Hayati Magufuli anapaswa kupewa Heshima ya Baba wa Pili wa Taifa la Tanzania

IMG-20210403-WA0003.jpg
 
Kunamijitu huwa inakera heshma ya baba wa taifa alipewa kwakuudai Uhuru wetu sasa huyo mpush mwenzio kafanya nini chaajabu zaidi ya kukusanya fedha kwa mabavu,kuvamia accounts za watu hadi vituo vinavyosaidia yatima na kuchkua pesa,wajeda kuvamia maduka yakubadili pesa no. Kisha kujengajenga!!
 
Habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote ni wazima wa Afya na mnaendelea vyema na ujenzi wa Taifa letu pendwa Tanzania.

Tukirejea kwenye mada...Aliyekuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Magufuli alikuwa ni kiongozi wa namna yake na kwa wakati muafaka ambao amekaa madarakani amefanya vitu vingi ambavyo kwa namna moja au nyingine vimeleta mageuzi na mabadiliko makubwa kiuwajibikaji, kiuchumi na kijamii na kuwa chachu kubwa kwa ustawi wa kimaendeleo wa Taifa la Tanzania.

Hakika hakuna asie na makosa, nami nakiri kuna mahali ambako aliyumba lakini bado haiondoi uhalisia na ukweli kuwa alifanya hivyo kwa dhamira kuu ya kutetea na kupigania maslahi mapana ya Taifa letu sema kuna sehemu matokeo hayakuwa chanya japo lengo lake lilikuwa jema.

Tukijaribu kuweka katika mizani yale Mazuri na mabaya, kwa hakika mazuri ni mengi sana na mfumo wa utawala wake umejenga msingi imara kwa viongozi wengi waliopo sasa na watakaokuja baadae.

Inawezekana sio wote, ila wengi wetu ni mashahidi na tumeshuhudia mageuzi makubwa kwenye kuleta mabadiliko ya uwajibikaji serikalini, kuzuia rushwa na udanganyifu, Mfumo usio na upendeleo katika kutoa ajira, ujenzi na uboreshaji wa miundombinu yenye kuleta tija kiuchumi kama Bwawa la Nyerere na Reli ya SGR,Umeme vijijini, Uboreshaji wa huduma za Afya, Ongezeko la ukusanywaji wa kodi, uboreshaji wa mikataba ya madini na gesi na vinginevyo vingi ambayo vimefanikisha Tanzania kuingia katika uchumi wa kati wa chini mapema tofauti na ilivyotarajiwa.

Kwa hakika umefika wakati wa Hayati John Magufuli kupewa Heshima ya Baba wa pili wa Taifa la Tanzania, baada ya waasisi wa Taifa na Muungano ili kuyaenzi daima yale mema yote aliyoyafanya kwa maslahi mapana ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Na hatotukuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo kwani hata Korea Kaskazini wana Baba wawili wa Taifa, ila yote kwa yote neno langu sio Sheria, ni mawazo yangu tu, hivyo nawasilisha.
baba wa taifa la chato au sukuma gang mkitaka lakini kwa Tanzania? Never on 🌎 to the Tzu hitler!!!
 
Habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote ni wazima wa Afya na mnaendelea vyema na ujenzi wa Taifa letu pendwa Tanzania.

Tukirejea kwenye mada...Aliyekuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Magufuli alikuwa ni kiongozi wa namna yake na kwa wakati muafaka ambao amekaa madarakani amefanya vitu vingi ambavyo kwa namna moja au nyingine vimeleta mageuzi na mabadiliko makubwa kiuwajibikaji, kiuchumi na kijamii na kuwa chachu kubwa kwa ustawi wa kimaendeleo wa Taifa la Tanzania.

Hakika hakuna asie na makosa, nami nakiri kuna mahali ambako aliyumba lakini bado haiondoi uhalisia na ukweli kuwa alifanya hivyo kwa dhamira kuu ya kutetea na kupigania maslahi mapana ya Taifa letu sema kuna sehemu matokeo hayakuwa chanya japo lengo lake lilikuwa jema.

Tukijaribu kuweka katika mizani yale Mazuri na mabaya, kwa hakika mazuri ni mengi sana na mfumo wa utawala wake umejenga msingi imara kwa viongozi wengi waliopo sasa na watakaokuja baadae.

Inawezekana sio wote, ila wengi wetu ni mashahidi na tumeshuhudia mageuzi makubwa kwenye kuleta mabadiliko ya uwajibikaji serikalini, kuzuia rushwa na udanganyifu, Mfumo usio na upendeleo katika kutoa ajira, ujenzi na uboreshaji wa miundombinu yenye kuleta tija kiuchumi kama Bwawa la Nyerere na Reli ya SGR,Umeme vijijini, Uboreshaji wa huduma za Afya, Ongezeko la ukusanywaji wa kodi, uboreshaji wa mikataba ya madini na gesi na vinginevyo vingi ambayo vimefanikisha Tanzania kuingia katika uchumi wa kati wa chini mapema tofauti na ilivyotarajiwa.

Kwa hakika umefika wakati wa Hayati John Magufuli kupewa Heshima ya Baba wa pili wa Taifa la Tanzania, baada ya waasisi wa Taifa na Muungano ili kuyaenzi daima yale mema yote aliyoyafanya kwa maslahi mapana ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Na hatotukuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo kwani hata Korea Kaskazini wana Baba wawili wa Taifa, ila yote kwa yote neno langu sio Sheria, ni mawazo yangu tu, hivyo nawasilisha.
Labda huna baba hau hujui maana ya baba. Kwa nini nyerere anaitwa baba wa taifa? Kwa sababu alipigania Uhuru wa nchi hii likazaliwa taifa linaloitwa leo Tanzania. Sasa huyo pombe amezalisha taifa gani?
 
Habari za wakati huu, ni matumaini yangu wote ni wazima wa Afya na mnaendelea vyema na ujenzi wa Taifa letu pendwa Tanzania.

Tukirejea kwenye mada...Aliyekuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Magufuli alikuwa ni kiongozi wa namna yake na kwa wakati muafaka ambao amekaa madarakani amefanya vitu vingi ambavyo kwa namna moja au nyingine vimeleta mageuzi na mabadiliko makubwa kiuwajibikaji, kiuchumi na kijamii na kuwa chachu kubwa kwa ustawi wa kimaendeleo wa Taifa la Tanzania.

Hakika hakuna asie na makosa, nami nakiri kuna mahali ambako aliyumba lakini bado haiondoi uhalisia na ukweli kuwa alifanya hivyo kwa dhamira kuu ya kutetea na kupigania maslahi mapana ya Taifa letu sema kuna sehemu matokeo hayakuwa chanya japo lengo lake lilikuwa jema.

Tukijaribu kuweka katika mizani yale Mazuri na mabaya, kwa hakika mazuri ni mengi sana na mfumo wa utawala wake umejenga msingi imara kwa viongozi wengi waliopo sasa na watakaokuja baadae.

Inawezekana sio wote, ila wengi wetu ni mashahidi na tumeshuhudia mageuzi makubwa kwenye kuleta mabadiliko ya uwajibikaji serikalini, kuzuia rushwa na udanganyifu, Mfumo usio na upendeleo katika kutoa ajira, ujenzi na uboreshaji wa miundombinu yenye kuleta tija kiuchumi kama Bwawa la Nyerere na Reli ya SGR,Umeme vijijini, Uboreshaji wa huduma za Afya, Ongezeko la ukusanywaji wa kodi, uboreshaji wa mikataba ya madini na gesi na vinginevyo vingi ambayo vimefanikisha Tanzania kuingia katika uchumi wa kati wa chini mapema tofauti na ilivyotarajiwa.

Kwa hakika umefika wakati wa Hayati John Magufuli kupewa Heshima ya Baba wa pili wa Taifa la Tanzania, baada ya waasisi wa Taifa na Muungano ili kuyaenzi daima yale mema yote aliyoyafanya kwa maslahi mapana ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Na hatotukuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo kwani hata Korea Kaskazini wana Baba wawili wa Taifa, ila yote kwa yote neno langu sio Sheria, ni mawazo yangu tu, hivyo nawasilisha.
Labda taifa la chato
 
Aitwe tu Magufuli itatosha..

Watakupiga mawe, kejeli na matusi. Ila lile
lilikuwa jembe yenye haraka sana.

Nidhamu serikalini (unanijua mimi ni nani umeisha)

Umeme haukatiki tena.

Maji yapo 24/7.

Umeme unakuja mwingine mwingi. Hadi kuuza kwa nchi jirani.

Elimu bure 12 milioni watoto wamesoma bure, labda wangekuwa vibaka, malaya, majambazi. Ukimaliza secondary unaweza kujiongeza.

Mwendo kasi,terminal three.
Nchi yote barabara ziko vizuri,
Alikuwa anasema tunaweza, sisi ni nchi tajiri. Katika jitihada za kuinua uwezo wa kufikiri, to change attitude, mindset.
Umeme kila siku ulikuwa unakatika si chini ya mara tano kwa siku hivi ninyi watu ni vipofu eti,umeme unasumbua kila siku wewe unakuja na hoja mfu kuwa umeme hausumbui,kumbe kuwa ccm ni upumbavu nimeamini.
 
Aitwe tu Magufuli itatosha..

Watakupiga mawe, kejeli na matusi. Ila lile
lilikuwa jembe yenye haraka sana.

Nidhamu serikalini (unanijua mimi ni nani umeisha)

Umeme haukatiki tena.

Maji yapo 24/7.

Umeme unakuja mwingine mwingi. Hadi kuuza kwa nchi jirani.

Elimu bure 12 milioni watoto wamesoma bure, labda wangekuwa vibaka, malaya, majambazi. Ukimaliza secondary unaweza kujiongeza.

Mwendo kasi,terminal three.
Nchi yote barabara ziko vizuri,
Alikuwa anasema tunaweza, sisi ni nchi tajiri. Katika jitihada za kuinua uwezo wa kufikiri, to change attitude, mindset.
Mwendo kasi kajenga yeye?!
Barabara ziko vizuri unamaanisha nini? Kwamba kabla yake barabara hazikuwepo ilikua ni mwendo wa rough roads? Na maji na umeme hahahhaha

Kuna tofauti ya kujenga na kuzindua.
Hongera kwa BWM na JK waliofanya mambo makubwa bila kelele
 
Mwendo kasi kajenga yeye?!
Barabara ziko vizuri unamaanisha nini? Kwamba kabla yake barabara hazikuwepo ilikua ni mwendo wa rough roads? Na maji na umeme hahahhaha

Kuna tofauti ya kujenga na kuzindua.
Hongera kwa BWM na JK waliofanya mambo makubwa bila kelele
Vipi kuhusu umeme,maji ulikuwa unayapata. Ukienda ofisi za serikali ulikuwa unasikilizwa?
 
Back
Top Bottom