Hv kumbe huyu alkuwa prof wa ukwel yule alokuwa mbunge? Mm nilidhan anaitwa prof kiutani utaniProf..Maji marefu rip
Prof J
Mwalimu wake mshana jr.chuo kikukuu gamboshHv kumbe huyu alkuwa prof wa ukwel yule alokuwa mbunge? Mm nilidhan anaitwa prof kiutani utani
Ahahahahaha....halaf ndo nmeelewa..Mwalimu wake mshana jr.chuo kikukuu gambosh
Vipi kuhusu mahamudu?Alikua vizuri mnooo... and kafariki just this month
Duh! Kumbe Gabagambi hatunae?! Anyway, hakunifundisha bali alikuwa Mwandishi wa Makala mwenzangu kuhusu mambo ya uchumi kwenye Bongo's weekly newspapers!!Prof. Gabagambi was such a great Soul .... May his Soul Rest In Peace. Dr. Betty Waized and Daniel Ndyetabula as well, they are the best. It was a blessing to be taught and grab some wisdom from them 💙
Amefundisha na Msalato pia, na alikuwa anasoma phd UDSM ndio . Alifariki muda akiwa mwanafunzi wa PhD .! Alivamiwa na majambazi wakampiga risasi. So sad yaani
Amefundisha na Msalato pia, na alikuwa anasoma phd UDSM ndio . Alifariki muda akiwa mwanafunzi wa PhD .! Alivamiwa na majambazi wakampiga risasi. So sad yaani
Labda kama polis walishatoa statement ila kama hawajatoa itamwuwia ngumu yy kujua kisa exactlyKisa cha Kuvamiwa ni Nini?
Dr. Mgani...
Dr. Mwakaboko
Prof. Mubofu(R.I.P)electrochemistry mtaalam
Prof. Mdoe
Prof. Mahugija
Dr. Mdachi (R.I.P) Mtaalam wa enantiomers
Prof. Mhinzi
Dr. Munissi
Dr. Nyandoro
Prof. Ester Lugwisha
Dr. Kinunda
Dr. Philip
Dr. Mgina
Dr. Regina
Dr. Kessy
Prof. Mkayula-Gwiji wa thermodyanamics
Prof. Othman
Prof. Buchwasheija
Prof. Nkunya
Prof. Mosha
Dr. Ngassapa
Hawa wote ni kutoka idara ya kemia-UDSM
Labda kama polis walishatoa statement ila kama hawajatoa itamwuwia ngumu yy kujua kisa exactly
Mhadhiri Chuo Kikuu auawa na majambazi
Wadau najua mmeishaiona hii. Hivi haya mauaji ni ya kijambazi kweli au kuna kitu kinaendelea kwenye system huko. Maskini, Kavenuke!. Mhadhiri Chuo Kikuu auawa na majambazi Monday, 27 September 2010 09:40 newsroom .NA MOHAMMED ISSA MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Johns, Dodoma...www.google.com
Umepiga Kemia?Hawa wote wamenifunfisha kasoro nkunya na busheshaija
Umepiga Kemia?