Haya ndio majimbo utata UKAWA unashauri apewe nani?

Haya ndio majimbo utata UKAWA unashauri apewe nani?

Hommie don-oba habari ya siku mingi.

Tukifuata vigezo Sita vilivyoainishwa Jimbo la Serengeti atasimama Chadema kwa niaba ya UKAWA. Lakini kwakuwa Mosena Nyambabe Katibu Mkuu wa NCCR bado anaishi katika historia ya 1995, 2000 & 2005 ndiyo maana abasahau hata vigezo na kuwa king'ang'anizi.

Nzuri kaka, umekuwa kimya sana.
c.c Mwita Maranya

Sasa ili kukata mzizi wa fitna viongozi wetu watuletee wagombea wa CHADEMA na NCCR ili tuamue ni nani atapeperusha bendera ya UKAWA Jinbo la Serengeti.

umekuwa kimya sana kaka Mwita Maranya
 
Last edited by a moderator:
Mkuu heshima kwako, kwanza nikili kwamba NCCR-MAGEUZI hawakufanya vizuri ktk Uchaguzi Mkuu hiyo 2010 na pia katika serikali za mitaa last year ila pia tukubaliane kwa usahihi kabisa bado CCM inao mtandao mkubwa Serengeti na zingatia historia na jiografia yake. Kanda ya Ngoreme , kurya ambako tayari kumegawanyika wakira na nyabhasi, kuna Kanda ile ya Natta. Ukizingatia hilo utakubaliana nami kuwa tukibaki na unga'ang'anizi wa uchadema Serengeti itaendelea kuwa himaya ya ccm. Huyo jamaa mwl hana uhakika wa kupitishwa na Chadema, kuna mtu anaitwa Ramsey Rutiginga, anamtumia M/Kiti wa mkoa ambae ni rafiki yake na mtu wake wa karibu apitishwe yeye, so unaona dhahiri huo utaleta mpasuko mwingine tena. So wakurya mwisho wa siku watalala either kwa mgombea wa ccm au Chadema na kama mgombea wa ccm atakuwa mngoreme atapita kiurahisi kabisa. Dawa ya hayo yoote wampe heshima na kuwaachia jimbo NCCR-MAGEUZI kazi itakua ndogo, ngoreme wagawane kura na hizi Kanda nyingine wataipitisha ukawa.

nyamemba hiyo akili matope ya ukabila baki nayo huko huko Ngoreme wala usituletee sisi tunaojitambua.

Unaizungumzia jiografia ipi hiyo ambayo Chadema waliweza kupata 41% ya kura za ubunge 2010 huku NCCR wakipata 5%???

Unaizungumzia Jiografia ipi ya Serengeti ambayo Chadema wamepata Vijiji 26 na Vitongoji 131 huku NCCR wakipata Kitongoji kimoja katika uchaguzi wa mitaa 2014, tena kampeni zikisimamiwa na Mosena Nyambabe.

Kama hiyo jiografia unayoizungumzia ingekuwa na tija basi ni dhahiri kuwa tungeiona nguvu ya Nyambabe katika uchaguzi wa mitaa 2014.

Kama hiyo ndiyo mbinu mliyoelekezwa ya kutafuta kura kwa mbinu ya kueneza ujinga wa ubaguzi wa ukabila mkafie mbele na huo ujinga wenu.

Serengeti ni kwa wana Serengeti wote na si ya Wakurya, Wangoreme ama Wanatta!
 
Last edited by a moderator:
Segerea CHADEMA
Temeke CUF
Ukonga CHADEMA
Ilala CUF
Kinondoni CUF
Kigamboni CHADEMA
Serengeti CHADEMA
Mafia CUF
Morogoro mjini CUF
Kilosa CHADEMA
Mtwara mjini CUF
Vunjo NCCR

Ndio maana uwa tunasema, kuna watanzania wana akili ila pengine hawajapewa fursa ya kuonyesha uwezo wao. Sijui viongozi wetu wa UKAWA wanashindwa nini. Mbona hii iko wazi kabisa? Naomba wachukue proposal yako mkuu. It is totally perfect and realistic.
 
morogoro mjini, kinondoni, serengeti, kilosa na ukonga majimbo haya wapewe chadema
Temeke, segerea, ilala, mafia, mtwara mjini na kigamboni wapewe cuf.
 
There's a fine line between
genius and insanity.You have not yet
erased this line. No great mind has ever existed without a touch of madness. Obstacles are those frightful things you see when you take your eyes off the goal.DOnt ever dream about being an MP for Serengeti constituency.

Day dreaming Mr Mosena Nyambabe a.k.a nyamemba
 
Last edited by a moderator:
nyamemba hiyo akili matope ya ukabila baki nayo huko huko Ngoreme wala usituletee sisi tunaojitambua.

Unaizungumzia jiografia ipi hiyo ambayo Chadema waliweza kupata 41% ya kura za ubunge 2010 huku NCCR wakipata 5%???

Unaizungumzia Jiografia ipi ya Serengeti ambayo Chadema wamepata Vijiji 26 na Vitongoji 131 huku NCCR wakipata Kitongoji kimoja katika uchaguzi wa mitaa 2014, tena kampeni zikisimamiwa na Mosena Nyambabe.

Kama hiyo jiografia unayoizungumzia ingekuwa na tija basi ni dhahiri kuwa tungeiona nguvu ya Nyambabe katika uchaguzi wa mitaa 2014.

Kama hiyo ndiyo mbinu mliyoelekezwa ya kutafuta kura kwa mbinu ya kueneza ujinga wa ubaguzi wa ukabila mkafie mbele na huo ujinga wenu.

Serengeti ni kwa wana Serengeti wote na si ya Wakurya, Wangoreme ama Wanatta!

Anaandika kamasi tu hapa, himaya ya Natta tangu lini iko CCM?. Kwa taarifa tu kijiji cha Natta mwenyekiti wake na vitongoji wametoka CHADEMA. Wajumbe wa serikali ya kijiji CDM wako 16 na CCM 9. Yeye anaisemea Natta ipi?. Huyo Ramso Rutiginga chama hakiwezi mpitisha kwani ni swahiba na mamluki wa ZZK. Pia alishindwa kumsapoti mgombea wake ngazi ya kijiji cha Motukeri hadi kikaenda mikononi mwa MACCM. Nasikia anapita huku na kule anatangaza kwa gharama zozote zile lazima apitishwe.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa Mkuu, kwa mfano Serengeti aachiwe mtu mwenye ubavu kama Mh Mosena Nyambabe na si wewe au Ramsey Rutiginga, mtachomesha mechi kwa CCM mapema na baadae tunaanza kulia. We tulia kwenye udiwani and you can still growing little more and then it will come to your time.

Sisi watu wa Serengeti hatukutaki Nyambabe.
 
Ni kweli kabisa Mkuu, kwa mfano Serengeti aachiwe mtu mwenye ubavu kama Mh Mosena Nyambabe na si wewe au Ramsey Rutiginga, mtachomesha mechi kwa CCM mapema na baadae tunaanza kulia. We tulia kwenye udiwani and you can still growing little more and then it will come to your time.

Nyambabe una siasa za ukabila sana kaka, kamwe sijawahi kukuwazia unaweza kuwa na upeo wa hovyo hivi.
 
ukonga Cuf
ilala Cuf
segerea CDM
mtwara Cuf
Vunjo Nccr
 
Back
Top Bottom