i am praising the Lord for His mighty works
Miss Judith,nadhani kama nimekupata vizuri,hawa wamekubali kuzaa pamoja siyo kurudiana.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani watu kurudiana na kuishi under one roof ni tofauti na kuzaa pamoja.
Hongera judi kwa busara ulizojaaliwa ila njia uliyotumia kumkataa jamaa haikuwa nzuri na naona umetuzuga. Umesema jamaa ulikuwa humtaki na ulikuwa unasoma. Vipi kama mkewe angekataa katakata, wewe ungemkubali huyo jamaa?
ahsante sana Judith kwa kuwa na Moyo wa upatanishi, watu wengine naona wanakutolea maneno ya kejeli bila kujua umhimu wa tendo ulilolifanya kwani hata mbinguni lina thawabu kubwa sana. waache waseme waoshe vinywa vyao, wee ni mweupe kwani kazi yako umeshaimaliza.
you are right, but kumsubiri mume wa mtu! hilo nadhani shouldn't be even the choice of the last resort, si unaona kitendo cha kupiga simu tu kimewaunganisha. nafikiri tujifunze hapo kuwa hata watu wakitengana bado huwa kuna nafasi ya kurudiana, so tusiwe makwazo kwao na tuwatie moyo. na waliotengana nao wasiache japo kujuliana hali huwezi jua Mungu aweza kuondoa tofauti zao na kuwaunganisha tena kwa gundi isiyoyeyuka
Ngoja tusubili azaliwe huyo mtoto.
Unajua kilicho wafanya watengane?
read my signature please
Miss Judith assuming kila mwanaume anayekuja kukupropose ni mtalaka, vipi utaendelea kushikilia msimamo wako ule ule wa kuwapatanishia wanawake wenzako huku wewe umri unasogea?
Au utajinyakulia mmoja na kujifungia naye ndani ukiiburudisha nafsi yako?
Swali zuri sana hili
yah, najua akina thomaso bado wapo duniani na Mungu halali usingizi, tuendelee kuwaombe wapate mtoto kama wanavypanga na utukufu wa Mungu utaonekana