Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Sitaki kutoa maelezo mengi maana kila mtu anaona kwa macho yake.
Makame Mbarawa alikataliwa na Magufuli leo hii anaingia mkataba na sehemu ya nchi huku nchi husika ikiwa haina taarifa.
January ndio hafai kabisa maana Wizara ya Nishati ndio chaka lake la kuibia Watanzania. Rejea Mkataba wa Mahindra Group huku hakuna alichoboresha.
Nape ndio bogus kabisa, maana yeye anadhania kila mahala ni propaganda na porojo tu. Kisa tu mburula ambaye anaishi kwa kuropoka majukwaani na kutembelea jina la baba yake.
Leo mnashuhudia kwa macho yenu.
Makame Mbarawa alikataliwa na Magufuli leo hii anaingia mkataba na sehemu ya nchi huku nchi husika ikiwa haina taarifa.
January ndio hafai kabisa maana Wizara ya Nishati ndio chaka lake la kuibia Watanzania. Rejea Mkataba wa Mahindra Group huku hakuna alichoboresha.
Nape ndio bogus kabisa, maana yeye anadhania kila mahala ni propaganda na porojo tu. Kisa tu mburula ambaye anaishi kwa kuropoka majukwaani na kutembelea jina la baba yake.
Leo mnashuhudia kwa macho yenu.