Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

Tuanze na wewe, ina maana hujawahi kuwaambia Wanao kuwa wewe Darasani ulikuwa mara zote unashika namba moja?
Heri ni seme hivyo kuliko siku niliyo waambia nilikua kwanza kuingia chumba cha mtihani.. haa
 
Hata wanaufipa wenzako wamekukimbia kwa ujinga ulioandika..hapa hutaliona li salale sleep na lile jamaa liganga wote wamekukataa na li uzi lako
 
Mkuu unaonekana hata huna uelewa wa unacho kisema, unaijua dreamliner? Kwako ukubwa wa ndege nini? Chunguza tuu idadi ya abiria kati ya dreamliner na a200-300 . Au chunguza bei ya kila moja. Mbona wabongo tunakua kama mazuzu.
serikali haijanunua ndege ya yoyote aina ya A200-300 ila imenunua Airbus A220-300 inabeba abiria 160 wakati Dreamliner inabeba abiria 262,haya ebu niambie wewe umetumia kigezo gani kusema hiyo ndege ni kubwa kuliko dreamliner
 
Misri walipeleka order lakin mpaka saaa airbus hawajafanya delivery ya hizo ndege.
Means bado hawajaletewa hizo ndege mpaka sasa.
Mean that mwenye nguvu kapishwa achukue chake,JPM wa TZ ana nguvu wamempa bila kulemba lemba.
 
Naunga mkono kufufua shirika letu la ndege lakini haya hapa chini ni uongo.

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kuaema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
Acha wivu wa kike wewe juha.
 
La kujiuliza ni kwanini nchi zingine za Africa hazijanunua hiyo ndege.

Yawezekana wamefanya home work ya Cost-Benefit analysis wakaona haina haja ya kununua ndege hiyo.
Wachawi wapo wakwanza huyu hapa
 
Naunga mkono kufufua shirika letu la ndege lakini haya hapa chini ni uongo.

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kuaema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
Mbona wewe jamaa umeandika uongo,unaweza kutuwekea kaclip tusikie kilichsemwa,tatizo linalokusumbua ni chuki,moyo wa husda,bebu tuondolee uharo wako hapa!
 
Wanaendelea kuhamisha magoli. Kabla hazijaja ndege hizi walisema hatuna uwezo wa kuzinunua. Zimekuja ndege wanaanza kusema taarifa sio sahihi..

Shirika la ndege ndio limeshafufuliwa hivyo, jipangeni mnapojiweka kama wapingaji wa kila kitu.
 
Naunga mkono kufufua shirika letu la ndege lakini haya hapa chini ni uongo.

1. Ndege hii ni kubwa kuliko zote africa.
Watanzania mmesahau kwamba ile boeng 787 ninkubwa hata kqa bei kuliko hii a220-300. Hii ni ndege ya kawaiada tuu inayo beba watu kati ya 130 hadi 160.

2. Tanzania ni nchi ya kwanza kumiliki ndege hii.
Si kweli ndege hizi kabla ya kununuliwa na airbus zilikua zinatengenezwa na bombardier zilisha nunuliwa na kutumika toka mwaka 2016.

3. Hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua ndege hii. Ni uongo pia kwa sababu , bei yake i ya kawaiada sana. Dreamliner 787 moja ni sawa na a200'-300 kama 3 hivi. Ethiopia wana dreamliner 787 kama 29 hivi.

Hivyo kuaema hakuna nchi africa yenye uwezo wa kununua hizi ndege ni kujidanganya. Kujiona ni simba wakati kila mtu anakuona ni paka.

Tanzania kuwa ya kwanza africa ni sawa na kuwa wa kwanza kuingia chumba cha mtihani. Baada ya miezi michache kuna nchi Africa zitanunua ndege nyingi aina hii kupita tz. ( nyongeza), egypt imeweka order ya ndege 14.


Waandishi wa habari Tanzania nao wamekua wanasiasa. Someni mitandaoji kabla ya kuandika mambo yenu.
Hivi wewe n mfuasi wa lisu nn??
Hvi unafikir hzo hotuba za rais unazfatilia mwnyw au unasimliwa na watu wny television majumban mwao????[emoji55][emoji55]anyway sitak kujua kama huna tv maana hayanihusu
1.nan alosema hyo ndege n kubwa kulko zote africa?? Unajua kwamba south African airways inamiliki ndege kubwa aina ya B747 toka kipind hcho cha alliance na ndio ndege ya pili kubwa ikiongozwa na A380 kwa sawa....! Najua haujui na ndo maana nakujuza ndo maan unalopoka kwa mkusingzia jiwe kasema huku we ndo umesema
2.Kampuni ya ndege ya AIRBUS ynyw ilidhibitisha kuwa A220_300 ndio ndege ya kwanza afrika na Tanzania ndio inchi pekee!. Mind you! Hata kabla ya airbus kununua hisa nyingi 50+ bombardier hawakupata order kutoka nchi za afrika tofaut na tz(bongo land) ila kwa sasa kuna order imewekwa kwa nchi ya misri
 
serikali haijanunua ndege ya yoyote aina ya A200-300 ila imenunua Airbus A220-300 inabeba abiria 160 wakati Dreamliner inabeba abiria 262,haya ebu niambie wewe umetumia kigezo gani kusema hiyo ndege ni kubwa kuliko dreamliner
Huyu jamaa achana nae m nahisi anavinasaba vya ukichaa sio bure[emoji40]
 
Back
Top Bottom