Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,157
- 1,045
Wazee wa masifa hao,, Labda Mahoo kidogo lakini Babu Tarimo mmzee wa masifaaa madai yake anapiga factor tuu WOTE HATUNA AKILI NA HATUTAIWEZA IRRIGATION MPAKA MIAKA ZAIDI YA 15..
Haahaha! nakumbuka Prof TARIMO ANDREW alisimamia SP yangu ya undergraduate mbona cha moto nilikiona,,,uzuri nilikuwa nafata maelekezo yake na kwenye course zake zingine sikufanya ajizi
Mwenyewe anajiita AKPR Tarimo. Anasema Wahandisi wa Maji wa kwanza walikuwa wanne, na watatu wameshafariki amebaki yeye tu.