Hayati Magufuli alikuwa kiongozi mbaya; aliua mifumo ya utawala bora akawadanganya Watanzania na vitu vidogo kama madaraja, stendi, ndege n.k

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,416
30,932
Kwa vipimo vyote Magufuli alikuwa kiongozi mbaya ila kwakuwa Watanzania ni watu wenye upeo mdogo aliwa win mioyo yao.

Magufuli alihakikisha mifumo yote ya good governance anai paralyze au kuiuwa kabisa ili yeye ndio awe sheria alisahau kwamba binadamu hupita ila continuity ya taifa inategemea mifumo imara na sio mtu imara.

Watu huja na kupita ila mifumo hubaki kwa muda mrefu. Stability ya taifa hutegemea mifumo sio mtu.

Magufuli alihakikisha bunge linakuwa mfukoni mwake na ndio maana alidiriki kununua wapinzani na kuvuruga uchaguzi wa 2019 na 2020.

Kwakuwa watanzania wengi wana upeo na uelewa mdogo walimpongeza kwa vile waliona akiwajengea miundombinu mizuri na kwa bahati nzuri watanzania ni watu wa kuridhika haraka na kwa vitu vidogovidogo.

Wanasahau kwamba popote penye utawala bora au good governance kwa kizungu hayo yote ya barabara madaraja stendi masoko ya kisasa huja automatically.

Kwahiyo Magufuli alitumia ujinga wa watanzania kuwarubuni na wao qakarubunika. Magufuli alikuwa anajinasibu kuwa mtetezi wa wanyonge huku akigawa hela barabarani na kukaa chini ili wananchi wamshangae wampende kumbe ule ni utapeli wa kisiasa angeishi hata mwaka mmoja taifa lingeangamia.
 
Wewe ni kichefu chefu tu, tena wewe utakua ni mmoja wa mafisadi au wakwepa Kodi ktk nchi hii. WaTanzania Wana akili tofauti na unavyo dhani, ndiyo maana unawaona hawakusoma lakini namna wanavyo endesha maisha yao ni zaidi ya wasomi, kwa hivyo wanaelewa sana JPM alikua anafanya nini, unaponda maendeleo aliyokua akifanya kweni nchi na wananchi inahitaji nini zaidi ya hivyo alivyo fanya ambavyo wewe unaponda? Mi naona wewe ni mpuuzi tu.

Yaani tufanye unaponda daraja la Busisi, sehemu ambayo watu walikua wakizama maji kwa kuvilisha mazao ya bustani na samaki kupitia mitumbwi, leo waje wapite salama juu ya daraja then wewe uwaambie hayo ni mambo rahisi kwao na wakuelewe, mjinga tu wewe.
 
Wewe ni kichefu chefu tu, tena wewe utakua ni mmoja wa mafisadi au wakwepa Kodi ktk nchi hii.... WaTanzania Wana akili tofauti na unavyo dhani, ndiyo maana unawaona hawakusoma lakini namna wanavyo endesha maisha yao ni zaidi ya wasomi, kwa hivyo wanaelewa sana JPM alikua anafanya nini, unaponda maendeleo aliyokua akifanya kweni nchi na wananchi inahitaji nini zaidi ya hivyo alivyo fanya ambavyo wewe unaponda? Mi naona wewe ni mpuuzi tu

Yaani tufanye unaponda daraja la Busisi, sehemu ambayo watu walikua wakizama maji kwa kuvilisha mazao ya bustani na samaki kupitia mitumbwi, leo waje wapite salama juu ya daraja then wewe uwaambie hayo ni mambo rahisi kwao na wakuelewe, mjinga tu wewe
Madaraja na flyover vitajengwa tena kwa hali ya juu na marais wajao. Hilo sio jambo la pekee kila serikali inajenga madaraja na barabara tangu wakoloni hadi kesho. Magufuli anabaki kuwa kiongozi hatari aliyeingiza ushenzi mkubwa Tanzania ukiwepo ukabila, ubabe, uonevu, wizi wa kimataifa, upotevu mkubwa wa fedha, nk
 
Kwa vipimo vyote magufuli alikuwa kiongozi mbaya ila kwakuwa watanzania ni watu wenye upeo mdogo aliwa win mioyo yao.

Magufuli alihakikisha mifumo yote ya good governance anai paralyze au kuiuwa kabisa ili yeye ndio awe sheria alisahau kwamba binadamu hupita ila continuity ya taifa inategemea mifumo imara na sio mtu imara.

Watu huja na kupita ila mifumo hubaki kwa muda mrefu. Stability ya taifa hutegemea mifumo sio mtu.

Magufuli alihakikisha bunge linakuwa mfukoni mwake na ndio maana alidiriki kununua wapinzani na kuvuruga uchaguzi wa 2019 na 2020.

Kwakuwa watanzania wengi wana upeo na uelewa mdogo walimpongeza kwa vile waliona akiwajengea miundombinu mizuri na kwa bahati nzuri watanzania ni watu wa kuridhika haraka na kwa vitu vidogovidogo. Wanasahau kwamba popote penye utawala bora au good governance kwa kizungu hayo yote ya barabara madaraja stendi masoko ya kisasa huja automatically. Kwahiyo magufuli alitumia ujinga wa watanzania kuwarubuni na wao qakarubunika. Magufuli alikuwa anajinasibu kuwa mtetezi wa wanyonge huku akigawa hela barabarani na kukaa chini ili wananchi wamshangae wampende kumbe ule ni utapeli wa kisiasa angeishi hata mwaka mmoja taifa lingeangamia.
Ni wachache watakao kuelewa sukuma ganga, watakuona wewe ufai ila ukweli ni kwamba. Magufuli ilikua shetani kubwa katika nchi hi he did more harm than good katika nchi hi.
 
Kwa vipimo vyote magufuli alikuwa kiongozi mbaya ila kwakuwa watanzania ni watu wenye upeo mdogo aliwa win mioyo yao.

Magufuli alihakikisha mifumo yote ya good governance anai paralyze au kuiuwa kabisa ili yeye ndio awe sheria alisahau kwamba binadamu hupita ila continuity ya taifa inategemea mifumo imara na sio mtu imara.

Watu huja na kupita ila mifumo hubaki kwa muda mrefu. Stability ya taifa hutegemea mifumo sio mtu.

Magufuli alihakikisha bunge linakuwa mfukoni mwake na ndio maana alidiriki kununua wapinzani na kuvuruga uchaguzi wa 2019 na 2020.

Kwakuwa watanzania wengi wana upeo na uelewa mdogo walimpongeza kwa vile waliona akiwajengea miundombinu mizuri na kwa bahati nzuri watanzania ni watu wa kuridhika haraka na kwa vitu vidogovidogo. Wanasahau kwamba popote penye utawala bora au good governance kwa kizungu hayo yote ya barabara madaraja stendi masoko ya kisasa huja automatically. Kwahiyo magufuli alitumia ujinga wa watanzania kuwarubuni na wao qakarubunika. Magufuli alikuwa anajinasibu kuwa mtetezi wa wanyonge huku akigawa hela barabarani na kukaa chini ili wananchi wamshangae wampende kumbe ule ni utapeli wa kisiasa angeishi hata mwaka mmoja taifa lingeangamia.
Una uhakika na unachokinena
 
Kwa vipimo vyote magufuli alikuwa kiongozi mbaya ila kwakuwa watanzania ni watu wenye upeo mdogo aliwa win mioyo yao.

Magufuli alihakikisha mifumo yote ya good governance anai paralyze au kuiuwa kabisa ili yeye ndio awe sheria alisahau kwamba binadamu hupita ila continuity ya taifa inategemea mifumo imara na sio mtu imara.

Watu huja na kupita ila mifumo hubaki kwa muda mrefu. Stability ya taifa hutegemea mifumo sio mtu.

Magufuli alihakikisha bunge linakuwa mfukoni mwake na ndio maana alidiriki kununua wapinzani na kuvuruga uchaguzi wa 2019 na 2020.

Kwakuwa watanzania wengi wana upeo na uelewa mdogo walimpongeza kwa vile waliona akiwajengea miundombinu mizuri na kwa bahati nzuri watanzania ni watu wa kuridhika haraka na kwa vitu vidogovidogo. Wanasahau kwamba popote penye utawala bora au good governance kwa kizungu hayo yote ya barabara madaraja stendi masoko ya kisasa huja automatically. Kwahiyo magufuli alitumia ujinga wa watanzania kuwarubuni na wao qakarubunika. Magufuli alikuwa anajinasibu kuwa mtetezi wa wanyonge huku akigawa hela barabarani na kukaa chini ili wananchi wamshangae wampende kumbe ule ni utapeli wa kisiasa angeishi hata mwaka mmoja taifa lingeangamia.
hiyo misingi ya utawala bora huyu Mama kaifufua au haifufuki ??? Au na yeye anamuiga Magufuli intentionally?
 
Back
Top Bottom