Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

Huo mzunguko wa pesa unaousema wewe unawanufaisha wengine, wewe na take home yako ya 400k kwa hapa dar utaishi maisha ya kibinadamu?

usafiri watoto, kodi, maji, umeme, wewe una mshahara fixed 400k hivi unadhani utafanya lolote la maana!

Mkuu acha kisema in general, watu wanaishi maisha ya chumba kimoja dar, kuoa ni waoga, hata walioa chumba kimoja watoto wanalala hadi kwa majilani, mkuu kwani unaishi dar ipi wewe?

Unasema dar kunasehemu ya 10k kwa mwez?
Wapi huko

Hicho sio chumba ni store am sure
kwanza siku zote ukitakiwa kufanikiwa ishi maisha yako kulingana na uwezo wako. sasa kama wewe unalipwa 400k ni vizuri kutafuta maisha ambayo yanaendana na kipato chako

kuhusu mzunguko wa pesa sio kweli unawanufaisha wengine, hata wewe ukiwa mbunifu unaweza kuknufaisha, mfano ukaama kufungua genge mtaani kwako ukauza matunda auoni unaweza ikakuongezea kipato, kuna watu wapo wengi tu kazi yao ni kumenya viazi vya chipsi lakini leo hii wanakipato kikupwa tu na walikuwa wanalipwa ten kwa siku

vyumba viko kibao tu nenda , SHIDA yetu tunalipwa hela kidogo na tunataka kwenda kupanga masaki mikocheni na sememu mbalimbali ambazo atuna uwezo nazo
 
Kila nikitaka kuhama dathramu nasogeza mwaka mmoja mbele, kwa sasa natumia sababu ya ‘watoto wangu’ wamalize la saba kwanza.... kiwanja mkoani kwetu ukiwa na milioni tu kiwanja hilooo.

Na pia heshima ya kuishi, kwa kipato changu ni ‘mtu’ maalumu nikiishi mkoani bila stress... mjini napata pesa nyingi ila nobody’s givin’ a fvck about me nasota kama fala tu.
Mkuu watu wanahaso sana

Wanalala saa kumi usiku, saa kumi na mbili wapo barabarani lakin hakuna kitu cha maana wanachoambulia zaidi ya pesa ya nauli kwa watoto, umeme,maji ,kodi, chakula. Kila akiwaza nyumba anaona mlima mkubwa sana hawezi kabisa!

Hili jiji usipojitoa akili utabaki kuzeekea mjini tu huna hili wala lile

Baba anapanga, watoto wanapanga hapo hapo, mwenye Nyumba anakula tu jasho lako

Cha ajabu hadi wazawa, jiji linawagalagaza wamejichimbiaa kwenye nyumba za urithi

Ukisikia mtu anaishi dar, usifikili labda yupo maisha mazuri kivile, nenda ujione mwenyewe
 
Mkuu watu wanahaso sana

Wanalala saa kumi usiku, saa kumi na mbili wapo barabarani lakin hakuna kitu cha maana wanachoambulia zaidi ya pesa ya nauli kwa watoto, umeme,maji ,kodi, chakula. Kila akiwaza nyumba anaona mlima mkubwa sana hawezi kabisa!

Hili jiji usipojitoa akili utabaki kuzeekea mjini tu huna hili wala lile

Baba anapanga, watoto wanapanga hapo hapo, mwenye Nyumba anakula tu jasho lako

Cha ajabu hadi wazawa, jiji linawagalagaza wamejichimbiaa kwenye nyumba za urithi

Ukisikia mtu anaishi dar, usifikili labda yupo maisha mazuri kivile, nenda ujione mwenyewe
mkuu sasa kama maisha ni magumu kwa nini tunaishi dar inatakiwa tuondoke zetu tuiache dar kwende kwenye mikoa yenye unafuu wa maisha ,
 
Kama Dar kuna maisha magumu zaidi kuliko mikoa mingine,Sasa inakuaje Dar ndio ina wakaazi wengi zaidi kuliko mikoa mingine ambayo maisha ni rahisi kuliko Dar?
 
habar wakuu

Dar ni moja kati ya mji mkubwa sana Tanzania umeojaa watu wengi sana na shughuli zao za kibiashara,ni mji ambao gharama za kuishi ni kubwa mno, kodi, maji, umeme, usafiri n.k

Hapa nazungumza na watu wa kipato cha kawaida sana, kwa mwezi 400k ndio mishahara yao, machinga, mamantilie, bodaboda n. K, kusema kweli nimekuja kugundua dar jiji ambalo usipokuwa makini unazeekea nyumba ya kupanga, hadi watoto wako wataanzia maisha ya kupanga hapo hapo unapoishi.

Watu wengi hapa dsm wanajituma, usiku na mchana, pambana sana tatizo pesa inaishia kodi, umeme, chakula, usafiri, kama unawatoto ndio balaaa, kwani unapambana mchana usiku shulen watoto, nauli, ya kula, mpaka mwezi unaisha upo hoi huna kitu, unaishi chumba kimoja cha kupanga pesa yote inaishia kwa mwenye nyumba .

Wazawa wenyewe kujenga ni mtiti, wanakomaa na nyumba ya urithi mpaka kieleweke, hili jiji sio la kuishi kabisa, kama usiposituka haki unazeeka upo chumba kimoja, huna hili wala lile, huku ukiwa umeacha historia ya kupiga kazi usiku na mchana pesa yote ikiishia njiani.

Noma sana, chumba kimoja baba,mama,na watoto, ndio maana mabaharia wengi wa Dar kuoa ni kitendawili, hili jiji ni la kushitukia mapema, kusanya mpunga nenda zako pembeni mkoani jenga tulia utaenjoy maisha. Kusubiri kujenga hapa bongo ni ndoto za mchana hasa kwa basic ya 400k na kazi za kuunga unga, zaid utamiliki geto chumba kimoja, tv fridge, kitanda godoro, kuoa utakwepa sana kwani inabidi uongeze chumba uishi vyumba viwili ukiwa na watoto ndio itakubid uongeze zaidi gharama zake sasa ni kwa mwaka ni zaidi ya kuejenga nyumba mkoani.

Huku watu hawalali wanapiga kazi usiku mchana, ila sasa ndio hivo tena mpaka mtu anazeeka hana kitu,

This is dar es salaam
Maisha ni kupanga na kupambana,kwn hata ukiwa mkoani na hauna kujenga ni shida
 
Dar unaweza kuish miaka yote huku ukitesekea kutafuta hela kwaajili ya chakula na kodi tu, na kama kipato chako ni kidogo unaweza kujikuta umekata tamaa hata ya kujenga ndo pale unaposkia kijana mdogo anakwambia et mm siwez kutoa hela yangu nikanunue mchanga ukiskia kasema hivyo ujur hapo kashaenda kuulizia kiwanja kakutana na bei ambayo hiyo pesa haijawahi hata kuwa kwenye ndoto yake kuishika
Sasa ndo anaamua kujipa moyo kwa maneno ya ajabu kama vle "kujenga ni uoga wa maisha" mwsho wa siku anazeeka kweli na Hana pakwenda
 
Aliyekwambia katika maisha ni lazima umiliki nyumba ni nani ?

Wale wahindi waliowaajiri wabongo wenzako wanaishi kwenye nyumba za kupanga lakin wana pesa ndefu
Faida wanayoipata ni tofauti na na kipato cha 400k per month,hii ulipe kodi,nauli,uache matumizi home!!Za kuambiwa changanya na zako.
 
Kumbuka jiji la dar unaweza ishi hata kwa kuuza maji ya kandoro maisha yakaenda kama upo pekee yako. Labda ukiwa na wategemezi na familia unaweza ona ni mlima.
 
Aliyekwambia katika maisha ni lazima umiliki nyumba ni nani ?

Wale wahindi waliowaajiri wabongo wenzako wanaishi kwenye nyumba za kupanga lakin wana pesa ndefu
Hao wahindi ni watanzania?
 
habar wakuu

Dar ni moja kati ya mji mkubwa sana Tanzania umeojaa watu wengi sana na shughuli zao za kibiashara,ni mji ambao gharama za kuishi ni kubwa mno, kodi, maji, umeme, usafiri n.k

Hapa nazungumza na watu wa kipato cha kawaida sana, kwa mwezi 400k ndio mishahara yao, machinga, mamantilie, bodaboda n. K, kusema kweli nimekuja kugundua dar jiji ambalo usipokuwa makini unazeekea nyumba ya kupanga, hadi watoto wako wataanzia maisha ya kupanga hapo hapo unapoishi.

Watu wengi hapa dsm wanajituma, usiku na mchana, pambana sana tatizo pesa inaishia kodi, umeme, chakula, usafiri, kama unawatoto ndio balaaa, kwani unapambana mchana usiku shulen watoto, nauli, ya kula, mpaka mwezi unaisha upo hoi huna kitu, unaishi chumba kimoja cha kupanga pesa yote inaishia kwa mwenye nyumba .

Wazawa wenyewe kujenga ni mtiti, wanakomaa na nyumba ya urithi mpaka kieleweke, hili jiji sio la kuishi kabisa, kama usiposituka haki unazeeka upo chumba kimoja, huna hili wala lile, huku ukiwa umeacha historia ya kupiga kazi usiku na mchana pesa yote ikiishia njiani.

Noma sana, chumba kimoja baba,mama,na watoto, ndio maana mabaharia wengi wa Dar kuoa ni kitendawili, hili jiji ni la kushitukia mapema, kusanya mpunga nenda zako pembeni mkoani jenga tulia utaenjoy maisha. Kusubiri kujenga hapa bongo ni ndoto za mchana hasa kwa basic ya 400k na kazi za kuunga unga, zaid utamiliki geto chumba kimoja, tv fridge, kitanda godoro, kuoa utakwepa sana kwani inabidi uongeze chumba uishi vyumba viwili ukiwa na watoto ndio itakubid uongeze zaidi gharama zake sasa ni kwa mwaka ni zaidi ya kuejenga nyumba mkoani.

Huku watu hawalali wanapiga kazi usiku mchana, ila sasa ndio hivo tena mpaka mtu anazeeka hana kitu,

This is dar es salaam


Hakuna sehemu maisha mepesi hata huko Mbeya kuna watu bado wana maisha magumu ingawa chakula kama chote.
 
Dar es salaam sio mji wa binaadamu wavivu na wasio na maarifa wala uvumilivu. Ni mji wa wachakarikaji tu ukija na uvivu wako utakumbuka ugali wa bure na maji ya bure ya huko mkoa ulipotoka hapa ni kazikazi mabishoo wasio na hela Dar ndio kiboko yao,, Dar kitambo hauwezi kuona mzoga wa kuku au mbuzi kama mikoani mzoga ni chakula safi hatutaki kujua kachinja nani tunakula tu.
 

Attachments

  • tenor(23).gif
    tenor(23).gif
    448.6 KB · Views: 25
  • Where_to_live_in_Dar_Es_Salaam.jpg
    Where_to_live_in_Dar_Es_Salaam.jpg
    57.4 KB · Views: 22
Dar es salaam sio mji wa binaadamu wavivu na wasio na maarifa wala uvumilivu. Ni mji wa wachakarikaji tu ukija na uvivu wako utakumbuka ugali wa bure na maji ya bure ya huko mkoa ulipotoka hapa ni kazikazi mabishoo wa wasio na hela Dar ndio kiboko yao,, Dar kitambo hauwezi kuona mzoga wa kuku au mbuzi kama mikoani mzoga ni chakula safi hatutaki kujua kachinja nani tunakula tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu ni mji wa waliovurugwa

Dar kila mtu kachanganyikiwa muda wote tupo na leso anafuta jasho, muda wote wanahasira, jaribu tu kumuongelesha uone.

Watu wa dar sio binadamu wa kawaida kabisa
 
Back
Top Bottom