๐๐๐๐๐๐ Pimbi kabisa wewe jamaaKwanza kukuta jibaba jitu zima full kitambi kapanga foleni ya supu ya utumbo na miguu ya kuku ni kawaida.mkononi anabakuli la plastiki.
๐๐๐๐๐๐ Pimbi kabisa wewe jamaaKwanza kukuta jibaba jitu zima full kitambi kapanga foleni ya supu ya utumbo na miguu ya kuku ni kawaida.mkononi anabakuli la plastiki.
Usitutishe[emoji39]Dar kweli mzunguko uko juu... lakini maisha yako juu jombaa! Mkaa kakopo kamoja 1500!
Dar kuna wanaoishi na wasindikizaji!
WazaramoHao wahindi ni watanzania?
Hata wewe hujakatazwa kuwa na nyumba CanadaLakini wana maghorofa makubwa ya biashara palepale city centre, na pia wana nyumba za kuishi canada..
Huko mikoani nyie hamna hasira, hakuna stress, hakuna maisha magumu? Umeongea too general hadi hoja yako imekosa pa kushika.humu ndani wamo sana
Muda wote wana mahasira, jua kali wanaamua kuja kuzimalizia kwenye kivuli huku jf
Lakini wengi wao maisha yao magumu sana ,wanatupiga vizinga sana sisi tulioko mikoaniKuna watu wanapenda kuwa kwenye comfort zone.Eti kimbia Dar ukarelax mkoani kivipi labda ukainvest mkoani.Hujaona wanaijeria wanatoka kwao anaenda Newyork anaanza from scratch lakini anatoboa.
Dar kuna fursa kibao.Usafiri 24hr,population, umeme, kuna evening classes na siku hizi maji ya uhakika,foleni zimepungua.
Unataka ujana wako uwe unalala saa tatu ukiwa huko mkoani sawa.Lakini watu wanapambana huku jijini hawana uoga.Ndio maana watanzania diaspora wachache kwa sababu waoga kupambana nje.
Sawa mnapambana sana, tatizo mtokeo hayaonekani, watu hadi wanazeeka bado wapo chumba kimoja, wakati kila siku yupo kazini, analala saa tisa usiku anaamuka saa kumi na mbili yupo barabaranKuna watu wanapenda kuwa kwenye comfort zone.Eti kimbia Dar ukarelax mkoani kivipi labda ukainvest mkoani.Hujaona wanaijeria wanatoka kwao anaenda Newyork anaanza from scratch lakini anatoboa.
Dar kuna fursa kibao.Usafiri 24hr,population, umeme, kuna evening classes na siku hizi maji ya uhakika,foleni zimepungua.
Unataka ujana wako uwe unalala saa tatu ukiwa huko mkoani sawa.Lakini watu wanapambana huku jijini hawana uoga.Ndio maana watanzania diaspora wachache kwa sababu waoga kupambana nje.
Lakini wengi wao maisha yao magumu sana ,wanatupiga vizinga sana sisi tulioko mikoani
Huwezi kujua msajili huku ukiwa kibera.Dar ni dream city kwa kila mTZ, na bado nipo nateseka tu [emoji3][emoji3][emoji3]
Hizo nyumba za msajili ndio sizijui.
Maisha kokote , watu wako Somalia wanasaka life sembuse Dar.Kuna mtu anadaiwa kodi ya miezi mitatu... hana hata mia... kodi ni 250k@ month sasa namwambia hebu hama huko hakuelewi hata kidogo.. kuishi Dar ni kama kaugonjwa fulani kanakuingia kichwani... amebaki kuomba omba tu..khaa had inaboa!poleni
Mazombi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu ni mji wa waliovurugwa
Dar kila mtu kachanganyikiwa muda wote tupo na leso anafuta jasho, muda wote wanahasira, jaribu tu kumuongelesha uone.
Watu wa dar sio binadamu wa kawaida kabisa
Huwezi kujua msajili huku ukiwa kibera.
Habari wakuu
Dar ni moja kati ya mji mkubwa sana Tanzania umeojaa watu wengi sana na shughuli zao za kibiashara, ni mji ambao gharama za kuishi ni kubwa mno, kodi, maji, umeme, usafiri n.k
Hapa nazungumza na watu wa kipato cha kawaida sana, kwa mwezi 400k ndio mishahara yao, machinga, mama ntilie, bodaboda n. K, kusema kweli nimekuja kugundua Dar ni jiji ambalo usipokuwa makini unazeekea nyumba ya kupanga, hadi watoto wako wataanzia maisha ya kupanga hapo hapo unapoishi.
Watu wengi hapa Dar wanajituma, usiku na mchana, pambana sana tatizo pesa inaishia kodi, umeme, chakula, usafiri, kama una watoto ndio balaaa, kwani unapambana mchana usiku shuleni watoto, nauli, ya kula, mpaka mwezi unaisha upo hoi huna kitu, unaishi chumba kimoja cha kupanga pesa yote inaishia kwa mwenye nyumba .
Wazawa wenyewe kujenga ni mtiti, wanakomaa na nyumba ya urithi mpaka kieleweke, hili jiji sio la kuishi kabisa, kama usiposituka haki unazeeka upo chumba kimoja, huna hili wala lile, huku ukiwa umeacha historia ya kupiga kazi usiku na mchana pesa yote ikiishia njiani.
Noma sana, chumba kimoja baba, mama na watoto, ndio maana mabaharia wengi wa Dar kuoa ni kitendawili, hili jiji ni la kushitukia mapema, kusanya mpunga nenda zako pembeni mkoani jenga tulia utaenjoy maisha. Kusubiri kujenga hapa bongo ni ndoto za mchana hasa kwa basic ya 400k na kazi za kuunga unga, zaidi utamiliki ghetto chumba kimoja, tv fridge, kitanda godoro, kuoa utakwepa sana kwani inabidi uongeze chumba uishi vyumba viwili ukiwa na watoto ndio itakubidi uongeze zaidi gharama zake sasa ni kwa mwaka ni zaidi ya kuejenga nyumba mkoani.
Huku watu hawalali wanapiga kazi usiku mchana, ila sasa ndio hivo tena mpaka mtu anazeeka hana kitu,
This is Dar es salaam