Hebu Sikieni Furaha Yangu

Ms Judith

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
2,563
918
leo nimepata furaha kubwa sana. kuna mkaka mmoja aliwahi kuniapproach miaka ya nyuma akitaka kunichumbia na aliniambia ukweli kuwa alishadivorce na alipata mtoto mmoja kabla ya hiyo talaka. siku moja nikampa mtihani kuwa ampigie mtalaka wake simu mbele yangu amwambie kuwa licha ya talaka yao, anaomba wazae mtoto mmoja zaidi kwani hapendi kuwa na watoto na wanawake tofauti. alisita sana kwani alisema mtalaka wake ana maneno makali sana tena saa nyingine ya kashfa na angeweza kumtukana. baada ya kumhakikishia kuwa kama atamtukana nitamkubalia ombi lake palepale, alikubali.

alipompigia, mkewe alikuwa tofauti na alivyomtarajia. alicheka kwanza kwa mzaha, baadaye akamuuliza "leo una nini wewe, kitu gani kimekupata hadi unafikiria hivyo? natamani nikuone leo nijue kilichokupata!" walipokata simu alishangaa sana kwa maongezi yale, nilimwambia kuwa Mungu akishaunganisha watu huwa hawawezi kutengana, nikamwambia aendelee kumpigia simu kama hizo na amtafute ila akimkataa, tutakubaliana kuoana. sasa leo kanipigia simu anasema kuwa kakubali kuzaa naye! wow. God is at work! i am soooooo happy wapendwa.

jamani ALICHOKIUNGANISHA MUNGU, MWANDAMU ASIKITENGANISHE please!!!!!!!!!!!!!
 
leo nimepata furaha kubwa sana. kuna mkaka mmoja aliwahi kuniapproach miaka ya nyuma akitaka kunichumbia na aliniambia ukweli kuwa alishadivorce na alipata mtoto mmoja kabla ya hiyo talaka. siku moja nikampa mtihani kuwa ampigie mtalaka wake simu mbele yangu amwambie kuwa licha ya talaka yao, anaomba wazae mtoto mmoja zaidi kwani hapendi kuwa na watoto na wanawake tofauti. alisita sana kwani alisema mtalaka wake ana maneno makali sana tena saa nyingine ya kashfa na angeweza kumtukana. baada ya kumhakikishia kuwa kama atamtukana nitamkubalia ombi lake palepale, alikubali.

alipompigia, mkewe alikuwa tofauti na alivyomtarajia. alicheka kwanza kwa mzaha, baadaye akamuuliza "leo una nini wewe, kitu gani kimekupata hadi unafikiria hivyo? natamani nikuone leo nijue kilichokupata!" walipokata simu alishangaa sana kwa maongezi yale, nilimwambia kuwa Mungu akishaunganisha watu huwa hawawezi kutengana, nikamwambia aendelee kumpigia simu kama hizo na amtafute ila akimkataa, tutakubaliana kuoana. sasa leo kanipigia simu anasema kuwa kakubali kuzaa naye! wow. God is at work! i am soooooo happy wapendwa.

jamani ALICHOKIUNGANISHA MUNGU, MWANDAMU ASIKITENGANISHE please!!!!!!!!!!!!!
Ulikuwa unangoja mkono uanguke uudake..ha ha haaaaa!
Jitafutie mtu wako bana...kwanini usubiri aliyekataliwa?
Mi siamini kama furaha yako hiyo ni ya ukweli, maana ni kisebusebu na kiroho papo, yaani ile nataka sitaki!..
 
Ulikuwa unangoja mkono uanguke uudake..ha ha haaaaa!
Jitafutie mtu wako bana...kwanini usubiri aliyekataliwa?
Mi siamini kama furaha yako hiyo ni ya ukweli, maana ni kisebusebu na kiroho papo, yaani ile nataka sitaki!..

hapana kaka, ni kuwa nisingemkubalia kwa kuwa wakati ule nilikuwa bado nasoma na pia sijisikii kuwa na mtu ambaye alishaoa na kuacha so, nilikuwa namuombea kwa Mungu amsaidie wasameheane na mwenzake badala ya kutafuta wapya na Mungu amejibu maombi yangu. ndiyo siri ya furaha yangu
 
Kwamba umefurahi kushtuka ungeweza kutendwa???

hapana kumbuka talaka si mpango wa Mungu na mie wakati ule nilikuwa nasoma, so nilikuwa sihitaji kuingia kwenye masuala ya ndoa na kusema kweli ile ilikuwa ni njia ya "kidiplomasia" tu ya kumkataa, lakini Mungu akajibu maombi yetu.
 
leo nimepata furaha kubwa sana. kuna mkaka mmoja aliwahi kuniapproach miaka ya nyuma akitaka kunichumbia na aliniambia ukweli kuwa alishadivorce na alipata mtoto mmoja kabla ya hiyo talaka. siku moja nikampa mtihani kuwa ampigie mtalaka wake simu mbele yangu amwambie kuwa licha ya talaka yao, anaomba wazae mtoto mmoja zaidi kwani hapendi kuwa na watoto na wanawake tofauti. alisita sana kwani alisema mtalaka wake ana maneno makali sana tena saa nyingine ya kashfa na angeweza kumtukana. baada ya kumhakikishia kuwa kama atamtukana nitamkubalia ombi lake palepale, alikubali.

alipompigia, mkewe alikuwa tofauti na alivyomtarajia. alicheka kwanza kwa mzaha, baadaye akamuuliza "leo una nini wewe, kitu gani kimekupata hadi unafikiria hivyo? natamani nikuone leo nijue kilichokupata!" walipokata simu alishangaa sana kwa maongezi yale, nilimwambia kuwa Mungu akishaunganisha watu huwa hawawezi kutengana, nikamwambia aendelee kumpigia simu kama hizo na amtafute ila akimkataa, tutakubaliana kuoana. sasa leo kanipigia simu anasema kuwa kakubali kuzaa naye! wow. God is at work! i am soooooo happy wapendwa.

jamani ALICHOKIUNGANISHA MUNGU, MWANDAMU ASIKITENGANISHE please!!!!!!!!!!!!!

Hahahaha ulikuwa unanyatia kama fisi mkono udondoke wewe ndo udake!! hahaha sasa haujadondoka duh wanawake bana
 
Hahahaha ulikuwa unanyatia kama fisi mkono udondoke wewe ndo udake!! hahaha sasa haujadondoka duh wanawake bana

lo, wanaume bwana hisia zenu zote ni hukohuko. wala sikuwa namtaka nilikuwa nataka kuwapatanisha. halafu sikuwa na mpango na ndoa wakti huo kwani nilkuwa bado niko chuoni
 
lo, wanaume bwana hisia zenu zote ni hukohuko. wala sikuwa namtaka nilikuwa nataka kuwapatanisha. halafu sikuwa na mpango na ndoa wakti huo kwani nilkuwa bado niko chuoni

Nani kakwambia watu wakiwa chuoni hawaolewi?
 
mmmh mimekuelewa sana mpz lkn unadhani ww hasa ni sababu ya wao kurudiana? walikuwa wanapendana hao na its only a mata of time and time heals everything,jamaa alikuwa bado in dilema lkn kiukweli anampenda mkewe,angekuwa na nia na ww hasaaaaa,wala hata sim asingepiga kwa huyo mkewe sema tu matatizo yalimfanya aje na gia ya kukuoa.lkn kiukweli ulitakiwa kustuka mapemaaaaaaaaaaaa,wengi tunao mtaani,marafiki zetu,ndugu zetu etc ugonjwa wa mapenzi ni mby sana na wala hauna tiba!
 
Judy namfahamu dada mmoja msomi wa hali ya juu na ni maarufu sana pale Muhimbili. Huyu alizaa na mume lakini wakashindana na hatimaye ndoa yao kuvunjika wakiwa na mtoto mmoja. Huyo dada wakati yuko majuu akaamua kupata mtoto wa pili lakini hakutaka kuzaa na mwanaume mwingine ila yule yule waliyezaa naye mtoto wao wa kwanza.

Watu wengi walimhoji kwamba mwisho wa ndoa yao haukuwa mzuri je haoni kama kufanya kitu kama hicho kunaweza kukasababisha matatizo mbele ya safari. Akadai kwamba hataki kuolewa tena na asingependa watoto wake kila mmoja awe na baba tofauti. Hivyo akamjulisha mwenzie kwamba atakuwa Dar na nia yake hiyo ya kupata mimba nyingine toka kwa mwanaume yule na mimba kweli ikaitika. Sidhani kama kulikuwa na mapenzi ya kweli zaidi ya kubebeshwa mimba.

Mdada baada ya kushika mimba akakata kabisa mawasiliano sijui katika siku za hivi karibuni kama yamerudi tena. Na alishajifungua muda mwingi tu. Kwa hiyo inawezekana kabisa huyo mdada bado anataka kuendelea na jamaa ingawaje jamaa hataki kufanya hivyo. Hii ndiyo sababu dada huyo kakubali kirahisi kushika mimba tena ya huyo jamaa.
 
hapana kumbuka talaka si mpango wa Mungu na mie wakati ule nilikuwa nasoma, so nilikuwa sihitaji kuingia kwenye masuala ya ndoa na kusema kweli ile ilikuwa ni njia ya "kidiplomasia" tu ya kumkataa, lakini Mungu akajibu maombi yetu.

Orait...got u....so it wasn't for u.... it was rather for them.....
Hivi katika hili who wanted ana out....him or her?
 
lo, wanaume bwana hisia zenu zote ni hukohuko. wala sikuwa namtaka nilikuwa nataka kuwapatanisha. halafu sikuwa na mpango na ndoa wakti huo kwani nilkuwa bado niko chuoni

hii ngumu kumeza Miss Judith!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom