Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
- Thread starter
- #101
Amen Mpendwa; sasa wapi wewe unahudhuria kati ya watwanga injili wakuu hapa Tz ambao naamini wote wanalitaja Jina la Yesu ila kuna tofauti za hapa na pale; ni kwa Baba Askofu Kakobe, Mtume na Nabii Mwingira, Gamanywa, Makuti kawe, Mtu wa ufufuo pale Ubungo, Mzee wa Upako Lusekelo, Mama mwenye prefix nyingi yaani "Mfanyabiashara, Dk., Mhe Mbunge, Mch.Kiongozi Getrude Lwekatale", Kwa Mnigeria pale Banana, kwa wengine wanaochipukia(maana ni wengi siku hizi) au upo kwa wakongwe wa kulihubiri neno la Kristo yaani RC and the other Protestants!?
hahah, nimefurahi jinsi unavyoweza kuorodhesha hao wakereketwa wa injili na hasa ulivyomyambulisha mh. rwakatare, wapi nahudhuria sio ishu kubwa, muhimu ni kuwa nimelichagua neno la Mungu kuwa taa na mwangaza kwenye maisha yangu.
hata hivyo mi niko lutheran, karibu tujumuike siku moja. stay blessed