Inasikitisha zaidi, kuwa hao wanaoitwa "chawa," wanapojulikana uchawa wao siyo kwa kupenda afanyayo huyo wanayemshabikia, bali kwa kutegemea fadhira kutoka kwake.Kalamu,
Huyu jamaa ameua kabisa ufahamu wake! Inapokuja CCM akili yake ina freeze! Huwa najiuliza hivi kuwa CCM ni kweli lazima upoteze rational thinking?
Nimeangalia wabunge walivyo sambaa Tanzania kutetea DP World, wengi tulitegemea wanakuja na hoja zenye mantiki, nimefuatilizia mno nikiamini wanakwenda kujenga hoja za kubomoa kabisa walio kinyume na huo mkataba. Nimekisikitia hicho Chama mno....Huko Mwanza wameambiwa wasubiri "Watoto wa Kiarabu" ......Kweli naamini inabidi kuwa zezeta kwa sehemu kubwa kwa sasa hivi kuwa mfuasi wa CCM!
Uchawa unapofusha mno ufahamu.