Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Wote waliosoma vyuo vikuu kuna changamoto za wahadhiri walizozipitia kiasi kwamba akaona chuo kichungu, Especially ikifika kipindi cha Coursework, Assignment, Quiz Bila Kusahau Carry and Supplementary
Na Kwenye mambo ya Research kuna watu wamesotea sana
Upande wa Research uwaga ni hatari kama ukipata supervisor mnoko Yaan utarudia Research hadi ujute kusoma
Dah Sitasahau Dissertation yangu ya masters hapo UD nilisota sana nilikata hadi tamaa ya kugraduate Isee, Masters ya UDSM sio ya kitoto hadi mtu agraduate jua amesota sana
Na Kwenye mambo ya Research kuna watu wamesotea sana
Upande wa Research uwaga ni hatari kama ukipata supervisor mnoko Yaan utarudia Research hadi ujute kusoma
Dah Sitasahau Dissertation yangu ya masters hapo UD nilisota sana nilikata hadi tamaa ya kugraduate Isee, Masters ya UDSM sio ya kitoto hadi mtu agraduate jua amesota sana