Hayati Magufuli alikuwa kiongozi mbaya; aliua mifumo ya utawala bora akawadanganya Watanzania na vitu vidogo kama madaraja, stendi, ndege n.k

Bahati nzuri umetaja uovu mwingine wa magufuli ambao ni biashara ya siasa! Ndio raisi pekee tuliemuona wazi akitumia kodi za wananchi kununua wanasiasa malayamalaya. Shetani mkubwa yule Mungu fundi akamnyofoa kama unyoya.
Vipi na nyie uchaguzi wa 2015 mlikuwa wanasiasa malaya malaya mkanunuliwa na Lowasa?
 
Kwa vipimo vyote magufuli alikuwa kiongozi mbaya ila kwakuwa Watanzania ni watu wenye upeo mdogo aliwa win mioyo yao.

Magufuli alihakikisha mifumo yote ya good governance anai paralyze au kuiuwa kabisa ili yeye ndio awe sheria alisahau kwamba binadamu hupita ila continuity ya taifa inategemea mifumo imara na sio mtu imara.

Watu huja na kupita ila mifumo hubaki kwa muda mrefu. Stability ya taifa hutegemea mifumo sio mtu.

Magufuli alihakikisha bunge linakuwa mfukoni mwake na ndio maana alidiriki kununua wapinzani na kuvuruga uchaguzi wa 2019 na 2020.

Kwakuwa watanzania wengi wana upeo na uelewa mdogo walimpongeza kwa vile waliona akiwajengea miundombinu mizuri na kwa bahati nzuri watanzania ni watu wa kuridhika haraka na kwa vitu vidogovidogo.
Wanasahau kwamba popote penye utawala bora au good governance kwa kizungu hayo yote ya barabara madaraja stendi masoko ya kisasa huja automatically.

Kwahiyo Magufuli alitumia ujinga wa watanzania kuwarubuni na wao qakarubunika. Magufuli alikuwa anajinasibu kuwa mtetezi wa wanyonge huku akigawa hela barabarani na kukaa chini ili wananchi wamshangae wampende kumbe ule ni utapeli wa kisiasa angeishi hata mwaka mmoja taifa lingeangamia.
Sasa vyeti huamini hadi leo hakuna ajira kwa wenye vyeti feki unafikiri ukianzisha uzi wa kumkejeli Magufuli ndio utaonewa huruma ya ajira embu tafuta kazi nyingine bana hata kalime tu muache Mzee wa watu apumzike unafikiri wewe kifo hakikihusu
 
Wazeee mpumzisheni huyu baba ameshaenda imetoshaaa!!
Adolf hitla anasemwa mpaka kesho sembuse yule dikteta uchwara huyo mjinga anaumia sanamu lake kusemwa ila hajiulizi familia ya Ben saanane mama mke watoto wanajisikiaje kutokuona hata kaburi la baba yao? Vaa viatu vya watoto wa Ben saanane Azory gwanda halafu jiulize yule mwehu alikuwa mtu mbaya kiasi gani?
 
Sasa vyeti huamini hadi leo hakuna ajira kwa wenye vyeti feki unafikiri ukianzisha uzi wa kumkejeli Magufuli ndio utaonewa huruma ya ajira embu tafuta kazi nyingine bana hata kalime tu muache Mzee wa watu apumzike unafikiri wewe kifo hakikihusu
Vyeti ha ha ha unajijua lakini? Sisi wengine tunazisemea familia za kina Ben saanane kama nyie mnaumia anaposemwa vibaya basi nasisi tunaumizwa kwa kutokuona makaburi ya wapendwa wetu kina Ben saanane.
 
Wewe ni kichefu chefu tu, tena wewe utakua ni mmoja wa mafisadi au wakwepa Kodi ktk nchi hii. WaTanzania Wana akili tofauti na unavyo dhani, ndiyo maana unawaona hawakusoma lakini namna wanavyo endesha maisha yao ni zaidi ya wasomi, kwa hivyo wanaelewa sana JPM alikua anafanya nini, unaponda maendeleo aliyokua akifanya kweni nchi na wananchi inahitaji nini zaidi ya hivyo alivyo fanya ambavyo wewe unaponda? Mi naona wewe ni mpuuzi tu.

Yaani tufanye unaponda daraja la Busisi, sehemu ambayo watu walikua wakizama maji kwa kuvilisha mazao ya bustani na samaki kupitia mitumbwi, leo waje wapite salama juu ya daraja then wewe uwaambie hayo ni mambo rahisi kwao na wakuelewe, mjinga tu wewe.

Kama madaraja, barabara nk ni sifa hivyo, basi mpaka leo weusi wa Afrika kusini wangepaswa wawe wanawapongeza makaburu. Kama wananchi waliona madaraja ni mambo makubwa, ni kwa kuwa uelewa wao ni mdogo kama alivyosema mleta mada.
 
Tushasema hapa
Mfuate pale alipolala Chato.
Mfukue Msuteee.
ukichoka mzike tena rudi kwenu,
Nyie ndo mnasababisha tupigwe Ban.
Na hatutaacha kumsema yule hayawani mpaka mtuambie ben saanane na azory gwanda mliwafukia wapi mnadhani marehemu wenu tuu ndio anastahili heshima umeshawahi kuvaa viatu vya watoto wa Ben saanane uone trauma wanayoipitia? Mshenzi kabisa yule Mungu wenu na kabudi.
 
Huwa nawaza watetezi wa magufuli wanawaza nini kuhusu mke wa Ben saanane watoto mama mzazi ndugu jamaa na marafiki yani hata kaburi la baba yao hawajawahi kuliona halafu mnatuletea mambo yenu ya kumtetea mzimu wenu.
 
Na hatutaacha kumsema yule hayawani mpaka mtuambie ben saanane na azory gwanda mliwafukia wapi mnadhani marehemu wenu tuu ndio anastahili heshima umeshawahi kuvaa viatu vya watoto wa Ben saanane uone trauma wanayoipitia? Mshenzi kabisa yule Mungu wenu na kabudi.
Una ushahidi?
majina yale yale mnajua mlichokifanya.
Rais anahusikaje na mambo yenu huko?
Legacy ya Magufuli uongee habari ya saa tisa??
Kwanini mnakua mnamfananisha tembo na Mende?
Mtumiage akili kidogo tu.
 
Crocodile mkubwa kabisa. Rais Dkt Samia ndiye rais wetu, kila uamuzi lazima muunge mkono lasivyo muhame nchi!
Sio kila mtu ana muda wa kuunga mkono majizi ya kura. Muunge mkono ww maana ni mfaidika wa hayo majizi.
 
Wewe kama mtanzania ni aibu sana kama unashabikia majizi na matepeli kama akina lisu
Mimi sio mtanzania aliyechotwa akili ni mwenge wa uhuru. Hivyo sina muda wa kujipendekeza kwa majizi ya kura na wauza raslimali za nchi, eti kisa wana madaraka ya kunajisi uchaguzi
 
Waliofai
Mkuu inaonyesha haufahamu kwanini watu walimkubali Magufuli na kwanini sasa hivi wanamkumbuka.
dika na uongozi wake mbovu na upendeleo wa kikabila wanamkumbuka, akina Makonda hawatamsahau kamwe. Wabunge waliopita bila kupingwa hawatamsahau kamwe. Sabaya na wengine hawatamsahau Magufuli.
 
Back
Top Bottom