msingi anaowahutubia kwenye mikutano yake hawapigi kura
Mgombea urais wa CCM, Magufuli anadai kwenye kampeni kuwa atashinda uchaguzi. Je, anatumia kigezo gani?
Kwenye mikutano yake ya kampeni anawaambia wananchi kuwa wamletee diwani na wabunge wa CCM eti yeye atashinda tu, Je, anatumia kige kozo gani?
Anadiriki kuwaambia kuwa wasipochagua wabunge wa CCM hatawaletea maendeleo. Je, maendeleo yana vyama?
Akiwa huko Musoma alidiriki kusema kuwa hajamaliza muda wake wa uraisi hivyo atawaongezea mshahara watumishi kabla hajatoka madarakani, je anaongeza mwezi Oktoba? Ana uhakika gani kama atashinda Oktoba hii?
Kama hajamaliza muda wake, kwanini anapiga kampeni?
Nenda kwenye mikutano yake utawaonaWako wapi hao wanafunzi?
Sikumsikia. Nani na alisema NINI?Huku msikia kada mwenzako wa NEC jana
Google, hapa hakuna mwanao wakukusikilizia mzee.Sikumsikia. Nani na alisema NINI?