Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

Haya ndio maisha halisi ya Dar es Salaam

Kumbe unaijua sababu yao ya kutokujenga.

Kuna nchi ambazo kujenga sio ishu, kwa maana nyumba nyingi nzuri tau zipo unalipia tu.... kwa hapa TZ nyumba zenyewe za kupanga ziko wapi.?
Nyumba za kupanga ni mwendo wa nyumba za msajili tu mwanzo mwisho.
 
Point yangu ni kwamba tafuta pesa za kutosha.
Kujenga hakukufanyi uwe na hela.

Huwezi jenga Morogoro halafu uwe unapiga mishe zako kariakoo
Matajiri wengi tu wanaishi kwenye appartments fresh kabisa, je watanzania % ngapi wana uwezo huo hapo Dar?
 
Kwa mtazamo wangu mimi naona maisha ya Dar ni marahisi ukilinganisha na mikoa kama Arusha, nasema Arusha sababu nimekaa

Nasema maisha ya Dar ni marahisi kwa sababu zifuatazo

1. Mzunguko wa pesa ni mkubwa na hii inatokana na idadi ya watu kuwa kubwa hivyo inapelekea kila biashara utakayo fanya inapata mteja (tukumbuke Dar hakuna mashamba)

Bei za nyumba za kupanga. kwanza bei zinategemeana na location, sasa Dar bei za nyumba wiko chini sana ukilinganisha na bei za Arusha

Dar unaweza kupata nyumba hata ya 10000 kwa mwezi. njoo Arusha uone hata zile nyumba za tope za matejoo hauwezi pata kwa hiyo bei

3. Bei za viwanja. Dar kigogo xiko chini. hata hii inatokana na location ya kiwanja, mfano ukiangalia sehemu kama Chanika tuifananishe na kwa morombo hapo utaona viwanja vya kwa morombo au inter viku juu

4. Bei za huduma za kijamii, kwa Dar huduma nyingi za kijamii ziko chini na hii ni kupatikana na kuwa na watoa utuma wengi hii inapelekea kuingia kwenye ushindani ambao mwisho wa siku watoa huduma wanashusha bei ili kuwapata wateja ila kwa Arusha ni kinyume

5. Shuguli za ujenzi, kwa Dar ni rahisi sana kujenga kuliko Arusha na hii inatokana na kuwa materials ni rahisi kwa Dar, na hii inatokana na uwepo wa bandari na viwanda vingi mfano bei ya tiles ya dar ni tofauti na ya Arusha

NB nimetumia mfano wa Arusha sababu naijua, mimi mtazamo wangu naona maisha ya Dar ni marahisi kuliko ya Dar
Huo mzunguko wa pesa unaousema wewe unawanufaisha wengine, wewe na take home yako ya 400k kwa hapa Dar utaishi maisha ya kibinadamu?

Usafiri watoto, kodi, maji, umeme, wewe una mshahara fixed 400k hivi unadhani utafanya lolote la maana!

Mkuu acha kisema in general, watu wanaishi maisha ya chumba kimoja Dar, kuoa ni waoga, hata walioa chumba kimoja watoto wanalala hadi kwa majilani, mkuu kwani unaishi Dar ipi wewe?

Unasema Dar kuna sehemu ya 10k kwa mwezi?
Wapi huko

Hicho sio chumba ni store I'm sure
 
Huo mzunguko wa pesa unaousema wewe unawanufaisha wengine, wewe na take home yako ya 400k kwa hapa dar utaishi maisha ya kibinadamu?

usafiri watoto, kodi, maji, umeme, wewe una mshahara fixed 400k hivi unadhani utafanya lolote la maana!

Mkuu acha kisema in general, watu wanaishi maisha ya chumba kimoja dar, kuoa ni waoga, hata walioa chumba kimoja watoto wanalala hadi kwa majilani, mkuu kwani unaishi dar ipi wewe?

Unasema dar kunasehemu ya 10k kwa mwez?
Wapi huko

Hicho sio chumba ni store am sure


Ndo maana nimemwambia Dar kuna wanaoishi na wanaosindikiza kuishi
 
Kila nikitaka kuhama dathramu nasogeza mwaka mmoja mbele, kwa sasa natumia sababu ya ‘watoto wangu’ wamalize la saba kwanza.... kiwanja mkoani kwetu ukiwa na milioni tu kiwanja hilooo.

Na pia heshima ya kuishi, kwa kipato changu ni ‘mtu’ maalumu nikiishi mkoani bila stress... mjini napata pesa nyingi ila nobody’s givin’ a fvck about me nasota kama fala tu.
 
unaj
Dar kweli mzunguko uko juu..lakini maisha yko juu jombaa! Mkaa kakopo kamoja 1500!
Dar kuna wanaoishi na wasindikizaji!
sawa yako juu ukilinganisha na mkoa gani , mimi nimelinganisha maisha ya dar na arusha, ntakupa ,mfano mdogo tu kwa arusha ruti nyingi ikifika saa tano usiku daladala hakuna hapo itakulazimu uchukue gari binafsi (tax) ila kwa dar mpaka liamba usafiri upo

unajua bei ya mkaa arusha ni 2000 kwa kopo. na kunakipindi huo mkaa unapotea kabisa(nadhani unajua bidhaa ikipotea sokoni kinachotokea ni nini) kumbuka bidhaa zote zinazotoka zinazokuja dar nyingi zinatokea mikoan

na ujiulize kwa nini watu wengi wanakimbilia dar na sio arusha wala mwanza

dar ukiwa blazamen mpenda starehe ndo utapaona pagumu ila kama auna aibu na auchagui kazi mbona unatoka na maisha utayaona marahisi
 
Dsm changamot


Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Aliyekwambia katika maisha ni lazima umiliki nyumba ni nani ?

Wale wahindi waliowaajiri wabongo wenzako wanaishi kwenye nyumba za kupanga lakin wana pesa ndefu
Wahindi hawamiliki nyumba lkn wanamiliki hela ndefu. Lkn kuna wabongo hamiliki nyumba wala hana hiyo hela ndefu km mhindi, ndiyo maana mbongo anaona ni bora angalau amiliki kwake kuliko kukosa vyote. Wahindi wengi huenda kuishi Canada mambo yao yakikaa vizuri au ikatokea huku bongo kimenuka au kuna dalili ya kunuka wahindi si wa kujilinganisha nao bila kutumia akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaj

sawa yako juu ukilinganisha na mkoa gani , mimi nimelinganisha maisha ya dar na arusha, ntakupa ,mfano mdogo tu kwa arusha ruti nyingi ikifika saa tano usiku daladala hakuna hapo itakulazimu uchukue gari binafsi (tax) ila kwa dar mpaka liamba usafiri upo

unajua bei ya mkaa arusha ni 2000 kwa kopo. na kunakipindi huo mkaa unapotea kabisa(nadhani unajua bidhaa ikipotea sokoni kinachotokea ni nini) kumbuka bidhaa zote zinazotoka zinazokuja dar nyingi zinatokea mikoan

na ujiulize kwa nini watu wengi wanakimbilia dar na sio arusha wala mwanza

dar ukiwa blazamen mpenda starehe ndo utapaona pagumu ila kama auna aibu na auchagui kazi mbona unatoka na maisha utayaona marahisi
Sawa sawa mkuu!
 
unaj

sawa yako juu ukilinganisha na mkoa gani , mimi nimelinganisha maisha ya dar na arusha, ntakupa ,mfano mdogo tu kwa arusha ruti nyingi ikifika saa tano usiku daladala hakuna hapo itakulazimu uchukue gari binafsi (tax) ila kwa dar mpaka liamba usafiri upo

unajua bei ya mkaa arusha ni 2000 kwa kopo. na kunakipindi huo mkaa unapotea kabisa(nadhani unajua bidhaa ikipotea sokoni kinachotokea ni nini) kumbuka bidhaa zote zinazotoka zinazokuja dar nyingi zinatokea mikoan

na ujiulize kwa nini watu wengi wanakimbilia dar na sio arusha wala mwanza

dar ukiwa blazamen mpenda starehe ndo utapaona pagumu ila kama auna aibu na auchagui kazi mbona unatoka na maisha utayaona marahisi
Point Dar unatakiwa usiwe mpenda starehe
 
Back
Top Bottom