666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,688
- 3,818
Tunaweza tukawa tupo kwenye mahusiano na wapenzi wetu tunaotarajia kuwaoa ila tunazinguana/kugombana kila siku, wakati kuna mitandao ambayo ipo kiganjani kwetu inaweza kututimizia haja ya mioyo yetu.
Kiufupi, watu wengi hatuna muda wa kutongoza, hatuna muda wa kupita mitaani na kuangalia angalia mabinti na kuanza kuwatongoza, so unakuta upo kwenye mahusiano kwa mazoea tu kusogeza siku ziende na kungojea mabadiliko ya mwenzako then ndo umuoe, ila still kunatokea hakuna mabadiliko.
Sasa yawezekana humu mitandaoni kweli kuna mabinti wana dhamira za dhati kabisa za ndoa na roho zao ni nyeupe sana zenye kutamani ndoa na wakiwa na sifa zote. Sasa basi, naomba nijibiwe swali ilo kwa shuuda mbali mbali na mie nianzee upyaaaaaaa😂😂
Wadau hivi vitu ni kweli?
Kiufupi, watu wengi hatuna muda wa kutongoza, hatuna muda wa kupita mitaani na kuangalia angalia mabinti na kuanza kuwatongoza, so unakuta upo kwenye mahusiano kwa mazoea tu kusogeza siku ziende na kungojea mabadiliko ya mwenzako then ndo umuoe, ila still kunatokea hakuna mabadiliko.
Sasa yawezekana humu mitandaoni kweli kuna mabinti wana dhamira za dhati kabisa za ndoa na roho zao ni nyeupe sana zenye kutamani ndoa na wakiwa na sifa zote. Sasa basi, naomba nijibiwe swali ilo kwa shuuda mbali mbali na mie nianzee upyaaaaaaa😂😂
Wadau hivi vitu ni kweli?