Haya ndio majimbo utata UKAWA unashauri apewe nani?

Haya ndio majimbo utata UKAWA unashauri apewe nani?

Msulibasi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,957
Reaction score
8,005
Kwa mujibu wa gazeti mtanzania majimbo haya ni-Segerea 2 Temeke 3 Ukonga 4 Ilala 5Ilala 6.Kinondoni 7.Kigamboni 8. Serengeti 9.Mafia 10.Morogoro mjini 11.Kilosa 12.Mtwara mjini 13.Vunjo limepatiwa ufumbuzi juzi kaachiwa mbatia. Toa sababu ya wazo lako
 
Kazi ndogo kabisa, kila chama kilete mgombea wake, wananchi wenye kadi za vyama husika wapge kura ya maoni kwa mwamvuli wa UKAWA , atakayeshinda ndiye awe mgombea na wengne wamuunge mkono
 
Kazi ndogo kabisa, kila chama kilete mgombea wake, wananchi wenye kadi za vyama husika wapge kura ya maoni kwa mwamvuli wa UKAWA , atakayeshinda ndiye awe mgombea na wengne wamuunge mkono

Good point kaka
 
Kwa mujibu wa gazeti mtanzania majimbo haya ni-Segerea 2 Temeke 3 Ukonga 4 Ilala 5Ilala 6.Kinondoni 7.Kigamboni 8. Serengeti 9.Mafia 10.Morogoro mjini 11.Kilosa 12.Mtwara mjini 13.Vunjo limepatiwa ufumbuzi juzi kaachiwa mbatia. Toa sababu ya wazo lako

Segerea CHADEMA
Temeke CUF
Ukonga CHADEMA
Ilala CUF
Kinondoni CUF
Kigamboni CHADEMA
Serengeti CHADEMA
Mafia CUF
Morogoro mjini CUF
Kilosa CHADEMA
Mtwara mjini CUF
Vunjo NCCR
 
Segerea CHADEMA
Temeke CUF
Ukonga CHADEMA
Ilala CUF
Kinondoni CUF
Kigamboni CHADEMA
Serengeti CHADEMA
Mafia CUF
Morogoro mjini CUF
Kilosa CHADEMA
Mtwara mjini CUF
Vunjo NCCR

Utata wa mAFIA ni chadema kutaka kumkabidhi Saed Kubenea , unashauri Kubenea aombwe kulichukua kupitia CUF au wamtafutie katika haya ya DSM?
 
Ukonga, CHADEMA

Ilala, CHADEMA

Segerea CHADEMA

Siringeti CHADEMA

Morogoro Mjini CHADEMA

Temeke NCCR/CHADEMA (kama nccr hawana mtu)

Kilosa NCCR

Vunjo NCCR

Kigamboni CUF

Kinondoni CUF

Mtwara CUF

Mafia CUF
 
  • Thanks
Reactions: jme
Kazi ndogo kabisa, kila chama kilete mgombea wake, wananchi wenye kadi za vyama husika wapge kura ya maoni kwa mwamvuli wa UKAWA , atakayeshinda ndiye awe mgombea na wengne wamuunge mkono

Nakuunga mkono 100%
 
Segerea CHADEMA
Temeke CUF
Ukonga CHADEMA
Ilala CUF
Kinondoni CUF
Kigamboni CHADEMA
Serengeti CHADEMA
Mafia CUF
Morogoro mjini CUF
Kilosa CHADEMA
Mtwara mjini CUF
Vunjo NCCR
moro town hapo sikuungi mkono. CUF hawana nguvu hapa
 
Segerea CHADEMA
Temeke CUF
Ukonga CHADEMA
Ilala CUF
Kinondoni CUF
Kigamboni CHADEMA
Serengeti CHADEMA
Mafia CUF
Morogoro mjini CUF
Kilosa CHADEMA
Mtwara mjini CUF
Vunjo NCCR

Imekaa sawa hii , viva Ukawa
 
Kazi ndogo kabisa, kila chama kilete mgombea wake, wananchi wenye kadi za vyama husika wapge kura ya maoni kwa mwamvuli wa UKAWA , atakayeshinda ndiye awe mgombea na wengne wamuunge mkono


Wrong move, Why? Kwanini wasi stick kwenye vigezo walivyojiwekea kugawana majimbo ili kumpata mwakilishi wa UKAWA?

Kama hivyo vigezo waliivyojiwekea kugawana majimbo haviwezi kutoa mwakilishi wa UKAWA katika majimbo hayo, basi hivyo VIGEZO havifai inabididi wavili revisit na kuanza mchakato upya wa kugawana majimbo yote.

Kama kuna chama/vyama vinakataa huo mgawanyo wa majimbo kwa kufuata VIGEZO walivyojiwekea, simply kwa kukataa tu, basi UKAWA hawajawa tayari kuungana na hivyo huo UMOJA uvunjike na kila chama kiende kivyake kwenye uchaguzi mkuu, of course which will be advatge to CCM

Nini madhara ya kuanza kupindisha VIGEZO vya kugawana majimbo, kama UKAWA watafanya hivyo kwa ubunge kupindisha VIGEZO, God forbid kwenye Urais hawataweza kukubaliana kamwe kumpata mgombea na huo ndiyo utakuwa mwisho wa UKAWA na ndoto ya mda mrefu na inayosubiriwa kwa hamu na CCM kuikoa itakuwa imetimia.

Mimi ni mtu ninayeamni kwenye PRINCIPLES!
 
Watanzania acheni kua ma zezeta.hili gazeti mmeshaambiwa ni la mafisadi papa.rostam& lowassa.mnategemea liandikeje(. Mtanzania)
 
Ukonga, CHADEMA

Ilala, CHADEMA

Segerea CHADEMA

Siringeti CHADEMA

Morogoro Mjini CHADEMA

Temeke NCCR/CHADEMA (kama nccr hawana mtu)

Kilosa NCCR

Vunjo NCCR

Kigamboni CUF

Kinondoni CUF

Mtwara CUF

Mafia CUF

Ilala na Temeke haya majimbo kwa Chadema kushinda ni vigumu
 
Kazi ndogo kabisa, kila chama kilete mgombea wake, wananchi wenye kadi za vyama husika wapge kura ya maoni kwa mwamvuli wa UKAWA , atakayeshinda ndiye awe mgombea na wengne wamuunge mkono

Wakishindwa kote waje na wazo hilo!
 
Back
Top Bottom