Sos21
JF-Expert Member
- Jul 25, 2021
- 505
- 2,178
Hizo THAAD na patriot si ndio ziliwaingiza hasara saudi arabia baada ya kushinda kuzuia rocket za kutoka yemen tena homemadeMember wao wa NATO uturuki alizipiga chini Patriot na THAAD za mmarekani akaamua kununua S-400. Hiyo mashine kzi iliyofanya pale Syria sio ya kitoto.
Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app