Heaven on desert amerudi

Heaven on desert amerudi

Status
Not open for further replies.
Acha hizo bwana!

Hizi story zinatoka wapi?

Sipendi mtu akizuliwa jambo, its not right, its not fair!!

Mpwa kisia nimepiga nini asubuhi asubuhi:eyebrows::eyebrows::eyebrows:

nikisie mimi au
 
karibu!! nilkumis by the way inaonekana ni mimi tu ndo nili notice absence yako,
 
Kwa marafiki zangu wote wa JF,ambao kwa namna moja ama nyingine,mlinikosa yote ni kwa sababu kazi nying kuzitafuta shiling,coz usipofanya kazi kwa bidii,maisha mazuri utaishia kuyaona kwenye picha za Diamond tu..ok nimerudi kwa muda..niulize,tuzungumze na tuelimishane pia.

karibu..

View attachment 145957
attachment.php

Duh unafanya biashara kwa nguvu sasa baada ya kukosa wateja kwenye blog ya RAHATUPU,
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom