Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Kwanza kila nchi ya Ulaya ina Nukes, isitoshe imeshagundulika zana nyingi za Mrusi ni Obsolete, hana jipya, pili Mrusi ana silaha lakini hana mbinu za Kivita, mfumo wa jeshi lake sio wa kisasa, sasa hivi Vita vinapiganwa kwa Tekinolojia, Kabla haujalaunch hiyo Silaha yake atakuwa ameshashambuliwa, Kwa taarifa yako kupitia Vita hii Amejiexpose sana.
Mkuu hii Russia anaita special operation, sio vita! Waziri wa Mambo ya nje wa Russia alipoulizwa kwanini vita imechukua muda mrefu tofauti na watu walivyohisi kama ingechukua siku 3 na hivyo kuwaona Russia kama jeshi dhaifu!

Majibu yalikuwa hivi,Russia haijataka kufanya kama kile US alichofanya huko Afghan au Yugoslav,Russia inaenda taratibu Ili kupunguza vifo vya raia wa Ukraine! Pia akasema askari wa Ukraine wamekuwa wakitega mabomu ardhini kila wanaporudishwa nyuma,hiyo imepelekea wao kwenda taratibu kusecure kwanza maeneo yenye mabomu ya kufukia ndio waadvance!

Lakini akasema Kwa bahati mbaya mabomu hayo yameua raia wa Ukraine ambao hawajaondoka kwenye war zones!

My take:Russia sio wa kumchukulia poa,US analijua Hilo ndio maana kila siku hataki escalation of the war!
Fikiri jinsi Russia anavyozishambulia silaha za west kabla hata ya kufika site! Mpaka US anaogopa kupeleka drones zake Kwa kuogopa zitakamatwa na Russia!

Ikiingia world war 3, hiyo itakuwa vita ya nukes! We Sema Ulaya Wana Nuclear,lakini Urusi pekee anamiliki nukes kuliko ulaya nzima!Us ndio anafatia Kwa umiliki wa nukes baada ya Russia!
 
kwan hzo nch waliwai kukurupuka hata Kumtoa Ghadaf walisaidia silaha hlf wakaja kumaliza kaz kiurahis , West wana mipango , hawaendeshw na mihemko , badala ya kukaza fuvu ni muda sasa wa kujifunza namna ya kufanya km wao , China imejifunza ona ilipo , huku Afrika mashariki mr slim anafuata nyayo , kwasasa mr slim anailinda ikulu ya Africa ya kati bila kusahau Drc anaiperekesha atakavyo huko Msumbij bi Nyuso ndo anamkubali Mr Slim kwa huduma aliyoitoa huko Cabo Delgado , Utulivu akili ndio silaha ya kumshinda adui , Wazungu wapo vzr kwny hilo

Hao west wataruka ruka kote ila Russia lile taifa wanaliheshimu, kwani kabla Russia hajaingia ukraine walisemaje?? Na wamefanya nini

NATO- NO ACTION TALK ONLY
 
Hiki kipindi walikadilia vizuri sana kumpunguza Magufuli angekutana nacho hakika dunia ilikua inaenda kuona mabadiliko makubwa ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla alale salama Dkt. John Pombe Magufuli.
Jiwe alikuwa laana kwa taifa. Tushukuru Mungu kwa kuingilia kati
 
Wewe samahani usituharibie siku yetu buana, huyu jama wako alikua ignorant kuhusu International relations and world politics Tz was a laughing stock to the world kwa sabb ya huyu buana.
Bora umemwambia ukweli huyo mbwiga. Watu wengine ni so primitive mpaka unajiuliza kama bongo zao ziko sawa kweli.
 
Kwanza kila nchi ya Ulaya ina Nukes, isitoshe imeshagundulika zana nyingi za Mrusi ni Obsolete, hana jipya, pili Mrusi ana silaha lakini hana mbinu za Kivita, mfumo wa jeshi lake sio wa kisasa, sasa hivi Vita vinapiganwa kwa Tekinolojia, Kabla haujalaunch hiyo Silaha yake atakuwa ameshashambuliwa, Kwa taarifa yako kupitia Vita hii Amejiexpose sana.

Embu nitajie teknolojia ambayo west wanayo afu Russia hana. Na niambie teknologia unayoizungumzia wewe hapa.

Kuna comment unasoma unabaki unacheka nyie watoto bhana kazi ipo
 
Military capability gani wakati tumeshuhudia aibu ya Mrusi pale Kyev, hovyoo sana, kainchi kadogo kamemsumbua akili.
Mrusi pona yake ni manyuklia kule ghalani hamna kingine, mpaka sasa angekua ashatiwa adabu.
Hata waarabu na dini yao watamhama, hawatanunua dhana kutoka kwake tena.
You are unquestionably a brilliant person, lakini wakati mwingine sijui analytical mind yako inaingiliwa nini!!!

Ni hivi: Military GURUS wa Ulaya na US walisha sema mara nyingi tu, kwamba jeshi la Russia alikuwa na mpago/nia ya kuteka jiji la Kiev - convoy ya jeshi la Urusi uliyo kwenda kwenye viunga vya mji wa Kiev ilipelekwa pale mahususi kama decoy ili kumfanya Zelensky ahamishe idadi kubwa ya wanajeshi wake kutoka kusini mwa Ukraine kuja kaskazini kuongeza ulizi wa ku-defend Kiev - Zelensky na washauri wake wa mataifa ya magharibi waliamini kabisa kwamba Putin amepania kuuteka mji wa Kiev-kumbe hiyo si kweli - Putin alicho fanya ni kuwachezea akili Ukraine top brass military war planers ili wapunguze nguvu za ulinzi kusini mwa Ukraine kwa kuzihamishia kaskazini kulinda mji wa Kiev na viunga vyake - Putins plan worked well,ndio maana wanajeshi wa Russia wali-withdraw banda ya lengo lao kukamilika,lakini western media wanasema eti jeshi la Ukraine ndilo lilifanikiwa kuwaondoa wanajeshi wa Russia kwa kuwashinda - hiyo si kweli,waliondoka kwa hiari yao.

As I said, Putins plan paid off eventually ndio maana wanajeshi wake wamefanikiwa kuteka sehemu kubwa ya kusini mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi,lengo la Putin kuingia vitani ilikuwa ni kuwakomboa raia wa kusini mwa Ukraine walio kuwa wananyanyaswa na kubaguliwa na Serikali ya Zelensky na jeshi la AZOV ambalo ni neo NAZI - narudia kukumbusha kwamba Putin hana mpango wa Kuikalia Ukraine wala kuteka Kiev,anacho taka kwanza ni kuhakikishiwa usalama wa Taifa lake pia na kuwalinda Waukraine wenye asili ya Russia ili wajitawale - ukweli huo mbona unajulikana lakini media za magharibi zinaeneza propaganda zenye lengo la ku-demonise Putin ili aonekane ni a seasoned aggressor na wewe ni part and parcel of this dirty game, kumbuka Putin anaongozwa na Mungu kupambana na Mataifa ambayo yanijifanya ni Miungu wa Dunia -wanayanyasa mataifa ambayo ni military weak,kugawa Dunia kwenye makambi ya ajabu ajabu na kuwafanya watu/mataifa yasielewane-vurugu mwanzo mwisho.
 
Hakuna nchi inapemda kuingia vitani na Urusi kamwe. Kumbuka vita ya nyuklia hainaga mshindi. Ukipigwa moja madhara yake ni milele ukifanikiwa kulitungua madhara bado ni yaleyale kwa maana ya radiations. Utapunguza vifa vya mlipuko tu.

Pili kumbuka sehemu kubwa ya vita ya ukraine urusi ametumia maboom ya 1960s kwa kuyafanyia marekebisho kidogo na umesikia malalamiko kwa jeshi la Ukraine.

Pia umeona jinsi amekuwa anatumia precision misilles kupiga strategic areas na matoleo yake. Hivyo hakuna nchi ipo tayari kwa sasa kupina na Urusi.

Kinachofanyika ni kumchosha Urusi kiuchumi kitu ambacho nacho wameshindwa maana mafuta na gasi vimedouble kipato cha Urusi pili fedha yake imepanda sana thamani

Tatu Urusi imeongeza soko kwa kupunguza soko sehwmu zingine hasa mafuta na gas lakini pia uchumi wa wapinzani wake unazidi kuyumba, mfumuko wa bei upo juu sana, na tayari viongozi wa nchi wameanza kupigwa chini au kupigiwa kura ya kutokuwa na imani nao
 
Mkuu twende pole pole tuliza jazba soma kipengele cha mwisho
Ulianzishwa mwaka 1991 juu ya msingi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya...
Katafte watoto uwadanganye MKUU

Kama msaada wa kijeshi UKRAINE alikua member wa EU nambona alikua na anapelekewa misaada mpaka leo
Misaada hata nchi yako ikiamuliwa itapewa iwe EU ama laah.

Njia pekee ya RUSSIA kuvamiwa nikupitia NATO pekee ambayo ndio muungano wakijeshi.

RUSSIA TAIFA TEULE

JamiiForums235736117.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulaya haijwahi kutaka kwenda vita na Russia, Russia ndio huwa anafanya uchokozi na vitimbi vya kila aina kwa jirani zake, EU na US.
Uvumilivu ukifika mwisho zitapigwa tu, wazungu sio mafala kama wengi wenu Pro Russia mnavyowatazama.
Hivi unadhani nchi gani ya EU Iko tayari kurisk kuwa kwenye vita na Urusi?
Hilo jambo haliwezi kutokea na litapingwa na member states wengi!
 
Putina anaelewa kwamba Ukraine nayo ina haki ya kuwa na msimamo wake?!
Sio kweli,kila nchi Ina haki ya kuwa na msimamo wake!Ndio maana unaona Turkey huko NATO anavyowatoa kamasi juu ya kupiga kura ya hapana Kwa Fins na Sweden kujiunga NATO!

Mfano Kwa upande wa NATO, moja ya kanuni za kujiunga ni kuwa hutakiwi kuwa vitani. Sijui kuhusu EU,ila hata Ukraine akiwa mwanachama leo, hatakuwa na haki ya kulindwa kijeshi na EU members!
 
Katafte watoto uwadanganye MKUU
Kama msaada wa kijeshi UKRAINE alikua member wa EU nambona alikua na anapelekewa misaada mpaka leo
Misaada hata nchi yako ikiamuliwa itapewa iwe EU ama laah
Njia pekee ya RUSSIA kuvamiwa nikupitia NATO pekee ambayo ndio muungano wakijeshi
RUSSIA TAIFA TEULEView attachment 2269455

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi mkuu kama wangeweza kumpa misaada direct wasingefikia kufanya uamuz mgumu hiv ,ishu inayosadikika ni kuwa baada ya kujiunga na kupata status ya EU membership ,umoja wa ulaya kupitia policy yake ya ulinzi itaunda operation maalumu dhid ya kumlinda mwanachama mwezao ,ukumbuke pia member weng wa EU wako NATO hivyo wanaamini kabisa lazima Russia itarespond ,ni kama mtego maana Russia hatua yoyote ya kijeshi atakayotumia dhid ya EU inaweza ikaigusa NATO ,na hapo ndipo wanamtaka puttin ajichanganye aguse NATO member yoyote.ili wapate sababu ya kuingia direct ,maana hii vita bila kuingia direct Ukraine hataweza hata akisaidiwa vipi .
 
You are unquestionably a brilliant person, lakini wakati mwingine sijui analytical mind yako inaingiliwa nini!!!

Ni hivi: Military GURUS wa Ulaya na US walisha sema mara nyingi tu, kwamba jeshi la Russia alikuwa na mpago/nia ya kuteka jiji la Kiev - convoy ya jeshi la Urusi uliyo kwenda kwenye viunga vya mji wa Kiev ilipelekwa pale mahususi kama decoy ili kumfanya Zelensky ahamishe idadi kubwa ya wanajeshi wake kutoka kusini mwa Ukraine kuja kaskazini kuongeza ulizi wa ku-defend Kiev - Zelensky na washauri wake wa mataifa ya magharibi waliamini kabisa kwamba Putin amepania kuuteka mji wa Kiev-kumbe hiyo si kweli - Putin alicho fanya ni kuwachezea akili Ukraine top brass military war planers ili wapunguze nguvu za ulinzi kusini mwa Ukraine kwa kuzihamishia kaskazini kulinda mji wa Kiev na viunga vyake - Putins plan worked well,ndio maana wanajeshi wa Russia wali-withdraw banda ya lengo lao kukamilika,lakini western media wanasema eti jeshi la Ukraine ndilo lilifanikiwa kuwaondoa wanajeshi wa Russia kwa kuwashinda - hiyo si kweli,waliondoka kwa hiari yao.

As I said, Putins plan paid off eventually ndio maana wanajeshi wake wamefanikiwa kuteka sehemu kubwa ya kusini mwa Ukraine yenye wakazi wengi wenye asili ya Urusi,lengo la Putin kuingia vitani ilikuwa ni kuwakomboa raia wa kusini mwa Ukraine walio kuwa wananyanyaswa na kubaguliwa na Serikali ya Zelensky na jeshi la AZOV ambalo ni neo NAZI - narudia kukumbusha kwamba Putin hana mpango wa Kuikalia Ukraine wala kuteka Kiev,anacho taka kwanza ni kuhakikishiwa usalama wa Taifa lake pia na kuwalinda Waukraine wenye asili ya Russia ili wajitawale - ukweli huo mbona unajulikana lakini media za magharibi zinaeneza propaganda zenye lengo la ku-demonise Putin ili aonekane ni a seasoned aggressor na wewe ni part and parcel of this dirty game, kumbuka Putin anaongozwa na Mungu kupambana na Mataifa ambayo yanijifanya ni Miungu wa Dunia -wanayanyasa mataifa ambayo ni military weak,kugawa Dunia kwenye makambi ya ajabu ajabu na kuwafanya watu/mataifa yasielewane-vurugu mwanzo mwisho.

WORST IS WEST
 
Hivi unadhani nchi gani ya EU Iko tayari kurisk kuwa kwenye vita na Urusi?
Hilo jambo haliwezi kutokea na litapingwa na member states wengi!
Mkuu hebu tafakari Tangazo la urusi kwamba Rafiki Yeyote wa Adui yangu ni adui yangu na Atakaye Msaidia Atakiona cha mtema kuni!
Huoni nchi za AU wamepuuza mkwala wa Putin na kuisaidia Ukreine?!
Huoni Mapuuza hayo ya AU ni Utayari kwa lolote??

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kwamba tunawategema urusi kwa chakula?

Chakula kipi? Mimi nalima hapa nina mashamba kibao ya aina zote za mazao.

Hicho chakula kutoka urusi ni kipi?
 
Back
Top Bottom