Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu ni mji wa waliovurugwa

Dar kila mtu kachanganyikiwa muda wote tupo na leso anafuta jasho, muda wote wanahasira, jaribu tu kumuongelesha uone.

Watu wa dar sio binadamu wa kawaida kabisa

Kuna mmoja humu namuona desgn hiyo! 😅...muda wote serious..gubu si gubu hasira si hasira ..tena ke! Lol
 
Lakini wana maghorofa makubwa ya biashara palepale city centre, na pia wana nyumba za kuishi canada..
Aliyekwambia katika maisha ni lazima umiliki nyumba ni nani ?

Wale wahindi waliowaajiri wabongo wenzako wanaishi kwenye nyumba za kupanga lakini wana pesa ndefu
 
Maisha ya DarSlum yanaenda resi sana. Usipokuwa na speed utabaki unang'aa macho tu.
 
Baba Jazey
Umetaja arusha labda kama hakuna aliyewahi kuishi pale mkuu, viwanja bei ipo chini sana huko kwa mromboo unaweza pata 15/20m kwa 1.5mil kama chanika tu, aya ukiwaona jamaa zako kambele kule usa,maji/chai, kikatiti ndiyo kabisaaa kuanzia 900kl tofauti na huko bunju, madale na kigamboni.

Njoo yyumba za kupanga; hapo manzese, tandare utapata geto la tope shs 10,000 na ukiwa chuga unatembea kwa miguu unakata kona kuingia mianzini nyuma tu nyumba za tope 12,000.

So utofauti upo kwenye huduma za kijamii as ujenzi na malighafi da zipo chini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu ni mji wa waliovurugwa

Dar kila mtu kachanganyikiwa muda wote tupo na leso anafuta jasho, muda wote wanahasira, jaribu tu kumuongelesha uone.

Watu wa dar sio binadamu wa kawaida kabisa
Mda wote raia zina hasira ukibeep wanakupigia fasta hazina huruma
tenor(47).gif
 
Vijana acheni uoga watu kwa mshahara huohuo na tumejenga,alafu alie kwambia ukiwa na nyumba ndio maisha yanakua rahisi ni nani? Kikubwa unatakiwa ujitahidi ukiwa bado hujawa na majukumu ya familia uwe angalau na kiwanja,halafu kujenga sio lazima uanze leo umalize kesho,
 
Vijana acheni uoga watu kwa mshahara huohuo na tumejenga,alafu alie kwambia ukiwa na nyumba ndio maisha yanakua rahisi ni nani? Kikubwa unatakiwa ujitahidi ukiwa bado hujawa na majukumu ya familia uwe angalau na kiwanja,halafu kujenga sio lazima uanze leo umalize kesho,
mkuu kama umejenga, mshukuru Mungu, watu wanazeekea chumba kimoja dar, hadi kuoa wanashindwa, utaishi chumna kimoja baba, mama, na watoto?
 
mkuu kama umejenga, mshukuru Mungu, watu wanazeekea chumba kimoja dar, hadi kuoa wanashindwa, utaishi chumna kimoja baba, mama, na watoto?
Namshukuru Mungu mkuu,lakini naona watu wanatishana sana kuhusu kujenga kama nikitu cha ajabu sana,mm naona maisha yapo vile vile tu tofauti ni kulipa kodi tu,ukiwa na malengo unaweza kujenga bila shida kwa kipato kidogo hicho hicho ulicho nacho wala si utajili
 
Kwa mtazamo wangu mimi naona maisha ya Dar ni marahisi ukilinganisha na mikoa kama Arusha, nasema Arusha sababu nimekaa

Nasema maisha ya Dar ni marahisi kwa sababu zifuatazo

1. Mzunguko wa pesa ni mkubwa na hii inatokana na idadi ya watu kuwa kubwa hivyo inapelekea kila biashara utakayo fanya inapata mteja (tukumbuke Dar hakuna mashamba)

Bei za nyumba za kupanga. kwanza bei zinategemeana na location, sasa Dar bei za nyumba wiko chini sana ukilinganisha na bei za Arusha

Dar unaweza kupata nyumba hata ya 10000 kwa mwezi. njoo Arusha uone hata zile nyumba za tope za matejoo hauwezi pata kwa hiyo bei

3. Bei za viwanja. Dar kigogo xiko chini. hata hii inatokana na location ya kiwanja, mfano ukiangalia sehemu kama Chanika tuifananishe na kwa morombo hapo utaona viwanja vya kwa morombo au inter viku juu

4. Bei za huduma za kijamii, kwa Dar huduma nyingi za kijamii ziko chini na hii ni kupatikana na kuwa na watoa utuma wengi hii inapelekea kuingia kwenye ushindani ambao mwisho wa siku watoa huduma wanashusha bei ili kuwapata wateja ila kwa Arusha ni kinyume

5. Shuguli za ujenzi, kwa Dar ni rahisi sana kujenga kuliko Arusha na hii inatokana na kuwa materials ni rahisi kwa Dar, na hii inatokana na uwepo wa bandari na viwanda vingi mfano bei ya tiles ya dar ni tofauti na ya Arusha

NB nimetumia mfano wa Arusha sababu naijua, mimi mtazamo wangu naona maisha ya Dar ni marahisi kuliko ya Dar
Ahsante
 
kama unaishi tandale, bugulun, mbagala, buza, bora tu ukaishi kigoma
Hizo dharau sasa mdogo wangu

Anyway ..iwe buza mbaga buguruni tandale...mkoa ni dar es salaam na haitabadilika hiyo.
 
Back
Top Bottom