tutamkumbukamagu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 317
- 270
mkopo ndio hela ya watanzania mburula wewe!!!! mkopo ni hela yako, fact kuwa umekubali kupewa, na utalipa it makes it yours,Hiyo miradi yote amejenga kwa mkopo uliza uambiwe. Aliwafool nyie mliotoka vichakani mkaamini.
Watanzania mnapenda kudangamywa sana mama amewaambia ukweli mnamuona hafai Yule mwizi alikuwa anafanya kimyakimya anawadanganya eti anajenga kwa pesa zetu. Zipi???