Hayati Magufuli alikamata kila mwenye akili ya kuhoji, alitaka kuongoza nchi ya Wajinga tu, Hata hivyo ilishindikana

Mbowe kafanikiwa kuwalisha limbwata.

Mwaka wa 50 huu ni mwenyekiti wenu na hakuna mwenye guts za kumuuliza lini atastep down.

Wote mpo kimya mnamuita mwamba.
 
Halafu wananchi wakiwakataa kwenye maandamano yenu uchwara mnasingizia mmerogwa. Mnacheza muziki wa Mbowe bila kutafakari. Mwenzenu kahongwa amtukane jiwe mpaka kajenga mjengo huko kijijini. Jpm keshawapoteza
Kama kuweka wazi maovu ya Jiwe kutawafanya wasije, bora wasije. Naona wengi wenu hamjibu kabisa hoja mnakimbilia kupita pembeni ya hoja. Hiyo maana yake nini?
 
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .

Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE

Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano

View attachment 2933711

Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Kwasasa unahoji Nini ? Au akili za kihoji zimeisha ?
 
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .

Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE

Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano

View attachment 2933711

Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
TUMSIFU YESU KRISTO..
images (1).jpeg
 
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .

Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE

Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano

View attachment 2933711

Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Kama marehemu anawasumbua kichwa ,je mwenye uhai mtamuweza vipi?Kiufupi CCM TUNASHINDANA NA CCM,yaani ukishindan uchaguzi ndani ya CCM automatically wewe ndio diwani,mb au Rais .CCM tobiko🔊🔊🔊🔊🔊
 
Hayo ni maoni yako. Hatahivyo huna pa kusimamia kwa sababu umehemeka tu.


Ukweli ni Kwamba Wazungu ndio walianzisha kampeni ya Kumchafua. Wewe ni wakala wao. Na sio kampenibya kumchafua tu, bali na Psychological wafrare.

CHADEMA kama vibaraka wa Hawa wazungu nao wamenga'a ng'ania hapo hapo-kuendeleza kampeni za kupaka matope kwa lengo la kuwafanya Vijana wasiwe na mawazo ya Kujitawala kwa Uhuru wa Ukuu wa Taifa.-Sovereign integrity for lack of a better word.

Magufuli alikuwa na Sovereign Integriry, vita mnayompiga, matusi mabaya n.k ambayo nina Uhakika huwa yanawafanya hamlali kwa raha, Indirectly yanalengwa kwa vijana kuwa na Fikra hizo. Kuwa huru.

Mchafu Mbowe atubu dhambi zake na asijifiche kwa kutaka asamehewe nyuma ya pazia ya Maridhiano.
Mkuu face the truth, tell the truth, stand by the truth, answer truthfully and always defend your argument truthfully. Upinzani sio vibaraka wa wazungu by even an nch!

Chama tawala kimepokea misaada na mikopo na kufanya biashara na wazungu for over six decade day and night wakiwa wamekumbatiana!

Kama kweli kuna vibaraka, basi vibaraka papa wa wazungu na mabeberu kwa vigezo vyote ni chama tawala!
 
Utakuwa umerogwa sio bule!

Wewe! Ndo wa kuongelea waliokufa, upate faida ipi?

Na ndiyo maana sie tunakuona mjinga tu!
Mkuu kuna watu maarufu wamekufa miaka elfu huko nyuma na wanaongelewa mpaka hii leo sembuse huyo wa miaka mitatu!

Wewe unapungua nini wakimuongelea!

Au una faidika nini wakiwa hawamuongelei!

Huu ni wakati wa kumbukumbu yake! Acha watu wafunguke, wateme nyongo! Watoe ya mioyoni mwao!

Maisha ndivyo yalivyo!
 
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .

Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE

Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano

View attachment 2933711

Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Katiba mpya muhimu kwa mustakabali mzuri wa Tz!
 
Huyo huyo Mwendazake Ali Hassan Mwinyi alimwaga misifa kibao pale msibani.

Alielezea kwa Ufasaha Hadithi ya Hayat Rais au Alikuwa mnafiki? Unaeza thibitisha unafiki wake?

Alisema kati ya Maraisi wote combined, Magufuli tu ndie aliyeweza kufanya maamuzi makubwa na magumu.

Kwamba ndie aliye kuwa na Uthubutu na Ujeuri. Uthubutu na Ujeuri huo ndio unapigwa vita na sio Magufuli per se



Tuwe wakweli....Wazungu ndio walimchukia sana tu kwa Upana mrefu, Ila walikuta Jiwe ni Jiwe kweli kweli na alishajitoa kafara.
Na hakuficha haya na kutamka wazi kuwa anafanya hivyo.

Sasa leo hii kwanini hawa kina Erythrocyte na genge lao na vi Bots vyao humu hawasemi hayo na badala yake wanatafuta Uhasama wa Watanzania kuwachukia Watanzania wenzao.

Ndio maana kwenye lugha zao za kumkanda, scripted messaging wanamuondoa utu. Akwilina kapigwa risasi au wanaleta picha Tundu Lissu akichechemea au picha ya vyuma vyake vile miguuni, yote hayo kuamsha hisia tu kama picha na Ujumbe(mada hii) wa huyu wakala na kibaraka wa Wazungu Erythrocyte

Wanatukana kiasi kwamba ukiwa na nafsi ambayo ndio inaanza kukomaa , (ya Ujanani)Unaeza kukata tamaa kwa kuogopa haya matusi.

No No No. Magulification has to go on.

Hawawezi kutuua wote

...Wanakandia sera zake.

Hatahivyo ukiwauliza sera gani Wanasema Ben saanane kapotea. Tundu Lissu kapigwa risasi, Ni Ben saanane na Tundu L peke yake waliokuwa wakihoji?

Tutaeleza Hadithi yake.

Ni mkombozi wa Fikra. Na alikuwa kila siku akimaka. Tubadilishe mindset. Hawa sio marafiki zetu.
Mkuu ulikuwepo kipindi cha Nyerere akiwa dindia wazungu wa kauli na vitendo tena kwa kuwafuata kwao!

Magufuli alikuwa na falsafa gani tangible ya kuongoza taifa! Unampa sifa kwamba alikuwa shujaa ila kale karadi tu kaMtwara alizimia karibia siku tatu!

Amefanya ni cha maana, unasema alithubutu kufanya maamuzi magumu yapi?

Mabwawa hayakuwepo nchi hii kwani ndio la kwanza??

Ndege hazikuwepo nchi hii?? Kwani ndio za kwanza???

Barabara hazikuwepo nchi, kwani ndio za kwanza!!!

Huduma za jamii zote na miundo mbinu yake haikuwepo??? Kwani ya wakati wake ndio ya kwanza!!

Shida yako wewe ulilishwa proganda pori ikakukaa hadi uwezo wa kufikiri tena ukakoma!

Kazi iendelee.............
 
Mtamusingizia.. kama njia ya kutomsahau.. kumumisi.. kutamani angekuwepo.. aliwapa la kuongea Sana.. akili zenu wote alizishika kwa usimati..

alisema...

"Mtanikumbuka"

Kazi iendelee..
 
Alimkamata Pia bwana Ruge na Singasinga baada ya kutupiga pale IPTL.
Aliwakamata pia wajingawajinga wengi waliokuwa wanaitia hasara nchi Kwa upumbavu wao.
Leo Kila mtu anaona dola inavyopaa na gharama za maisha zinavyopaa baada ya kuendekeza wajinga wajinga.
 
If ukiwa mbaya ndio unakumbukwa milele kama hivi ni bora kuwa mtu mbaya......
Watu wazuri kama kina Lowasa wanawahi kusahaulika.
 
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .

Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE

Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano

View attachment 2933711

Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Tutazidi kumshukuru Mungu kwa kutuondolea dhahama iliyokuwapo manake mambo yalikuwa sio kabla ya March 17 2021.
 
Alimkamata Pia bwana Ruge na Singasinga baada ya kutupiga pale IPTL.
Aliwakamata pia wajingawajinga wengi waliokuwa wanaitia hasara nchi Kwa upumbavu wao.
Leo Kila mtu anaona dola inavyopaa na gharama za maisha zinavyopaa baada ya kuendekeza wajinga wajinga.
Hayo ni matokeo ya muda mrefu ya utawala ule dhalimu.
 
Back
Top Bottom