Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
hahaa mwanamke umbea kusutwa suna lol
hahajahha umeona eeeh huo umbea kama unashindwa kuumwaga hapa nipm
hahaa mwanamke umbea kusutwa suna lol
hahajahha umeona eeeh huo umbea kama unashindwa kuumwaga hapa nipm
Mama bhoke kwa umbea sikuwezi
ushamba mzigo mzito...........
ndio maana Halima kimwana alikufanya aliyokufanyia kule mtaa wa pili
Welcome back mkuu. Naomba kuuliza je wewe ungependelea muungano wetu uwe wa aina gani je unaafiki tuwe na serikali 2,3 au 1. Natanguliza shukrani mkuu.
Hayo anayajua sasa mwenzio muulize kuhusu diamond ndio mwisho wake wa kujuaa
Maisha mazuri kwenye picha za Diamond! !!
Ha ha ha nimeshangaa hapo mkuu halafu tukiongea twaonekana wannabe....
Watu wana definitions za ajabu sana za maisha mazuri
Huyo dogo maisha standard kayapata baada ya ndomo kubahatisha...
Hajui maisha mazuri maana yake nini na huo ushamba unamdhalilisha japo hajatambua hilo..
Tuwaonee huruma lakn si unajua kuanza kula mkate wa blue band ukubwani ni shidaaa?
Teh teh teh