Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
Niliaga kwenye kitufe cha,logout
Hahhhahhhahhaha jibu zuri hiliiii
Niliaga kwenye kitufe cha,logout
Ila ana kamvuto. Diamond atakuwa anafaidi sana yale mambo yetu. Shiiii usimwambie mtu.
ushamba mzigo mzito...........
ndio maana Halima kimwana alikufanya aliyokufanyia kule mtaa wa pili
hahahahaha ulikuwa hujui hilo utafiti
umerudi SO WHAT!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nilikua sijui miss neddy inabidi watugonge na muhuri hapo getini. Na wewe tangu asubuhi sijakuona na wala hujatoa taarifa kama umerudi....
Ila ana kamvuto. Diamond atakuwa anafaidi sana yale mambo yetu. Shiiii usimwambie mtu.
hahahahaha umeona eeeh mimi nikitoka huwa narudi kimya kimya
mtu akiwa na stress matokeo yake ni kama hayoMbona hivo besti? Swali gumu hili.
Umeona eeeh unavunja sheria za jf, unatakiwa ukirudi unaanzisha thread kama sasa umerudi ulikua unapika mboga, au ulikua unafua eee kitu kama icho
huyu dogo kuna dalili 99% kuwa wanampakua mbolea walah, sio bure.
NDIYO MAANA UMEONA TU JINA LANGU UKAFUNGHUA THREAD,COZ UNA PAY ATENTION JUU YANGU,UNAPENDA KUFAHAM KUHUSU MIMI Heaven on Earth
HOD hautugawii tishirt mashabiki wako mim,smile,evelyn salt,
mimi huwa nashangaa huyo wajina wako kama vile hakufagilii sana.