Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,993
Tata usiwe nawasiwasi, Nyambabe hana lake Serengeti....eti anajinadi mgombea maarufu. Kama UKAWA wanataka kumpata mgombea atakayefaa watuletee kura ya maoni kati yako, Ramso na Nyambabe uone utakavyowagalagaza. Umekijenga na kukisaidia hiki chama hadi kimefika hapa tata.
c.c Mwl Ryoba
Hommie don-oba habari ya siku mingi.
Tukifuata vigezo Sita vilivyoainishwa Jimbo la Serengeti atasimama Chadema kwa niaba ya UKAWA. Lakini kwakuwa Mosena Nyambabe Katibu Mkuu wa NCCR bado anaishi katika historia ya 1995, 2000 & 2005 ndiyo maana abasahau hata vigezo na kuwa king'ang'anizi.
Sasa ili kukata mzizi wa fitna viongozi wetu watuletee wagombea wa CHADEMA na NCCR ili tuamue ni nani atapeperusha bendera ya UKAWA Jinbo la Serengeti.
Last edited by a moderator: