Hebu Sikieni Furaha Yangu

mmmh mimekuelewa sana mpz lkn unadhani ww hasa ni sababu ya wao kurudiana? walikuwa wanapendana hao na its only a mata of time and time heals everything,jamaa alikuwa bado in dilema lkn kiukweli anampenda mkewe,angekuwa na nia na ww hasaaaaa,wala hata sim asingepiga kwa huyo mkewe sema tu matatizo yalimfanya aje na gia ya kukuoa.lkn kiukweli ulitakiwa kustuka mapemaaaaaaaaaaaa,wengi tunao mtaani,marafiki zetu,ndugu zetu etc ugonjwa wa mapenzi ni mby sana na wala hauna tiba!

kweli kabisa da pearl yote hayo yanawezekana na namshukuru Mungu sana na vyovyote vile ndio siri ya furaha yangu. hebu jiulize wasichana wangapi wameingia mkenge kwa gia kama hizo? kwa nini mimi nisifurahi?
 
Judy namfahamu dada mmoja msomi wa hali ya juu na ni maarufu sana pale Muhimbili. Huyu alizaa na mume lakini wakashindana na hatimaye ndoa yao kuvunjika wakiwa na mtoto mmoja. Huyo dada wakati yuko majuu akaamua kupata mtoto wa pili lakini hakutaka kuzaa na mwanaume mwingine ila yule yule waliyezaa naye mtoto wao wa kwanza.

Watu wengi walimhoji kwamba mwisho wa ndoa yao haukuwa mzuri je haoni kama kufanya kitu kama hicho kunaweza kukasababisha matatizo mbele ya safari. Akadai kwamba hataki kuolewa tena na asingependa watoto wake kila mmoja awe na baba tofauti. Hivyo akamjulisha mwenzie kwamba atakuwa Dar na nia yake hiyo ya kupata mimba nyingine toka kwa mwanaume yule na mimba kweli ikaitika. Sidhani kama kulikuwa na mapenzi ya kweli zaidi ya kubebeshwa mimba.

Mdada baada ya kushika mimba akakata kabisa mawasiliano sijui katika siku za hivi karibuni kama yamerudi tena. Na alishajifungua muda mwingi tu. Kwa hiyo inawezekana kabisa huyo mdada bado anataka kuendelea na jamaa ingawaje jamaa hataki kufanya hivyo. Hii ndiyo sababu dada huyo kakubali kirahisi kushika mimba tena ya huyo jamaa.

yap, zote hizo ni probabilities. nafikiri sisi tusiwe mahakimu ila ni ujasiri wa kutia moyo kuitetea heshima yako hadi kiwango cha kuiomba na kuipokea mimba na mtu amabaye huna mapenzi naye kwa sababu tu ya kuwa na uzazi wenye heshima machoni pa jamii. huyo dada ni wa kupongezwa sana na ni wa kumwombea sana kwa Mungu amjaalie moyo wa aina hiyo zaidi na zaid na ikibidi aulainishe. bado inabaki kuwa kwa watu kama hao kusameheana ndio bora zaid

asante kwa kuleta kisa kingine cha kusisimua kuthibitisha kuwa haya yanawezekana. kwa kweli kimeongeza furaha yangu
 
Kiukweli mie nimekuelewa kuwa ulikuwa na very good intentions from the word "go"!!!.

Ubarikiwe kwa hilo
 
Naamini huyo jamaa hakukidhi vigezo vyako, wewe ni binadamu una mapungufu yako pindi unapo kutana na kitu unacho kipenda.

hakukuwa na mambo ya vigezo kaka, ni kwamba my time hadn't yet come
 
lo, wanaume bwana hisia zenu zote ni hukohuko. Wala sikuwa namtaka nilikuwa nataka kuwapatanisha. Halafu sikuwa na mpango na ndoa wakti huo kwani nilkuwa bado niko chuoni

congs dada. Wanawake wote tungekuwa na moyo kama wako kusingekua na watoto wa mitaan,talaka wala watu kutengana. Mungu akubariki
 
Good...naturally i hate separations.....japo wakati mwingine haiepukiki....:A S thumbs_up:

yap, God hates separations too, so lets join together to cerebrate this cheerful reunion. be blessed
 
leo nimepata furaha kubwa sana. kuna mkaka mmoja aliwahi kuniapproach miaka ya nyuma akitaka kunichumbia na aliniambia ukweli kuwa alishadivorce na alipata mtoto mmoja kabla ya hiyo talaka. siku moja nikampa mtihani kuwa ampigie mtalaka wake simu mbele yangu amwambie kuwa licha ya talaka yao, anaomba wazae mtoto mmoja zaidi kwani hapendi kuwa na watoto na wanawake tofauti. alisita sana kwani alisema mtalaka wake ana maneno makali sana tena saa nyingine ya kashfa na angeweza kumtukana. baada ya kumhakikishia kuwa kama atamtukana nitamkubalia ombi lake palepale, alikubali.

alipompigia, mkewe alikuwa tofauti na alivyomtarajia. alicheka kwanza kwa mzaha, baadaye akamuuliza "leo una nini wewe, kitu gani kimekupata hadi unafikiria hivyo? natamani nikuone leo nijue kilichokupata!" walipokata simu alishangaa sana kwa maongezi yale, nilimwambia kuwa Mungu akishaunganisha watu huwa hawawezi kutengana, nikamwambia aendelee kumpigia simu kama hizo na amtafute ila akimkataa, tutakubaliana kuoana. sasa leo kanipigia simu anasema kuwa kakubali kuzaa naye! wow. God is at work! i am soooooo happy wapendwa.

jamani ALICHOKIUNGANISHA MUNGU, MWANDAMU ASIKITENGANISHE please!!!!!!!!!!!!!

Heri wapatanishi.............
 
Si kuna swala la kusubili mama maana subira yavuta kheri shostito au sio?

you are right, but kumsubiri mume wa mtu! hilo nadhani shouldn't be even the choice of the last resort, si unaona kitendo cha kupiga simu tu kimewaunganisha. nafikiri tujifunze hapo kuwa hata watu wakitengana bado huwa kuna nafasi ya kurudiana, so tusiwe makwazo kwao na tuwatie moyo. na waliotengana nao wasiache japo kujuliana hali huwezi jua Mungu aweza kuondoa tofauti zao na kuwaunganisha tena kwa gundi isiyoyeyuka
 
Miss Judith,nadhani kama nimekupata vizuri,hawa wamekubali kuzaa pamoja siyo kurudiana.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani watu kurudiana na kuishi under one roof ni tofauti na kuzaa pamoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom