Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,169
- 21,305
Habari wakuu
Dar ni moja kati ya mji mkubwa sana Tanzania umeojaa watu wengi sana na shughuli zao za kibiashara, ni mji ambao gharama za kuishi ni kubwa mno, kodi, maji, umeme, usafiri n.k
Hapa nazungumza na watu wa kipato cha kawaida sana, kwa mwezi 400k ndio mishahara yao, machinga, mama ntilie, bodaboda n. K, kusema kweli nimekuja kugundua Dar ni jiji ambalo usipokuwa makini unazeekea nyumba ya kupanga, hadi watoto wako wataanzia maisha ya kupanga hapo hapo unapoishi.
Watu wengi hapa Dar wanajituma, usiku na mchana, pambana sana tatizo pesa inaishia kodi, umeme, chakula, usafiri, kama una watoto ndio balaaa, kwani unapambana mchana usiku shuleni watoto, nauli, ya kula, mpaka mwezi unaisha upo hoi huna kitu, unaishi chumba kimoja cha kupanga pesa yote inaishia kwa mwenye nyumba .
Wazawa wenyewe kujenga ni mtiti, wanakomaa na nyumba ya urithi mpaka kieleweke, hili jiji sio la kuishi kabisa, kama usiposituka haki unazeeka upo chumba kimoja, huna hili wala lile, huku ukiwa umeacha historia ya kupiga kazi usiku na mchana pesa yote ikiishia njiani.
Noma sana, chumba kimoja baba, mama na watoto, ndio maana mabaharia wengi wa Dar kuoa ni kitendawili, hili jiji ni la kushitukia mapema, kusanya mpunga nenda zako pembeni mkoani jenga tulia utaenjoy maisha. Kusubiri kujenga hapa bongo ni ndoto za mchana hasa kwa basic ya 400k na kazi za kuunga unga, zaidi utamiliki ghetto chumba kimoja, tv fridge, kitanda godoro, kuoa utakwepa sana kwani inabidi uongeze chumba uishi vyumba viwili ukiwa na watoto ndio itakubidi uongeze zaidi gharama zake sasa ni kwa mwaka ni zaidi ya kuejenga nyumba mkoani.
Huku watu hawalali wanapiga kazi usiku mchana, ila sasa ndio hivo tena mpaka mtu anazeeka hana kitu,
This is Dar es salaam
Dar ni moja kati ya mji mkubwa sana Tanzania umeojaa watu wengi sana na shughuli zao za kibiashara, ni mji ambao gharama za kuishi ni kubwa mno, kodi, maji, umeme, usafiri n.k
Hapa nazungumza na watu wa kipato cha kawaida sana, kwa mwezi 400k ndio mishahara yao, machinga, mama ntilie, bodaboda n. K, kusema kweli nimekuja kugundua Dar ni jiji ambalo usipokuwa makini unazeekea nyumba ya kupanga, hadi watoto wako wataanzia maisha ya kupanga hapo hapo unapoishi.
Watu wengi hapa Dar wanajituma, usiku na mchana, pambana sana tatizo pesa inaishia kodi, umeme, chakula, usafiri, kama una watoto ndio balaaa, kwani unapambana mchana usiku shuleni watoto, nauli, ya kula, mpaka mwezi unaisha upo hoi huna kitu, unaishi chumba kimoja cha kupanga pesa yote inaishia kwa mwenye nyumba .
Wazawa wenyewe kujenga ni mtiti, wanakomaa na nyumba ya urithi mpaka kieleweke, hili jiji sio la kuishi kabisa, kama usiposituka haki unazeeka upo chumba kimoja, huna hili wala lile, huku ukiwa umeacha historia ya kupiga kazi usiku na mchana pesa yote ikiishia njiani.
Noma sana, chumba kimoja baba, mama na watoto, ndio maana mabaharia wengi wa Dar kuoa ni kitendawili, hili jiji ni la kushitukia mapema, kusanya mpunga nenda zako pembeni mkoani jenga tulia utaenjoy maisha. Kusubiri kujenga hapa bongo ni ndoto za mchana hasa kwa basic ya 400k na kazi za kuunga unga, zaidi utamiliki ghetto chumba kimoja, tv fridge, kitanda godoro, kuoa utakwepa sana kwani inabidi uongeze chumba uishi vyumba viwili ukiwa na watoto ndio itakubidi uongeze zaidi gharama zake sasa ni kwa mwaka ni zaidi ya kuejenga nyumba mkoani.
Huku watu hawalali wanapiga kazi usiku mchana, ila sasa ndio hivo tena mpaka mtu anazeeka hana kitu,
This is Dar es salaam