Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Mgombea urais wa CCM, Magufuli anadai kwenye kampeni kuwa atashinda Uchaguzi. Je, anatumia kigezo gani?
Kwenye mikutano yake ya kampeni anawaambia wananchi kuwa wamletee Diwani na Wabunge wa CCM eti yeye atashinda tu, Je, anatumia kigezo gani?
Anadiriki kuwaambia kuwa wasipochagua wabunge wa CCM hatawaletea maendeleo. Je, maendeleo yana vyama?
KWA UPANDE WA WATUMISHI; Akiwa huko Musoma alidiriki kusema kuwa hajamaliza muda wake wa uraisi hivyo atawaongezea mshahara watumishi kabla hajatoka madarakani, je anaongeza mwezi Oktoba? Ana uhakika gani kama atashinda Oktoba hii?
Kama hajamaliza muda wake, kwanini anapiga kampeni?
Kwenye mikutano yake ya kampeni anawaambia wananchi kuwa wamletee Diwani na Wabunge wa CCM eti yeye atashinda tu, Je, anatumia kigezo gani?
Anadiriki kuwaambia kuwa wasipochagua wabunge wa CCM hatawaletea maendeleo. Je, maendeleo yana vyama?
KWA UPANDE WA WATUMISHI; Akiwa huko Musoma alidiriki kusema kuwa hajamaliza muda wake wa uraisi hivyo atawaongezea mshahara watumishi kabla hajatoka madarakani, je anaongeza mwezi Oktoba? Ana uhakika gani kama atashinda Oktoba hii?
Kama hajamaliza muda wake, kwanini anapiga kampeni?